Siku nne tu!

Siku nne tu!

weka wazi wewe, kama mhitaji hutaki kuficha ficha. inavyooneka wewe husomi chuo au umeshamaliza unafanya kitu kingine kama cpa hivi, maana deadline yake ndo imeshafika. sasa wapi na wapi habari ya kulipiaitihani kamasio hizo profssionals? be open kaka zako tukupe mawazo
 
Niko serious, ila ulipiaji wake inatakiwa niambatanishe reference number pamoja na form ambayo nilifanyia mtihani wa kidato cha pili. Na jinsi ya ulipiaji wake una hatua kadhaa.
1. Unalipia katika ofisi za posta.
2. Unarudi na risiti mpaka shuleni. Kisha umasajili masomo unayofanyia mtihani.
3. Unasubiri form isainiwe na mkuu. Na hatua ya mwisho ni kuirudisha katika ofisi za posta kwa ajili ya kutumwa baraza la mitihani (NECTA). kwa hakika siwezi kudanganya hata mara moja. Nimekuwa nafanya hivh tangu tarehe 8. Siwezi kuongopa kweli

mmmmh dogo unafanya QT sio? isije ukawa ni shemeji yangu umetoka hapa mchana wakati tunacheki mechi ya Chelsea na Liverpool? maana una tatizo kama hilo na jina lako halisi ni kama la avatar yako? je ni wewe?
 
uko shule gani nije mwenyewe nimuone mhasibu maana vijana siku hizi hamuaminiki
 
Habari za asubuhi, ni siku nne tu ndizo zilizobakia. Kiukweli inaniathiri kwa mawazo niliyonayo. Nimesoma kwa shida hapo awali na leo mwishoni nafikia kukata tamaa kwa kukosa kulipia mtihani. Tarehe 31 ndio mwisho wa kulipia. Sijui nini hatma yangu kiukweli. Wapo walioniambia najidhalilisha na wapo waliotaka niwape reference no lakini kimya mpaka leo. Wacha nijidhalilishe kwakuwa ni mhitaji kweli. Na laiti ningekuwa wa kudanganya nisingekuwa naendelea kujidhalilisha kama wengi wasemavyo. Nina shida kweli ndugu zangu. Endapo nikishindwa kati ya siku ya leo au kesho, sitaweza tena. Nawaomba kwa dhati ndugu zanguni... Nawaomba sana.
Mdogo wangu ulivyoandika utafikiri kila mtu yuko aware na tatizo lako. Toa detail zinazoeleweka usaidiwe. Kuna watu wako tayari kukusaidia lakini watakuamini je?
 
Last edited by a moderator:
Habari za asubuhi, ni siku nne tu ndizo zilizobakia. Kiukweli inaniathiri kwa mawazo niliyonayo. Nimesoma kwa shida hapo awali na leo mwishoni nafikia kukata tamaa kwa kukosa kulipia mtihani. Tarehe 31 ndio mwisho wa kulipia. Sijui nini hatma yangu kiukweli. Wapo walioniambia najidhalilisha na wapo waliotaka niwape reference no lakini kimya mpaka leo. Wacha nijidhalilishe kwakuwa ni mhitaji kweli. Na laiti ningekuwa wa kudanganya nisingekuwa naendelea kujidhalilisha kama wengi wasemavyo. Nina shida kweli ndugu zangu. Endapo nikishindwa kati ya siku ya leo au kesho, sitaweza tena. Nawaomba kwa dhati ndugu zanguni... Nawaomba sana.

Kijana muda mrefu tulikwambia tuma acc ya shule jina na reg number ukakimbia...

Mwingine alijitolea mwende nae mguu kwa mguu shuleni ulikwepa Leo unaleta story zimebaki siku NNE wacha ubabaishaji wewe
 
weka wazi wewe, kama mhitaji hutaki kuficha ficha. inavyooneka wewe husomi chuo au umeshamaliza unafanya kitu kingine kama cpa hivi, maana deadline yake ndo imeshafika. sasa wapi na wapi habari ya kulipiaitihani kamasio hizo profssionals? be open kaka zako tukupe mawazo

Huyu ana reseat mtihani wa form four. Hiyo hela anayosema ndiyo ada ya kurudia mtihani wa form four. Sema inaonekana kijana mwenyewe ni bishoo ndo maana hataki kusema openly
 
Kijana muda mrefu tulikwambia tuma acc ya shule jina na reg number ukakimbia...

Mwingine alijitolea mwende nae mguu kwa mguu shuleni ulikwepa Leo unaleta story zimebaki siku NNE wacha ubabaishaji wewe

Huyu anasoma zile shulee za miaka miwili unamalizaa form four yaan hiyo pesa ya mtihani inalipiwaaa postaa sio kwenye akaunt ya shulee,binamu hebu mpe dogo hiyo 30 naamin hadanganyiii kwa pesaa hiyooo
 
Watu walikejeli sana Diaspora wote kwa $6,000 kutopatikana na kupelekea marehemu kuchomwa moto

Sasa naona nyumbani TZS 27,000 kumwezesha mwanafunzi kufanya mitihani inakaribia kuwashinda

Chris Lukosi Kiranga Dr.Mo Jerrymsigwa lusungo Nyani Ngabu Karucee Matola Dinazarde [MENTION=49208]abakorakoma W. J. Malecela[/MENTION]

Umeonaaa eee wale wotee wanaoolezeaa humu kua wana uwezoo tuwaonee sasaa maanaa siku hiyo waliwanangaaa diasporaa kweliii lol leo tuoneee na hajaomba malaki wala mamilionii
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom