Siku nne tu!

Siku nne tu!

Ulisema unadaiwa elfu 50 na nikakwambia tuma hizo reference hapa tukusaidia ukaingia mitini we mtt ukoje au sio mwaminifu kweli?

haukurudi tena. Na wala haukuangalia kile nilichokiandika. Nilitoa maelekezo ya jinsi ya kulipia kama nilivyoandika hapo juu. Wala haukfanya au kunijuza kama ulivyosema.
 
Ulipaswa umkumbushe. Wewe mhitaji ndio mwenye jukumu la kukumbuka. Ni process ya kimaisha utakutana nayo hata baada ya shule, na kuomba kazi nk. Jifunze kutokulaumu
haukurudi tena. Na wala haukuangalia kile nilichokiandika. Nilitoa maelekezo ya jinsi ya kulipia kama nilivyoandika hapo juu. Wala haukfanya au kunijuza kama ulivyosema.
 
Pamoja sana swahiba
.....dahh, pole sana dogo.
Shida hazina adabu, usojiumize sana kichwa na maelezo marefu.

Elfu 57/= yaonekana kidogo kwa aliyenayo, ila ni pesa ndefu kwa asiyejua pa kuipata.
King'asti, umeandika kwa busara,
Will be back.


#MosKwito !
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Mbu
Habari za asubuhi, ni siku nne tu ndizo zilizobakia. Kiukweli inaniathiri kwa mawazo niliyonayo. Nimesoma kwa shida hapo awali na leo mwishoni nafikia kukata tamaa kwa kukosa kulipia mtihani. Tarehe 31 ndio mwisho wa kulipia. Sijui nini hatma yangu kiukweli. Wapo walioniambia najidhalilisha na wapo waliotaka niwape reference no lakini kimya mpaka leo. Wacha nijidhalilishe kwakuwa ni mhitaji kweli. Na laiti ningekuwa wa kudanganya nisingekuwa naendelea kujidhalilisha kama wengi wasemavyo. Nina shida kweli ndugu zangu. Endapo nikishindwa kati ya siku ya leo au kesho, sitaweza tena. Nawaomba kwa dhati ndugu zanguni... Namba ya simu ni 0654 929 003. Nawaomba sana.
Unadaiwa bei gani mbona huweki wazi pia what happened mpaka ukashimdwa kuilipa??
 
Daah! ushauri ndg yang, onana na matron au patron, waeleze tatizo lako, nadhan watakusaidia
 
Daah! ushauri tu ndg yang, onana na matron au patron, waeleze tatizo lako, nadhan watakusaidia
 
Kwanza nakudai konyagi ndogo 4. Acha utapeli, wachaga ni wezi ila hawatapeli. Tabia za kina Bishanga umetoa wapi?

Zile bia ulizotaka kuninunulia, fanza mpango zígeuke ada ya huyu dogo.
 
Last edited by a moderator:
Kwanza nakudai konyagi ndogo 4. Acha utapeli, wachaga ni wezi ila hawatapeli. Tabia za kina Bishanga umetoa wapi?

Madeni ya mwaka jana husahau? kwanza siku hizi konyagi nyingi feki. Achana nazo tusomeshe madogo.
 
Last edited by a moderator:
Niko serious, ila ulipiaji wake inatakiwa niambatanishe reference number pamoja na form ambayo nilifanyia mtihani wa kidato cha pili. Na jinsi ya ulipiaji wake una hatua kadhaa.
1. Unalipia katika ofisi za posta.
2. Unarudi na risiti mpaka shuleni. Kisha umasajili masomo unayofanyia mtihani.
3. Unasubiri form isainiwe na mkuu. Na hatua ya mwisho ni kuirudisha katika ofisi za posta kwa ajili ya kutumwa baraza la mitihani (NECTA). kwa hakika siwezi kudanganya hata mara moja. Nimekuwa nafanya hivh tangu tarehe 8. Siwezi kuongopa kweli

Loh, sasa ndiyo naanza kukuelewa, nilijua mwanafunzi wa chuo, nisamehe kwa post yangu ya hapo juu. Kumbe ni mtihani wa secondary school? Siku nyingine uwe muwazi kijana, weka usiogope wewe weka hata jina lako hapa, shulle (kituo), reference number, mawasiliano ya pale shuleni na vitu vyote muhimu, unajua siku hizi matapeli wamekuwa wengi, sasa na wewe unaweza kuingizwa kwenye kundi hilo na ukakosa msaada.
 
yaani katika sehemu zooote wewe umekuja kutumbukia MMU?!!!!...nina mashaka huenda bumu lote wametafuna wadada.

Mkuu, kuwa na ubinadamu japo kidogo. Dogo huenda hata hajajua kugegeda huyu.
 
jaribu kwenda kwenye nyumba za ibada, makanisani au misikitin naimani watakusaidia, na hiz hela unazoweka bando za kuingia JF! jaribu kizichanga changa pia.
 
Acha matani, ujue niliandikiwa na dr ninywe konyagi ndogo 2 deile. Sema sasa hivi navuta msokoto mmoja kwa siku kwa afya ya jamii
Madeni ya mwaka jana husahau? kwanza siku hizi konyagi nyingi feki. Achana nazo tusomeshe madogo.
 
jaribu kwenda kwenye nyumba za ibada, makanisani au misikitin naimani watakusaidia, na hiz hela unazoweka bando za kuingia JF! jaribu kizichanga changa pia.
Kwani huko kwenye nyumba za ibada wanatoa wapi hela kama siyo wewe kupeleka sadaka?
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Back
Top Bottom