Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia

Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia

atafufuka SIKU YA NNE Ona sasa kafa Ijumaa jamani!!! atamweleza nini Nyerere kuhusu wanaMagamba na Mafisadi Papa aliowakataa akina Edu Rost na Cheng

Una hakika gani wanaenda kukutana na Nyerere? Au nyerere alikuwa mshirikina?
 
Je mumejua amekufa kwa ugonjwa gani na umemsumbua kwa kipindi gani?
 
Mwehu ni Shehe mchawi Yahaya mlinzi wako na majini yake....
Alisema Shibuda atakufa....yeye nani? mwehu sio?

Usibishane na wtu wengine huku! Kuna wengine wameachwa njia panda wana hasira maana Mungu wao kafa!
Kuna washirikina sana nchi hii ndiyo maana maendeleo hamna.
Huyu alikuwa mchawi tu! Na sehemu ya wachawi inajulikana ni wapi, hakuna haja ya kumpangia ؛ungu amweke wapi, hiyo inajulikana hata tusiposema.
 
Je mumejua amekufa kwa ugonjwa gani na umemsumbua kwa kipindi gani?
Mchawi yahaya alikuwa na mashori wengi uku afya yake ilizorota
Sheikh-Yahya.JPG
 
He died this morning at his magomeni home, acording to one of his sons. More to come


Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un (إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعون&#1614😉 .
'Surely we belong to Allah and to Him shall we return'." http://en.wikipedia.org/wiki/Inna_lillahi_wa_inna_ilaihi_raji'un#cite_note-tr-0
 
At last (kama kweli) na yeye yamemkuta maana alikuwa bingwa sana wa kusema atakufa fulani.....ila sasa yale majini yatatunzwa na nani?....si yanakulaga damu za watu yale?

Sunday, July 26, 2009

UTABIRI WA SHEIKH YAHYA HUSSEIN





Sheikh Yahya Hussein ameibuka na utabiri wa mambo kadhaa ikiwa ni pamoja na ule unaodai kuwa kuna rais wa nchi moja ya mashariki mwa Afrika atatekwa akiwa kwenye ndege au kupinduliwa.Sheikh Yahya amewaambia waandishi wa habari jana kuwa tukio hilo, litatokana na hali ya kupatwa kwa jua kulikotokea juzi nchini China na kwingineko barani Asia.

Ameendelea na kutabiri kuwa pia kutatokea matatizo katika mambo ya ulinzi na usalama kwa viongozi wa nchi mbalimbali za mashariki ya Afrika.Hata hivyo, hakutaja nchi yoyote ambayo itakumbwa na tukio hilo."Pia natabiri baadhi ya wabunge kadhaa kufungwa na wengine kufa ghafla," akasema.

Akaongeza kuwa vilevile, baadhi ya maofisa wa ngazi za juu serikalini watafukuzwa kazi wakiwa nje ya nchi zao kwa kashfa mbalimbali.Ameendelea kueleza kuwa vyama vya siasa vinavyotawala na vile vya upinzani vitakuwa na mabadiliko makubwa.Aidha, akasema kuwa Muungano wa Tanzania utaendelea kudumu licha ya watu kulalamikia kasoro kadhaa kila kukicha.
 
BORA GAMBA KUU LIMETOKA..I hate him mpaka huko kaburini. mwanga mkubwa! Pressure za màandamano ya chadema zimememg'oa,alishindwa kuyathibiti.
 
Poleni ndugu wote wa Yahya Hussein; lakini pia hao wanaosema eti kesho ndo mwisho wa dunia si kweli. Hakuna mwisho wa dunia. Je, mwisho wa dunia kivipi? Je, ni mwisho wa sayari hii au ni maangamizi kwa viumbe wa dunia?

Wazungu ni waongo, kwani maangamizi pekee ya dunia yatatokana na sayari hii kugongwa na sayari nyingine kama historia inavyoonesha kuwa ajali ya aina hiyo ilitokea miaka milioni 165 iliyopita.

Ajali hiyo ilitokana na dunia kugongwa na sayari kubwa iitwayo Nimuri, ambayo historia ya wababiloni inasema, hupita karibu na dunia kila baada ya miaka 26,000. Nimuri, inasemkana ndo iliigonga duni na kupekea maangamizi ya binadamu wengi na wanyama waitwao Dinosario. Pia kishindo hicho kilisababisha dunia kukaa upande (inclined) kama inavyoonekana..

Historia ya wababiloni inasema Nimuri itaigonga tena dunia baada ya hiyo miaka 26,000, na hiyo italeta maangamizi ambayo yatasababisha dunia kuyumba na kuporomosha maendeleo yalokwishafikiwa na kizazi hiki. Hiyo itapelekea dunia na vilivyomo kuanza upya. Tusiogope maana wakati hatutakuwepo.
 
RIP SYH!

Hivi, niliwahi kusoma au kusikia kuwa naye alipata kikombe cha Babu wa Loliondo. Niaje?
 
At last (kama kweli) na yeye yamemkuta maana alikuwa bingwa sana wa kusema atakufa fulani.....ila sasa yale majini yatatunzwa na nani?....si yanakulaga damu za watu yale?

Sunday, July 26, 2009

UTABIRI WA SHEIKH YAHYA HUSSEIN





Sheikh Yahya Hussein ameibuka na utabiri wa mambo kadhaa ikiwa ni pamoja na ule unaodai kuwa kuna rais wa nchi moja ya mashariki mwa Afrika atatekwa akiwa kwenye ndege au kupinduliwa.Sheikh Yahya amewaambia waandishi wa habari jana kuwa tukio hilo, litatokana na hali ya kupatwa kwa jua kulikotokea juzi nchini China na kwingineko barani Asia.

Ameendelea na kutabiri kuwa pia kutatokea matatizo katika mambo ya ulinzi na usalama kwa viongozi wa nchi mbalimbali za mashariki ya Afrika.Hata hivyo, hakutaja nchi yoyote ambayo itakumbwa na tukio hilo."Pia natabiri baadhi ya wabunge kadhaa kufungwa na wengine kufa ghafla," akasema.

Akaongeza kuwa vilevile, baadhi ya maofisa wa ngazi za juu serikalini watafukuzwa kazi wakiwa nje ya nchi zao kwa kashfa mbalimbali.Ameendelea kueleza kuwa vyama vya siasa vinavyotawala na vile vya upinzani vitakuwa na mabadiliko makubwa.Aidha, akasema kuwa Muungano wa Tanzania utaendelea kudumu licha ya watu kulalamikia kasoro kadhaa kila kukicha.
 
I am told shehe yahaya is no more, he has gone back to his creator!!!!!!!!! May the almight god find a place for him in his kindom.
 
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un (إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعون&#1614😉 .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom