meddie
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 434
- 125
Sio rahisi usikie maana alikuwa mlinzi wa siri wa JK
hivi wale walinzi alimpa JK alishawachukua ama la...wasije mzuru jamaa au anayajua mahitaji yao?
Sio rahisi usikie maana alikuwa mlinzi wa siri wa JK
hivi wale walinzi alimpa JK alishawachukua ama la...wasije mzuru jamaa au anayajua mahitaji yao?
Watu bwana, JF people have no honour. Respect the dead jamani. As for Yahya, inna lillahi wa inna ilaihi rajioon! Watu mnaleta siasa kwenye kifo cha mtu. Huo ni unyama kabisa, wakati wote hapa, pamoja na mama zenu, baba zenu, dada zenu, watoto wenu na hata wajukuu wote tuu lazima tuoze na harufu tutoe na kuliwa na wadudu ndio mtindo mmoja. Inasikitisha sana kuona ushabiki pale ambapo roho ya mtu inamtoka. Acheni siasa za jalalani kwani Slaa ana umri gani? hehehe.. Anyway my point is, let us respect the dead. Peace
Huyo ni mkewe, mwanawe au mjukuu????
![]()
hapana ndugu mtu amefariki lakini bado wanaendeleza siasa badala ya kumuombea hebu tuache ujinga ndugu zanguni tunapoelekea sio kuzuri
Na ule muda wa DTV utatumika kwa mambo ya maendeleo ya taifa.Afathali zile nafasi za magazeti zilizokua zinaandika habari zake zitabaki tupu na kuandika maswala mengine ya maendeleo.