Mundamushimu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 752
- 432
Vipi unaishiwa nguvu tukuletee ambulancecomments za hili bandiko hazifiki hata 200 licha ya muhusika kuongea muda wote huu mpaka sasa amemaliza hizi ni dalili kuwa magufuli amechuja sana aachane na mpango wa kugombea urais tena.