Siku nne tu!

Siku nne tu!

Habari zenu wakubwa. Shikamooni. Nimekaa kimya kwa mda wote huo ni kwasababu sina simu. Nimemsubiri aliyenayo ndo nimeweza kuingia internet. Kiukwel mwaka jana nilisoma QT na mungu akajaalia kufaulu. Hivyo mwaka huu ninatakiwa kufanya mtihani wa kidato cha nne. Nimeshindwa kujisajili kutokana na shida kadhaa zilizotokea baina yangu. Mtu niliyekuwa namtegemea tayar ameshatangulia. Hapo awali ktk post yangu hapo juu niliandika kuwa naenda kulipia nikiwa na ref no pamoja na form ya matokeo ya QT. Ni kweli ila nimefanya makosa kwa kufikiri kuwa natumia reference ile ya form two kumbe sivyo inatakiwa nilipie tena centre ili nipate reference no nyingine. Samahani kwa wote, nimepata maelekezo haya zaidi baada ya kuongea na mmoja kati ya walimu na kunipa maelekezo kwa undani.
 
kwa hakika siwezi kudanganya ktk shida kama hiyo. Ni ukweli mtupu. Ila nashukuru mungu kwa kunijaalia strength ambazo zaniwezesha kutokukata tamaa hata kidogo. Siwezi kuwadanganya wakubwa na kama ningekuwa nawadanganya nisingerudia tena kwa mara ya tatu jambo hili. Nawaomba sana.
 
Wadau wanasema taja Jina la shule/kituo utakachofanyia mtihani, weka na Jina lako na ref no uliyopewa kituoni, halafu muungwana mmoja ataenda kukulipia posta. Hebu fanya hivyo uone kama utakosa msaada. Kama ukiwa wazi utasaidika mapema zaidi. Kazi ni kwako.
 
Ndo naona hapa. Ni shilingi ngapi kwani. Na uko mkoa gani.
 
Matola na Dark City, asanteni kwa support kubwa. swahiba Mbu nae alitaka kunitumia pesa kwa ajili ya dogo nikamuambia wewe diaspora subiria mzinga wa milioni na ushee (kwi kwi kwi). By the way dogo anaweza kufika university huyu.

Kesho nitatuma mtu akutane na kijana na kusort hiyo ada (tutamalizana na babu Dark City. Mkuu Matola kama unataka kumsaidia nauli na kadhalika zingine naomba nikupe jibu kesho kwa sababu dogo hana simu, tunajibizana pm kwa manati. Naomba nikiri bado sijamuamini 100% (kingasti hatapeliwi hata buku 5!!). Nitakupm kesho baada ya dogo kuonana na mjoli wangu na kumlipia ada then uamue unamsaidiaje.
 
Last edited by a moderator:
Huyu ana reseat mtihani wa form four. Hiyo hela anayosema ndiyo ada ya kurudia mtihani wa form four. Sema inaonekana kijana mwenyewe ni bishoo ndo maana hataki kusema openly

kumbe hela yenyewe hata thirty haifiki. najua wadau wengine wameshajitoa kusaidia
 
Matola na Dark City, asanteni kwa support kubwa. swahiba Mbu nae alitaka kunitumia pesa kwa ajili ya dogo nikamuambia wewe diaspora subiria mzinga wa milioni na ushee (kwi kwi kwi). By the way dogo anaweza kufika university huyu.

Kesho nitatuma mtu akutane na kijana na kusort hiyo ada (tutamalizana na babu Dark City. Mkuu Matola kama unataka kumsaidia nauli na kadhalika zingine naomba nikupe jibu kesho kwa sababu dogo hana simu, tunajibizana pm kwa manati. Naomba nikiri bado sijamuamini 100% (kingasti hatapeliwi hata buku 5!!). Nitakupm kesho baada ya dogo kuonana na mjoli wangu na kumlipia ada then uamue unamsaidiaje.

nataka nimuongezee dogo ka buku tano kwa tigo pesa.. protokali ikoje?
 
Last edited by a moderator:
akipata simu ya kuchukulia fedha tutakustua wakati matola anamtumia. ubarikiwe hadi ushangae.
nataka nimuongezee dogo ka buku tano kwa tigo pesa.. protokali ikoje?

sie hatuna maneno mengi. unaongezea ngapi? (ukijiua hukawii kusamehewa kwa ajili ya huo mchango wako madame):israel::israel:
Kama mnamsaidia msaidien maneno meng hayatomsaidia
 
ahahaha, mkuu msinitwishe coordination ya hii issue bwana. wacha dada atoe msaada nae, AMEGUSWA.

