Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,162
- 26,685
Khaaaa Mungu anasingiziwa na mengi jmnHakuna mnafiki, kama umemsikiliza Warioba vizuri amesema Lowasa aliwekewa vikwazo na mowamo wa kuwa rais hata na baba wa taifa mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Mungu hakutaka Lowasa awe rais, hivyo hawa akina Nyerere na Kikwete walitumika tu.
Ni ujinga kumlaumu Yuda kwa kumsaliti Yesu wakati ilikuwa ni mpango wa Mungu.
Mungu ?!! Mna uhakika?