Kanali G
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 9,897
- 14,435
Unaijua Geita Sec(GESECO) au unaisikia tu!? hapo kama ni mtoto wa mama ulikuwa unakaa siku moja na kuacha shule.
Geseco ile haikuwa shule ilikuwa kambi ya jeshi.
Unaijua Geita Sec(GESECO) au unaisikia tu!? hapo kama ni mtoto wa mama ulikuwa unakaa siku moja na kuacha shule.
Kawaonea kabisa kataja shule mbovu mbovu, kasahau hadi Ubwe sekondaryIla Weruweru kawaonea aisee ...hebu mcheki Asha rose
Geseco ile haikuwa shule ilikuwa kambi ya jeshi.
Ona shule za kata zinavyotuharibia elimu...wewe elimu ni wingi wa wanaopita shuleni, maana wanapita tu hata hawaelimiki......unapata engineer asiyejua kitu bado unaita elimu...pole sana.
shule zetu zimeshindwa kuondoa ujinga....kazi tunayo....huu mfumo wa piteni shule haya ndio matokeo yakeSitaki unipe pole kaka!! Ila ukweli lazma niuseme, watanzania tulipumbazwa na ideology ya mwalimu Nyerere ya kusomesha wachache wawe viongozi huku wengine wakibaki mashambani!! Matokeo yake tunaona wanaosoma sasa tunawaona hawana quality, elimu haina bila hata kuwa na landmark!
Eti mainjinia wa sasa ni fake!! Unaweza kunitajia hata engineer mmoja ambaye amesoma enzi zako aliyejenga hata barabara kuu (highway) tofauti na wachina!!!
Tuapriciate hatua tuliyopiga kama nchi kwenye elimu!!
Ona shule za kata zinavyotuharibia elimu...wewe elimu ni wingi wa wanaopita shuleni, maana wanapita tu hata hawaelimiki......unapata engineer asiyejua kitu bado unaita elimu...pole sana.
Ila Weruweru kawaonea aisee ...hebu mcheki Asha rose