Huyo dogo tumetuma PM tukiuliza maswali kuntu ili kupata maelezo yalonyooka anapotezea sasa tunasubiri wewe utupe mrejesho
 
Mrejesho:

Jana huyu kijana alinitaarifu tena juu ya suala lililoibuka la kulipia kituo cha kufanyia mtihani. Nikamuagiza kwa sababu alishasema ana tzs 30,000/= basi azitumie hizo kulipia kituo cha mtihani na tutaona cha kufanya juu ya ada. Kweli alifanya hivyo na kukamilisha na kupewa reference mpya (kwa sababu asingeruhusiwa kutumia ile ya form two).

Kijana micka jac amelipiwa ada ya mtihani kiasi cha tzs 73,000/= leo hii. Ada ilifika hapo tena kwa sababu kulikuwa na fine ya kuchelewa kulipa.
vanmedy, tafadhali wasiliana kwa pm na kijana ili umtumie ile pesa yako (hakika sio ndogo kwa mhitaji na Mungu akubariki). Napenda kutoa shukrani za dhati kwa babu Dark City kwa kuongezea sehemu ya ada, na kwa kaka Matola kwa kumtumia kiasi kwa ajili ya kumsaidia nauli na mengineyo.

Haya dogo ulete matokeo hapa, diaspora Mbu anasubiri kuhusishwa na ada ya chuo. tena ukipata ualimu ndo kabisaaaaa, urudi na thread 100 hadi watoe!

Kitu alichonipa raha huyu mtoto ni kutaja ada na kusema kiasi alichokwisha kutafuta. Ni mtu mwenye bidii na ambae hajabweteka. Niliwahi kukutana na kijana mwingine alikuwa na biashara ya genge huku anasoma high school. Kweli ukifanya kazi kwa bidii na kwa uaminifu, tutakuja kukutana maofisini huko. Ukimaliza shule useme tukutafutie na ajira.

Aluta continua:grouphug:
 
Last edited by a moderator:
Mrejesho:

Jana huyu kijana alinitaarifu tena juu ya suala lililoibuka la kulipia kituo cha kufanyia mtihani. Nikamuagiza kwa sababu alishasema ana tzs 30,000/= basi azitumie hizo kulipia kituo cha mtihani na tutaona cha kufanya juu ya ada. Kweli alifanya hivyo na kukamilisha na kupewa reference mpya (kwa sababu asingeruhusiwa kutumia ile ya form two).

Kijana micka jac amelipiwa ada ya mtihani kiasi cha tzs 73,000/= leo hii. Ada ilifika hapo tena kwa sababu kulikuwa na fine ya kuchelewa kulipa.
vanmedy, tafadhali wasiliana kwa pm na kijana ili umtumie ile pesa yako (hakika sio ndogo kwa mhitaji na Mungu akubariki). Napenda kutoa shukrani za dhati kwa babu Dark City kwa kuongezea sehemu ya ada, na kwa kaka Matola kwa kumtumia kiasi kwa ajili ya kumsaidia nauli na mengineyo.

Haya dogo ulete matokeo hapa, diaspora Mbu anasubiri kuhusishwa na ada ya chuo. tena ukipata ualimu ndo kabisaaaaa, urudi na thread 100 hadi watoe!

Kitu alichonipa raha huyu mtoto ni kutaja ada na kusema kiasi alichokwisha kutafuta. Ni mtu mwenye bidii na ambae hajabweteka. Niliwahi kukutana na kijana mwingine alikuwa na biashara ya genge huku anasoma high school. Kweli ukifanya kazi kwa bidii na kwa uaminifu, tutakuja kukutana maofisini huko. Ukimaliza shule useme tukutafutie na ajira.

Aluta continua:grouphug:

ahsante sana
 
Last edited by a moderator:
Mrejesho:

Jana huyu kijana alinitaarifu tena juu ya suala lililoibuka la kulipia kituo cha kufanyia mtihani. Nikamuagiza kwa sababu alishasema ana tzs 30,000/= basi azitumie hizo kulipia kituo cha mtihani na tutaona cha kufanya juu ya ada. Kweli alifanya hivyo na kukamilisha na kupewa reference mpya (kwa sababu asingeruhusiwa kutumia ile ya form two).

Kijana micka jac amelipiwa ada ya mtihani kiasi cha tzs 73,000/= leo hii. Ada ilifika hapo tena kwa sababu kulikuwa na fine ya kuchelewa kulipa.
vanmedy, tafadhali wasiliana kwa pm na kijana ili umtumie ile pesa yako (hakika sio ndogo kwa mhitaji na Mungu akubariki). Napenda kutoa shukrani za dhati kwa babu Dark City kwa kuongezea sehemu ya ada, na kwa kaka Matola kwa kumtumia kiasi kwa ajili ya kumsaidia nauli na mengineyo.

Haya dogo ulete matokeo hapa, diaspora Mbu anasubiri kuhusishwa na ada ya chuo. tena ukipata ualimu ndo kabisaaaaa, urudi na thread 100 hadi watoe!

Kitu alichonipa raha huyu mtoto ni kutaja ada na kusema kiasi alichokwisha kutafuta. Ni mtu mwenye bidii na ambae hajabweteka. Niliwahi kukutana na kijana mwingine alikuwa na biashara ya genge huku anasoma high school. Kweli ukifanya kazi kwa bidii na kwa uaminifu, tutakuja kukutana maofisini huko. Ukimaliza shule useme tukutafutie na ajira.

Aluta continua:grouphug:

Ahsante sana King'asti kwa taarifa,

Ni jambo la faraja kumsaidia binadamu mwenzako pale anapokuwa na tatizo. Ila inakera unapoishia kugawa pesa yako (ambayo ki ukweli unaihitaji sana kwa mahitaji mengine ambayo ni mtambuka) kwa matapeli.

Kijana akafanye mtihiani sasa na kutupa feedback ya lolote litakalotokea.
 
Last edited by a moderator:
Am humbled.
King'asti mbarikiwe sana pamoja na Dark City na wote mliojaaliwa kuchangia kwa wakati.
Dogo micka jac, Mwenyezi Mungu akuwezeshe utimize ndoto ya maisha yako.

Ameen.

Mrejesho:

Jana huyu kijana alinitaarifu tena juu ya suala lililoibuka la kulipia kituo cha kufanyia mtihani. Nikamuagiza kwa sababu alishasema ana tzs 30,000/= basi azitumie hizo kulipia kituo cha mtihani na tutaona cha kufanya juu ya ada. Kweli alifanya hivyo na kukamilisha na kupewa reference mpya (kwa sababu asingeruhusiwa kutumia ile ya form two).

Kijana micka jac amelipiwa ada ya mtihani kiasi cha tzs 73,000/= leo hii. Ada ilifika hapo tena kwa sababu kulikuwa na fine ya kuchelewa kulipa.
vanmedy, tafadhali wasiliana kwa pm na kijana ili umtumie ile pesa yako (hakika sio ndogo kwa mhitaji na Mungu akubariki). Napenda kutoa shukrani za dhati kwa babu Dark City kwa kuongezea sehemu ya ada, na kwa kaka Matola kwa kumtumia kiasi kwa ajili ya kumsaidia nauli na mengineyo.

Haya dogo ulete matokeo hapa, diaspora Mbu anasubiri kuhusishwa na ada ya chuo. tena ukipata ualimu ndo kabisaaaaa, urudi na thread 100 hadi watoe!

Kitu alichonipa raha huyu mtoto ni kutaja ada na kusema kiasi alichokwisha kutafuta. Ni mtu mwenye bidii na ambae hajabweteka. Niliwahi kukutana na kijana mwingine alikuwa na biashara ya genge huku anasoma high school. Kweli ukifanya kazi kwa bidii na kwa uaminifu, tutakuja kukutana maofisini huko. Ukimaliza shule useme tukutafutie na ajira.

Aluta continua:grouphug:
 
Last edited by a moderator:
Mrejesho:

Jana huyu kijana alinitaarifu tena juu ya suala lililoibuka la kulipia kituo cha kufanyia mtihani. Nikamuagiza kwa sababu alishasema ana tzs 30,000/= basi azitumie hizo kulipia kituo cha mtihani na tutaona cha kufanya juu ya ada. Kweli alifanya hivyo na kukamilisha na kupewa reference mpya (kwa sababu asingeruhusiwa kutumia ile ya form two).

Kijana micka jac amelipiwa ada ya mtihani kiasi cha tzs 73,000/= leo hii. Ada ilifika hapo tena kwa sababu kulikuwa na fine ya kuchelewa kulipa.
vanmedy, tafadhali wasiliana kwa pm na kijana ili umtumie ile pesa yako (hakika sio ndogo kwa mhitaji na Mungu akubariki). Napenda kutoa shukrani za dhati kwa babu Dark City kwa kuongezea sehemu ya ada, na kwa kaka Matola kwa kumtumia kiasi kwa ajili ya kumsaidia nauli na mengineyo.

Haya dogo ulete matokeo hapa, diaspora Mbu anasubiri kuhusishwa na ada ya chuo. tena ukipata ualimu ndo kabisaaaaa, urudi na thread 100 hadi watoe!

Kitu alichonipa raha huyu mtoto ni kutaja ada na kusema kiasi alichokwisha kutafuta. Ni mtu mwenye bidii na ambae hajabweteka. Niliwahi kukutana na kijana mwingine alikuwa na biashara ya genge huku anasoma high school. Kweli ukifanya kazi kwa bidii na kwa uaminifu, tutakuja kukutana maofisini huko. Ukimaliza shule useme tukutafutie na ajira.

Aluta continua:grouphug:


Ahsante kwa mrejesho ndugu King'asti....

Hata Mimi naahidi kumsaidia zaidi baada ya kupata mawasiliano nae...

Be blessed!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom