Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia

Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia

Bora kafa yeye, maana amekuwa anawachulia watu wengi. Ata wale wanaoamini ni wezi wa nchi hii nao wajue sote tutakufa na kwenda mbele ya haki.
 
Jamani kesho mwisho wa dunia...au mmesahau?

for your info.as per the Greenwich Meridian Time, when Tokyo is in early hours of Saturday morning, Dar is still enjoying the Friday evening sunset. Kwa hiyo kesho ya Japan ni leo ya Tz! Anyway, r.i.p chief sheikh Y.H.
 
MUNGU akuweke mahali unapostahili Sheikh Yahya.....Tunajua kila nafsi itaonja mauti...

Niliwahi kumsoma na kumuelewa vizuri Sheikh Yahya...Katika kitabu cha "THE DARKSIDE OF NYERERE'S LEGACY by Ludovic S Mwijage...alikuwa ni zaidi ya mtabiri.
 
:A S 103::dance::dance::dance::dance::dance::dance::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::dance::dance::dance:

This is my Best weekend ever!
 
majini wake wameanza kuzagaa barabarani na njia panda...jamani kuweni macho hasa mnaopenda kutembelea maeneo ya fukwe.

Amina!!!!!! Naogopa wale aliowapa zindiko la ushindi 2015 sasa ameondoka kabla ya muda huo???? Hii kali itakuwaje coz ni kizungumkuti hicho wafwa!!!!!!
JE WAFU WATAZIKA WAFU WENZAO 2011, MTIHANI HUO!!!!!!!
 
sasa usalama wa kulu JK itakuwaje wajameni, hii lazima itakuwa ni very sensitive issue huko UWT
 
JF Premium Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png



Join Date : 3rd March 2008
Posts : 4,047
Thanks 303 Thanked 467 Times in 268 Posts

Rep Power : 32


icon1.png
Sheikh yahya Hussein is no more


He died this morning at his magomeni home, acording to one of his sons. More to come



Senior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png



Join Date : 3rd September 2010
Posts : 205
Thanks 0 Thanked 102 Times in 40 Posts

Rep Power : 21


icon1.png
Shehe yahaya is no more

Wanajamii

Kwa Majonzi Makubwa sana, napenda kuwapa taarifa kwamba, SHEHE YAHAYA IS NO MORE.

Poleni sana
Source, Mimi Mwenyewe
Last edited by Taifa_Kwanza; Today at 12:31 PM.
Senior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png



Join Date : 1st March 2011
Location : DAR ES SALAAM
Posts : 83
Thanks 2 Thanked 11 Times in 6 Posts

Rep Power : 21


icon1.png
Shekhe yahaya afariki dunia

Yule mnajimu na mtabiri maarufu afrika (shekhe yahaya) amefariki dunia leo nyumban kwake. Anazikwa kesho!
Source. E.a. radio

MJENGWA - Picha, Habari & Matangazo: Sheikh Yahya Hussein Afariki Dunia

MKUU NAFIKIRI UTAPATA UHAKIKA SASA.......
yahya.JPG
 
Si alisema kama mmoja kati ya JK na Slaa hatakufa yeye atakufa? Basi ndio yametimia....! Aidha, poleni nyote kwa msiba...!
 
Mwenyekiti wa wazee mkoa wa Dar es salaam mzee mwinyimvua amefariki dunia.
Itakumbukwa wazee wa Dar es Salaam wamekuwa wakitumiwa kama daraja la propaganda la CCM muda mrefu tangu enzi za Mwl Nyerere.


Wazee wa Dar chini ya uongozi wa Mzee Mwinyimvua walitumiwa na ****** kuwashambulia na kuwazodoa wafanyakazi waliokuwa wakitaka nyongeza za mishahara.

Pole sana kikwete kwa kuondokewa na Mzee mwinyimvua na Sheikh Yahaya Hussein mlinzi wako wa uhakika,

RIP Mwinyimvua.
Hii inaashiria nini kuhusu 21/05/2011?
 
Ni Kweli Shehe Yahya amaefariki dunia angalia TBC 1 taarifa ya habari saa 7 mchana leo tarehe 20/05/2011!
R.I.P

Amen! Leo Nchi ya Tanzania imepata uhuru toka Nguvu za giza! Poleni wafiwa.
Kila lenye mwanzo lina mwisho tunawatakia familia utulivu wakati huu wa kuondokewa na mpendwa wao.
 
Kama ni kweli itabidi JK akatishe kikao cha SADC NAMIBIA aje kumzika uyu mnajimu wake.

nasikia Bendera zote za ccm kupepea nusu mringoti .
JK KAPOTEZA MGANGA NA MNAJIMU WAKE MAHILI. . . Hakuna pumziko la Amani kwa waganga, wachawi na wanafiki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom