Ulitaka aongee kama Mama yake? Mbegu Dume inazaa Dume.Huyu Fredy hadi kuongea anaongea kama baba yake.
Okay 👍 nimejiongeza mkuu.Wizara zote ikiwemo ya ujenzi zipo chini ya serikali, Kiongozi mkuu wa serikali ni raisi. EL hajawahi kuwa raisi wa JMT. Jiongeze mkuu.
Wewe nae bwana, nimependa kuona anafanana na baba yake hadi sauti.Ulitaka aongee kama Mama yake? Mbegu Dume inazaa Dume.
Aliyeumba sauti alikuwa na malengo yake sauti nyororo ya Kike.Na akiongea kama mama yake ndio anakuwa sio mwanaume
Mzee kaongea mpaka jk akainamaSalamu za Warioba aya ya kwanza na pili ngumu kumeza,JMK kaguswa na aya ya pili angali hai tofauti na JKN kuguswa na aya ya kwanza ambapo tayari ni hayati.
Warioba hanaga unafiki,kweli itabaki kuwa kweli.
Kama halifunguliwi ujue , mwili haupo Hapo.Kwanini jeneza lake halijafunguliwa wanaoaga wapate kuuona mwili?
Warioba jamani bado yuko fit kabisa, Mzee anaonekana amejilinda sana afya yake.
Huyohuyo kaumba wa kiume wenye sauti nyororo na wa kike wenye sauti nzito pia.Aliyeumba sauti alikuwa na malengo yake sauti nyororo ya Kike.
Hormone haziko sawa Astrogen imezidi akienda kufanyiwa Therapy sauti ya Kidume inarejea.Huyohuyo kaumba wa kiume wenye sauti nyororo na wa kike wenye sauti nzito pia.
Kumbuka alikua anavuta SIGARA na Kuna tetesi alikua anapata palm wine kidogo kwa afya.Warioba jamani bado yuko fit kabisa, Mzee anaonekana amejilinda sana afya yake.
Visceral fats zinaleta stroke huwa ni mbaya sana.Hajaendekeza kitambi ndio maana.
Sindano ilimuingia kweli kweli,kaiona chungu ya "kristapeni"Mzee kaongea mpaka jk akainama
Jmn sijafuatilia🤣Mnafiki wa Taifa anaongea sasa, na hotuba yake imekuwa fupi kwa aibu.
Nani huyo niende Kwa ayoSindano ilimuingia kweli kweli,kaiona chungu ya "kristapeni"