Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia

Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia

Aliyekuwa mnajimu mkuu wa Afrika mashariki na kati Sheikh yahaya amefariki dunia leo.
 
sasa ivi Chama kitakua kinamtumia Mh. Prof Majimarefu kucover gap la marehemu
Utaratibu ni kuwa Prof. Majimarefu atashikilia kwa muda hadi kamati ya ufundi na kamati kuu za chama zitakapokaa hatutaki kuvunja katiba wapinzani wetu hasa Chadema wakatumia kwa propaganda.
 
Inna Lillah Waina Illahi Rajoon
"Sisi ni wa Allaah nasi Kwake tutarejea, Ee Allaah Walipe wafiwa kwa msiba huu na uwape badili yake bora kuliko huo"
 
Hakika sote tu safarini.....hatujui siku wala saa! ama kweli MUNGU mkubwa.

R I P......Sheikh msalimie Osama na mwambie wamarekani wanashangilia sana kifo chake! Kama anaweza afufukie PENTAGON!!!
 
alikuwa anaweka usiku sana kwenye maendeleo ya nchi.....akavune alichokipanda kudadadeki....

Alikupokonya jembeeee! we mbwiga msiba uusikie kwa jirani tu. Maneno yako hayo yanaonyesha usivyomuungwana.
 
Sasa yale mashetani aliyomwekea Jakaya yamlinde itakuwaje? si msala huo kaachiwa Jakaya... aje afanyiwe MAOMBI yatoke, hamna jinsi hapo.

Mtu yoyote akifa bila kutubu dhambi zake hapa duniani, anaenda MOTONI, hata wakuombee vipi au waseme eti RIP, hakuna kitakachofanyika hapo. Biblia inasema pasipo UTAKATIFU hakuna atakae muona Bwana.

TUTUBU KWA KUMAANISHA KUZIACHA :grouphug::grouphug::grouphug::grouphug::grouphug:
 
So vitisho ktk siasa vimekwisha? Kwel sisiem imekufa. R!P SHEIKH YAHYA!
 
Hakika sote tu safarini.....hatujui siku wala saa! ama kweli MUNGU mkubwa.

R I P......Sheikh msalimie Osama na mwambie wamarekani wanashangilia sana kifo chake! Kama anaweza afufukie PENTAGON!!!

... mbavu sina! kwi kwi kwi....
 
Amen! Leo Nchi ya Tanzania imepata uhuru toka Nguvu za giza! Poleni wafiwa.
Kila lenye mwanzo lina mwisho tunawatakia familia utulivu wakati huu wa kuondokewa na mpendwa wao.
Wanaachina urithi hawa watu wa jinsi hii, huyo aliye achwa anaweza kuwa baraa zaidi ya huyu aliye ondoka. Yanatakiwa maombi ya nguvu kusambaratisha nguvu hizi za giza na majini!!!!!!!!!
Kuna mambo mengi yatafanywa ili kuweka mrithi wake, watu wa rohoni mwatakiwa kuomba kubomoa hizo falme za giza kwa jina la Bwn Yesu!!!!!!
 
Yeye alitoa naye ametwaa, tutamiss utabiri wake juu ya uchaguzi wa 2015!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom