Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia

Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia

Mtumishi wa shetani ataheshimiwa na watumishi na wafuasi wenzake tu. Siyo wacha Mungu wala wastaarabu. Umri haukupi heshima ila matendo yako

Tuwache wafu wahukumiwe na aliyewaumba, sisi tuwahukumu wakiwa hai, tumeshindwa kuwahukumu wakiwa hai kwa kuwa watajitetea?
 
Tuwache wafu wahukumiwe na aliyewaumba, sisi tuwahukumu wakiwa hai, tumeshindwa kuwahukumu wakiwa hai kwa kuwa watajitetea?

Bibie foksi, naona jamaa kakuachia JINI linakulinda. Hilo huko nyuma yako.
 
Bibie foksi, naona jamaa kakuachia JINI linakulinda. Hilo huko nyuma yako.

Mimi nalindwa na huyu hapa:

ٱللَّهُ لَآ إِلَٰهَ إِلَّا هُوَ ٱلْحَىُّ ٱلْقَيُّومُ ۚ لَا تَأْخُذُهُۥ سِنَةٌۭ وَلَا نَوْمٌۭ ۚ لَّهُۥ مَا فِى ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَمَا فِى ٱلْأَرْضِ ۗ مَن ذَا ٱلَّذِى يَشْفَعُ عِندَهُۥٓ إِلَّا بِإِذْنِهِۦ ۚ يَعْلَمُ مَا بَيْنَ أَيْدِيهِمْ وَمَا خَلْفَهُمْ ۖ وَلَا يُحِيطُونَ بِشَىْءٍۢ مِّنْ عِلْمِهِۦٓ إِلَّا بِمَا شَآءَ ۚ وَسِعَ كُرْسِيُّهُ ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلْأَرْضَ ۖ وَلَا يَـُٔودُهُۥ حِفْظُهُمَا ۚ وَهُوَ ٱلْعَلِىُّ ٱلْعَظِيمُ(Qur'an 2:255)


Mwenyezi Mungu - hapana mungu ila Yeye Aliye hai, Msimamia mambo yote milele. Hashikwi na usingizi wala kulala. Ni vyake pekee vyote viliomo mbinguni na duniani. Ni nani huyo awezaye kuombea mbele yake bila ya idhini yake? Anayajua yaliyo mbele yao na yaliyo nyuma yao; wala wao hawajui chochote katika vilio katika ujuzi wake, ila kwa atakalo mwenyewe. Enzi yake imetanda mbinguni na duniani; na wala haemewi na kuvilinda hivyo. Na Yeye ndiye aliye juu, na ndiye Mkuu.(Qur'an 2:255)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom