Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
- Thread starter
- #21
Hilo umejifanyia mwenyewe, soma swali!
Nimekiri udhaifu wangu kwanza na kutambua kuwa Rais wa Tanzania hana nia ya kweli kuliimarisha Taifa letu na ndio maana nimeandika hilo hapa na ndilo lililo jema kwa Taifa letu, kuusema ukweli!