Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia

Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia

Sheikh Yahya Hussein.jpg

Mnajimu maarufu AfriKa Mashariki na Kati, Sheikh Yahaya Hussein amefariki dunia leo asubuhi nyumbani Magomeni, jijini Dar es Salaam. Taarifa hizi ni kwa mujibu wa ndugu zake wa karibu. Habari kamili soma Mwananchi kesho


Source: Mwananchi
 
Poleni sana wafiwa kwa msiba huu mkubwa kwenu. Mungu awape nguvu, subira na faraja katika kipindi hiki kigumu kwenu. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi~AMEN.
 
Me sikuwahi kumwamini wala hata kujaribu kuchekecha tabiri zake.
So kwangu amekufa bwana mmoja anaeitwa Yahya, ila sio mtabiri.
 
poleni wanafamilia ya mzee yahaya. Mikoba hiyoooo mhangaike nayo, yeye kamalizana nayo.
 
لشيخ يحيى حسين الراحة في السلام
سوف تذكر لك كل التنزانية.
في بقية السلام
آمين
 
kuna foleni hapa magomeni na ving'ora kibao, sijui kiongozi gani anaenda huko. na hii road inayopita kwake imekuwa closed
 
Poleni sana wafiwa....poleni sana Watanzania...........RIP Sheikh Yahya Hussein..........
 
Alikupokonya jembeeee! we mbwiga msiba uusikie kwa jirani tu. Maneno yako hayo yanaonyesha usivyomuungwana.
Muungwana ni Mchawi Sheikh Yahya aliekuwa anatupia watu majini kuua wenzake......

Muungwana Mchawi Shehe Yahya aliekuwa aliekuwa anashuhudia uongo mbele ya kadamnasi ya dunia..

Muungwana Mchawi Yahya aliekuwa mchonganishi wa jamii na jamii....
 
Vipi tena mgombea ubunge, umeingia tu saa tisa hii na kuweka thread mpya bila ya kuangalia zinazoendelea! Hiyo ilishawekwa humu masaa manne yaliyopita, siku nyingine uwe unasoma kwanza! Si unaona wenzako akina Tundu Lissu wanatumia muda kusoma kabla hawajaingia kwenye sessions za bunge! Sasa wewe vipi tena bana, huko bungeni si utaharibu sifa ya CDM?
 
Katika utabiri wake wakati wa uchaguzi alisema mgombea mmoja wa urais atakufa na iwapo hatokufa basi atakufa yeye binafsi..kwa hili alipatia kujitabiria kifo. Hoja hapa ni nani atakuwa akiwapa amri walinzi wasioonekana aliompatia mkuu wa nchi ?

Inalillahi Waiyna Illayhi Rajuuna
 
RIP "babu" wa dar es salaaam. Tangulia nasi tuko njiani twaja. ila hatujui lini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom