Siku nne tu!

Siku nne tu!

We are sorted. Atawezeshwa kwa kulipiwa direct


Ukishalipa nipe taarifa.

Lipa zote 57K ili kibarua kibaki kwake....

Uamuzi ni wako, ....tunaweza kugawana pasu kwa pasu au tuma invoice yote kwa Babu!

Tatizo la hawa vijana ni kushindwa kuwasiliana.... Kilichoandikwa hakimfanyi mtu akaelewa kitu gani anaombwa kufanya!

Tutaenda nao taratibu!!
 
Ukishalipa nipe taarifa.

Lipa zote 57K ili kibarua kibaki kwake....

Uamuzi ni wako, ....tunaweza kugawana pasu kwa pasu au tuma invoice yote kwa Babu!

Tatizo la hawa vijana ni kushindwa kuwasiliana.... Kilichoandikwa hakimfanyi mtu akaelewa kitu gani anaombwa kufanya!

Tutaenda nao taratibu!!
naomba uhakika kutoka kwa king'asti kama anatakecare balance inayohitajika ili mimi nimwezeshe dogo nauli ya kupigia misele immediately.
 
Jamanii mnaopandaga zile ndegee zinaitwaaje kwelii ....class jamanii njoonii msichengee
 
naomba uhakika kutoka kwa king'asti kama anatakecare balance inayohitajika ili mimi nimwezeshe dogo nauli ya kupigia misele immediately.


Tatizo kubwa la Watanzania wengi wanaoomba msaada ni kushindwa kujitofautisha na matapeli. Ndiyo maana watu wengi tuko tayari kusaidia ila tuwe na uhakika kwamba tunatoa msaada kwa jambo ambalo tumeelezwa.

Inakera kutoa msaada wa karo halafu mtu akaenda kunywea bia!
 
Tatizo kubwa la Watanzania wengi wanaoomba msaada ni kushindwa kujitofautisha na matapeli. Ndiyo maana watu wengi tuko tayari kusaidia ila tuwe na uhakika kwamba tunatoa msaada kwa jambo ambalo tumeelezwa.

Inakera kutoa msaada wa karo halafu mtu akaenda kunywea bia!

ni kweli mkuu inakera sana ila ni wadogo zetu hawa lets assume kwambs tatizo lake ni kweli kama anadanganya anajitafutia laana yeye mwenyewe.

bado nasubili kauli ya King'asti kwanza otherwise nitarudi hapa kesho.

alamsiki.
 
Last edited by a moderator:
ni kweli mkuu inakera sana ila ni wadogo zetu hawa lets assume kwambs tatizo lake ni kweli kama anadanganya anajitafutia laana yeye mwenyewe.

bado nasubili kauli ya King'asti kwanza otherwise nitarudi hapa kesho.

alamsiki.

Mkuu huyu dogo tulimpa conditions toka awali akashindwa kwanini hawi wazi? Tutajuaje kama kweli anashida au tapeli? Tunamtumia PM atupe full details analeta rabsha tutaaminije? Is he serious?
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaha unalako jambo

Binamu nikumbushee zile ndege ile sehemu ya kukaa vibopaa tu inaitwaajeee jamanii yaan leo watu kimyaa basi kila mmoja tumtumiee hata 5000 tu kwa Mpesa kwa wote hapaa tena inazidii
 
Mkuu huyu dogo tulimpa conditions toka awali akashindwa kwanini hawi wazi? Tutajuaje kama kweli anashida au tapeli? Tunamtumia PM atupe full details analeta rabsha tutaaminije? Is he serious?


Ndiyo maana tumekubaliana na uamumzi wa King'asti wa kwenda moja kwa moja kumlipia.

Kuna watu wanawaharibia wenzao, kwani wale wanaozuka na utapeli wanasababisha watu wenye shida kweli wakose msaada!

Pesa anazoomba ni kidogo sana kiasi kwamba akiweka maelezo yake yakanyooka anaweza kupata zaidi ya hizo!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu huyu dogo tulimpa conditions toka awali akashindwa kwanini hawi wazi? Tutajuaje kama kweli anashida au tapeli? Tunamtumia PM atupe full details analeta rabsha tutaaminije? Is he serious?
mmhh! hapa pagumu ngoja nile bia zangu tu mambo ya msondo tuwaachie wenyewe.
 
Binamu nikumbushee zile ndege ile sehemu ya kukaa vibopaa tu inaitwaajeee jamanii yaan leo watu kimyaa basi kila mmoja tumtumiee hata 5000 tu kwa Mpesa kwa wote hapaa tena inazidii

Tatizo siyo 5000 au 1000, shida ni nani anapewa hizo pesa na kwa nini... Hakuna mtu ambaye yuko tayari kugawa pesa kwa mtu ambaye anashindwa kueleza shida yake akaeleweka!
 
Ndiyo maana tumekubaliana na uamumzi wa King'asti wa kwenda moja kwa moja kumlipia.

Kuna watu wanawaharibia wenzao, kwani wale wanaozuka na utapeli wanasababisha watu wenye shida kweli wakose msaada!

Pesa anazoomba ni kidogo sana kiasi kwamba akiweka maelezo yake yakanyooka anaweza kupata zaidi ya hizo!

Kabisa mkuu hiyo hela hata Mimi naweza kuitoa hata sasa but jamaa hayuko wazi sana sana naona ligi tu inachomoza tunaacha ya msingi
 
Last edited by a moderator:
Mzee ES na choveki, nashukuru kwa challenging questions.


1) The personal nature of the subject.
Ni kweli kabisa kuwa katika nchi nyingi zilizoendelea ni kosa almost equal to man slaughter mtu akibainika ya kwamba amemuambukiza mtu mwinigne hili gonjwa kwa makusudi au bahati mbaya, lakini in all cases huyo aliye ambukizwa ndiye anayejitokeza kwanza kushitaki kwamba ameambukizwa ukimwi na anafikiria kuwa ni mtu fulani au fulani, ila si nafasi ya serikali kum monitor huyo mtu kuhakikisha kuwa muathirika halali na wale ambao sio wa athirika. It invades the privacy of individuals which is a basic right of all humans in health care.

The personal nature of the subject than further arises in that, kwetu nyumbani hata huyo aliyeambukizwa kujitokeza ni vigumu sababu kubwa ikiwa the stigma attached to the disease and the personal nature of the disease itself whereby the benefits of staying quite outweigh those of speaking out.
This is also a socio economic aspect in that if "life was worth living" than the benefits for such people speaking out and getting compensation, stoping others contracting would far outweigh the disadvantage of staying quite. Hopelessnes ya maisha yetu sasa inachangia watu kukaa kimya.


2) Sisi kama nchi iliyoathirika kwa kiwango kikubwa sana na hili gonjwa ni vigumu both practically and ethically to adopt the approach of identifying all infected and punishing those that we find have intentionally spread the virus. Hii italeta ubaguzi usiwo na kifani katika jamii yetu.
Kwanza kabisa baada ya kubaini mtu fulani anao na amelala na mtu mwingine na kumuambukiza how will you start the case when we have no complaintiff.
Pili kitendo cha kuwa segregate affected individuals, ambacho ndicho kita tokana na hii approach, kitaenda kinyume na maadili ya ubinadamu. Si vyema kuwatenga waAthirika wa hili gonjwa kwasababu kama magonjwa mengine hakuna anayechagua kuwa na gonjwa hili.

3)
Once again the ethical and discriminatory nature of the approach is what will make such a practice inappropriate and impracticle.

4) 🙂 Napenda maswali yako. Nimesema kuwa Socio economic factors zina nafasi kubwa sana katika uenezi wa hili gonjwa kuliko wataalamu wanavyolichukulia. Sio kwamba ndio chanzo pekee. Ukimwi ni an intricate combination of many factors and in my view socio-economic factos pay a larger role than attributed. Naomba usome hii article ya Nicole Grimm http://www.wcl.american.edu/hrbrief/v4i3/aids43.htm kuanzia heading ya human rights concern. katika Paragraph ya 4 under the heading Human rights control ya hio article niliyokuomba usome (Choveki as well) ina shed more light into my assertions


Ni wazi kuwa socio-economic factors play a key role in the spread.

Ukija kwenye cases kama Botswana kwa kweli pale ni social behaviour za jamii, lakini pia utajiri wa ile nchi haujawafikia wananchi kwa kiwango ambacho unaweza kufananisha na 1st world countires. Uarabuni jibu ni sharia law, ambayo despite "advantages' zake sidhani kama waAfrika tutakubali kuendeshwa na sheria za kiukandamizi kama hizo (thats an exreme case). Marekani na hao waathirika "million 10" a majority are gay men and African Americans whose socio economic state is very low as i'm sure hurricane Katrina made evident!
Uganda imefanya kazi nzuri, si kweli kwamba huo ugonjwa sasa haupo, ila rate of spread ni ndogo na nikweli hii imetokana sana na elimu walioifanya, lakini it will be simplistic to conclude that Ugandans than learn faster than other Africans and that why their rate of AIDS infection is low. there must be other factors at play, of which i know not of now and choose not to speculate.

Natumaini nime address maswala aliyosema choveki pia. Kusema kuwa

si sahihi, kwani hapa unamaanisha kuwa basi sisi waAfrika ni wajinga. Ndugu this is a very simplistic appraoch and very very wrong. Tabia basic kabisa ya kiumbe yeyote mwenye the least bit of mental cognition knows to react otherwise when faced with a matter of death. Hata mbuzi akiona mwenzake anaungua kwenye moto yeye hata jirusha kwenye moto, ku suggest kuwa binadamu mzima ataendelea kufanya ngono bila kujali hali anaona watu wanakufa kila kukicha kwasabau ya hili gonjwa ni ku suggest kuwa tuna akili ndogo kuliko wanyama wengi wa pori! There are factors more complicated than simple stupidity and it is there inclusion in the AIDS equation that make this subject increasingly complex!

wasalam!

Yule wa marekani ilikuwa wazi na kila mtu alikuwa na full details huyu anaruka ruka tu hapa tumweleweje?

Labda kama alikua na lengo la kuanzisha ligi
 
Na huyu angekuwa mtoto wa kike mijitu ungeona inavyo hangaika kusudi imnase vizuri...
 
Binamu nikumbushee zile ndege ile sehemu ya kukaa vibopaa tu inaitwaajeee jamanii yaan leo watu kimyaa basi kila mmoja tumtumiee hata 5000 tu kwa Mpesa kwa wote hapaa tena inazidii

Inaitwa first class or business class...

Binamu umelikazania mbona mleta mada hatoi ushirikiano?
 
Back
Top Bottom