Bwashe hii maana yake nini? Kwamba hii itakuwa strong ikulu duniani kuliko hata Whitehouse? Au itakuwa na eneo la kutosha la kufugia tausi na digidigi kuliko ile ya DSM? Ufafanuzi tafadhali.Rais Magufuli amesema inawexekana Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma ina eneo kubwa kuliko Ikulu nyingine yoyote hapa duniani.
Ikulu ya Chamwino ina ukubwa wa zaidi ya hekta 8000
Source ITV
Maendeleo hayana vyama!
Eish!Really? Tanzania super power?I like the plan. We are super power. Godbless Tanzania
Tatizo kubwa ni ku-copy na kupaste ile ramani ya ikulu ya Magogoni iliyojengwa na wakoloni mwaka 1890! Nimeshangaa mno kuona hatuna cha kujisifia ila tu pori kubwa linalozunguka ikulu ya Chamwino wakati tukiiga kuta kwa kuta mchoro wa ikulu ya wajerumani ya zamani, jamani!...Rais Magufuli amesema inawexekana Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma ina eneo kubwa kuliko Ikulu nyingine yoyote hapa duniani.
Ikulu ya Chamwino ina ukubwa wa zaidi ya hekta 8000
Source ITV
Maendeleo hayana vyama!
... pakame sana pale; nusu jangwa.
Power without control is nothing. Mnashindwa kuwalipa polisi posho zao, huo u supa pawa uko wapi?We are super power.
Nadhani Tausi anaweza kuliwa kama ndege wengine ila usem tu Watanzania hatuna umazoea au utamaduni wa kule vitu ambavyo hatukuwahi kuona mababu zetu wakivilaWakipelekwa mbugani wataliwa wote na simba, acha wazee wajinafasi na ndege kwenye bustani zao wameitumikia nchi
Give us its benefits to the wananchi.
Is Dar Es Salaam congested or it is poorly planned? Boosting business in Dodoma and abandon areas around Dar Es Salaam!It will decongest Dar. It will also boost business in most of the regions that surround Dodoma.
Is Dar Es Salaam congested or it is poorly planned? Boosting business in Dodoma and abandon areas around Dar Es Salaam!
Don't you see the closing of some business in Dar Es Salaam because of the shifting of all ministries?
I don't think if the shifting went along with Demography studies and analysis of Tanzania.
Ikulu ni nini?Ikulu au ofisi ya ikulu?
Is Dar Es Salaam congested or it is poorly planned? Boosting business in Dodoma and abandon areas around Dar Es Salaam!
Don't you see the closing of some business in Dar Es Salaam because of the shifting of all ministries?
I don't think if the shifting went along with Demography studies and analysis of Tanzania.