zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,261
- 3,909
Mimi sipo kati ya wale 1000 walioteuliwa. PIli kwa kukiri kwangu udhaifu ulioko na kuutambua bila kutoa sababu za kijinga kutetea udhaifu, huo ni mwanzo mzuri. Wanasemaga wenyewe kwanza acknowledge there is a problem, and clearly identify what is a problem.
Wala sijafika kuanza kutoa mapendekezo au kutoa solution, tuko kwenye early stage ya self identification and self examnation.
Kama ni hivyo, kwa nini usiwe mmoja kati ya waliochaguliwa, kama Kikwete vile, ili utuwekee hiyo mizani itakayo balance.