Sheikh Ponda yuko sahihi

Sheikh Ponda yuko sahihi

hizo propaganda unajazwa na kanisani ama ?

Kama huna la maana kaa kimya.

Tufanye sensa yenye vitengo vya kujua dini,umri,vilema,elimu na jinsia ili itusaidie katika mipango ya maendeleo ya nchi yetu.

Kwanini wakristo wana kataa sensa yenye kitengo cha kuhesabia watu kwa dini,jibu ni kuwa wanaogopa kuzidiwa na waislam maana sensa za makanisa yanaonesha ukristo una wafuasi wengi,na wamepandilizwa waislamu wakijuwa kuwa wao wapo wengi wata tawala kwa sheria,

ndugu zangu wakristo,kuwa kwako mkristu usikufanye watu wenye dini tofauti na wewe waishi kama unavopenda wewe na kanisa lako,

dini ya uislam ni mfumo kamili wa maisha ya mwanadamu,unatakiwa ukubaliane kuwa dini ya uislam haija kaa kama mulivyo fundishwa kanisani kuwa ikristo ni kanisani ukitoka nje basi,

tuacheni ushabiki tu,mimi ni mwislamu na sipendi kusikia mwislam ambaye hapendi maendeleo ya nchi yetu,lazima kila kundi,dini waone wanashiriki katika mchakato wa maendeleo,

hivi kuhesabiwa kidini kuta kupunguzia wewe nini??



Pole kwa kujikuta kwenye imani inayoona kila wakati inaonewa....

Na kila wakati inlazimisha mambo...

Pia haipendi maandiko yake yachunguzwe..

Hapo nilipo bold.... kama makanisa yanafanya sensa zao , kwanini nyie hamuwezi?

Kwanini mnataka msaidiwe na serikali?

Hivi hamna umoja kwenye nyumba zenu za ibada (misikiti) hamna network inayoweza kujua idadi yenu?

Kama kuna watu hawaendi misikitini hao achaneni nao, sio waislamu....

Hamna kinacho watisha watu hapa, ni kuwashangaa tu kwanini hawa watu hawawezi kujihesabu

wenyewe!!..wanajifananisha na walemavu wasiojiweza....!!! ujinga huu kwani walemavu wananyumba zao za ibada

wanazokutania?


....
 
Yuko sahihi, tunaitaji kujua uwiano wa raia na imani zao, Hili sio suala la masihara.
 
juzi Sheikh Ponda Issa ambaye ni katibu wa Jumuiya ya Kutetea Haki za Waislamu alitanabahisha kuwa iwapo serikali haitoweka kipengele cha dini katika fomu za sensa ya mwaka, jumuiya yao itahamasisha Waislamu wasishiriki katika zoezi la sensa.Alisema kuwa nchi hii siyo ya Kikristo lakini INATAWALIWA NA MFUMO KRISTO.

Alisema kutokana na mazoea, Waislamu wanabaguliwa katika mgawanyo wa keki ya taifa khasa upande wa ajira. ofisi na idara za serikali zinaongozwa na Wakristo kwa asilimia kubwa kulinganishwa na waislamu. alitoa mfano wa TRA, NECTA, Wizara ya Eimu, Wizara ya Ujenzi, Afya, Mahakama nk........... kwa mujibu wa Sheikh Ponda, wastani wa ajira ni karibu Wakristo 77% na Waisalmu siyo zaidi ya asilimia 20%. Licha ya hoja inayojengwa kuwa Waislamu hawajasoma lakini akasema waliosoma wapo.

Akatanabahisha kuwa kwa maslahi na umoja wa kitaifa, kupuuza watu ambao ni sehemu ya jamii ktk keki ya taifa ni jambo hatari sana! kwa kuwa wtu wanadai waislamu ni chini ya 20% katika nchi hii, akapendekeza sensa ya mwaka huu kiwekwe kipengele cha dini ili idadi ya watanzania kidini ijulikane. Kwa mujibu wa Sheihk Ponda, anaamini kuwa waislamu ni takriban 64% ya rais wa Tanzania.

"SIYO SAHIHI WATU WENYE IDADI HII KUPUUZWA KATIKA UWIANO WA AJIRA SERIKALINI", alisema Sheikh Ponda.Alitoa mifano wa nchi karibia zote za Ulaya, Marekani, asia pamoja na Afrika, kipengele cha dili kipo kwenye fomu za sensa zao. "Ukisoma country profile au fact file uingiapo katika nchi mbalimbali, utakuta wameandika wastani wa idada ya raia kidini" alisisitiza Ponda. "Mbona mnajifanya kama hamtembei au hamjui kinacho endelea ulimwengunu jamani!" alilalama Ponda.

HOJA YANGU Ndugu znaguni Watanzania, tufike sehemu tuache ukweli udhihiri. kama Waislamu wanalalamika kuwa wanabaguliwa katika ajira labda kutokana na uchache wao, kwa nini suala la dini lisiwekwe wazi? au utakua udini? au uchochezi? au uvunjifu wa amani? kama ni hivyo, mbona karibu 98% ya sensa zote duniani zina kipengele cha dini!? je huko wameuana kutoakana na kipengele hicho? TUBADILIKE!!!

naomba kuwasilisha!

Sheikhe mrongo huyu!!!

Religion Statistics and Publications


The Bureau of the Census collected information in the Census of Religious Bodies from 1906-1936. This information was obtained from religious organizations.


Public Law 94-521 prohibits us from asking a question on religious affiliation on a mandatory basis; therefore, the Bureau of the Census is not the source for information on religion.


Some statistics on religion can be found in the Statistical Abstract of the United States, the section on Population.


Please contact one of the following for further assistance regarding religious information:


Adherent Statistics and Religious Geography Citations


Glenmary Research Center
1312 5th Avenue, North
Nashville, TN 37208
(615) 256-1905


Hartford Institute for Religious Research at Hartford Seminary
77 Sherman Street
Hartford, CT 06105
(860) 509-9543
Fax: 860-509-9559
E-mail: hirr@hartsem.edu


American Religion Data Archive
Department of Sociology
Pennsylvania State University
211 Oswald Tower
University Park, PA
(814)865-6258
Fax: 814-863-7216

Sosi: http://www.census.gov/prod/www/religion.htm
 
Tuache UBAGUZI! Na hii ni dhambi kubwa sana.
Ukijua dini fulani wako kadhaaa itasaidia nini kwa maendeleo ya Watanzania? Hivi ktk hivi vitabu vitukufu vya imani zenu imeandikwa kuwa muwe mnajijua mko wangapi? na muwe mnahesabiwa na watawala?
Kama unataka kujua idadi ya wanaofuata IMANI yako, si zipo sehemu za mikusanyiko yenu JIHESABUNI huko!
Kma vipi basi tuhesabu na idadi ya Wangoni, Wakwere, Wahaya na kadhalika, maana si mnataka dhambi ya ubaguzi?
 
Sheikh, ponda dini ni variable muhimu sana katika sensa na hivyo si vibaya kuwa na statistics za uhakika kuhusu mgawanyo wa watanzania katika dini mbalimbali. Ni vizuri vilevile kujua idadi ya watu katika makabila mbalimbali.
 
sheikh, ponda dini ni variable muhimu sana katika sensa na hivyo si vibaya kuwa na statistics za uhakika kuhusu mgawanyo wa watanzania katika dini mbalimbali. Ni vizuri vilevile kujua idadi ya watu katika makabila mbalimbali.

omg.........
 
tatizo la waislamu nadiriki kuwaita wengi ni vilaza
kutwa kulalamika. niwaulize mkuu wa nchi ni nani, makamu wake, jaji mkuu???wakristo hao?
wanataka wapewe mgawanyo sawa wa madaraka nani aliwaambia nchi hii ina dini? wanataka kutupeleka wapi?
wao wanakaa vijiweni na kunywa kahawa na walikataa kusoma shule za wakristo eti ni makafiri sasa wanataka wapewe vyeo bila kusoma? wamuulize JK alisoma shule ya watu gani? angesoma madrasa na kuishia kunywa gahawa leo angekuwa rais?
suala la ukabila na udini Nyerere alilikataa siku nyingi sana


pili wakubali kwa Tanzania asilimaia 62 ni wakristo, 35 ni waislamu na 3% ni watu wa dini zingine. kwa hivo tukiamua leo wakristo hata kupiga kura bado tunaweza kuwapita kwa mengi na pia idadi kubwa ya wasomi ni wakristo, nakumbuka nikiwa chuo kati ya wanafunzi 240 darasani 40 tu ndi walikuwa waislamu. acheni kelele pelekeni wanenus shule.
sijaona mantini ya wao kulalamika,
katika kazi hatuajiriwi kwa kigezo cha udini wala ukabila bali ni elimu na ujuzi wako.

Hapo kwenye RED
Ndo utuambie sasa umepata wapi takwimu hizi ikiwa sensa yetu haina kipengele cha dini??? kama co hearsay zanazolenga kuiaminisha jamii ya Watanzania kuwa dini flani ni wengi kuliko wengine?? Pia uwiano wa kielimu hautoshi kuhitimisha kuwa dini flani ni wengi kwakuwa tatizo la elimu kwa waislamu hapa TZ ni lakihistoria!!
Wajua kuwa Rwanda Watutsi ni wachache kuliko Wahutu lakini ndio waliosoma na wanaohodhi nafasi nyingi serikalini kuliko wenzao ambao ndio wengi?? Na kwanini ukitembelea coutry profiles za nchi kibao utakuta wameweka idadi ya watu kwa dini zao? Wanazitoa wapi?
Kwakuwa sisi kama Tanzania tulikubaliana kutokujumuisha kupengele cha dini kwenye sensa yetu wacha twende hivyo hivyo lakini Maoni yake yana Mashiko
 
According to the Gospel of Luke, it was a Roman census that sent Mary and Joseph to Bethlehem, where she gave birth to Jesus Christ.And more than 2,000 years later, the same kind of counting exercise is being used to gauge the religious make-up of the UK.


According to the last census 10 years ago, more than two-thirds of people in Britain regarded themselves as Christian - 72% in England and Wales, and 65% in Scotland.More than 1.5 million in England and Wales, more than 3% of the population, said they were Muslim and nearly eight million ticked "no religion". There were also 390,000 self-proclaimed Jedi.




Is it a leading question?




"It fairly allows you to answer it because you can say 'no religion' but if you wanted to make it as neutral as possible, you might ask 'Which of these would you describe yourself as?' says Stephan Shakespeare of YouGov.


"It does have a slight assumption, although not a strong one, but these wordings do make a difference."


But five weeks before the next census day, Sunday 27 March, some groups are questioning whether the religious numbers are at all accurate, and could ever be.


They prefer to use the British Social Attitudes survey, carried out annually by the National Centre for Social Research, which paints a picture of a less-religious country, with 51% describing themselves as non-religious and 43% as Christian.


The religious question in the census was first introduced in 2001, as a voluntary option. In some other countries such as France, state questions about race, ethnicity or religion are not permitted.But in the UK, the vast majority of people answered it despite not having to, although the reappearance of the same question in the forthcoming census has prompted complaints.


Question 20 in England and Wales will say: "What is your religion?" In Scotland, question 13 will ask: "What religion, religious denomination or body do you belong to?"The British Humanist Association (BHA) believes they are leading questions that actively encourage people to tick a religious answer, thereby inflating the numbers, especially among Christians because many people hold a weak affiliation.




Census director Glen Watson explains changes.If you were baptised but had not been to church since then, you might be inclined to say you were still Christian, says Naomi Phillips, the head of public affairs at the BHA. She says the actual number of secular people is probably double the number the census recorded.


"Many people tick Christian but wouldn't consider themselves to be religious if you asked them otherwise. And this is used to justify maintaining faith schools and used by local authorities to make their planning decisions to allocate resources to public services."It means more budgets go to Christian groups and the needs of non-religious groups are not taken into account."The BHA begins a poster campaign next week on buses and at railway stations that urges people who are non-religious to "for God's sake, say so".


Ms Phillips says it would be preferable not to have the question, because it's hard to get an accurate picture.


Outside London, the counties with the highest proportion of Christians were Durham, Merseyside and Cumbria, all with 82% or more.The districts with the highest proportions of Christians were all in the North West: St Helens, Wigan and Copeland (Cumbria) each with 86% or more The number of people who stated Jedi was 390,000.




"It's very difficult to measure. There are so many different things to measure - by belief, practice, whether you believe in God, whether you attend places of worship, whether you pray."The census question pre-supposes you have a religion, she says, and a two-part question like they have in Northern Ireland would be fairer, which differentiates between your faith at birth and your faith now.


The humanists are not alone in wanting the question changed. The Foundation for Holistic Spirituality (F4HS) wants it easier for those people who have a spiritual but non-religious tendency to answer the question.But the Office for National Statistics, which collects the data, says the question is one of a number that allows people to fully express their identity in the way they consider most appropriate.


"The religion question measures the number of people who self-identify an affiliation with a religion, irrespective of the extent of their religious belief or practice," says a spokesman.It's a question that is worded in the most sensitive way possible, says historian and broadcaster Nick Barratt, especially with the subtle change of emphasis introduced in the new census - respondents are now faced with "no religion" as the top option to tick, rather than "none".
 
STEP X:

Hebu ongeza hapo na Iringa, Njombe, Songea, Mbeya, Rukwa, na Mpanda.

Hivyo, wakristo wengi (kwa maana ya kuwazidi wengine kwa idadi yoyote) most likely wako mikoa ifuatayo:
Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Geita, Mara, Kagera, Arusha, Kilimanjaro, Iringa, Njombe, Ruvuma, Mbeya, Rukwa, na Mpanda. Kwa pamoja mikoa hii ina over 60% population ya nchi.

Mikoa hii angalau idadi inaweza kuwa sawa:
Kigoma, Singida, Dodoma, Dar es Salaam, Tabora, na Morogoro.

Mikoa hii waislamu most likely ni wengi:
Tanga, Pwani, Lindi, Mtwara, na Zanzibar (ukitaka chukua hata Dar es Salaam ya wahamiaji).

Hivyo basi, kwa kuwa Muungano utavunjika soon waislamu Tanganyika wata-dominate Tanga, Lindi, na Mtwara halafu pia Bungeni tutakuwa automatically tumepungaza angalau wabunge waislamu kama 60 hivi ambao wanatoka Znz. Mimi huwa nawashangaa wanaolaumu Mwl. eti kwa kuudhoofisha Uislamu kupitia Muungano!

....asante mkuu,imekaa vzr!
 
ha haa haaa nimecheka hizi takwimu kwa taarifa yako asilimia kubwa ya Wasukuma kanda ya ziwa Shinyanga, Mwanza, na Mara, hawana dini..hata Iringa Wakinga hawana dini.

Acha uongo,wakinga wana dini,tena ni wakristo,naishi iringa!usidanganye watu hapa
 
mbona nyie wagala mnaogopa sana hiki kipengele? Kuna nini kimejificha?

Hawa jamaa wanataka wajue idadi yao ili waone kama inakidhi kiwango cha kuishinikiza serikali katika mambo ambayo ni interest za dini yao..
 
Barubaru,
Kwani namba ya waamini wa dini yako, hata kama ni kubwa ina faida gani kwa uwepo na ustawi wa Taifa hili? Kama namba ni tija, waafrika tulivyo, tunaweza kuanzisha mashindano ya kuzaana bila utaratibu, bila kujua kwamba anayeongoza dunia ya leo sio kwamba ana namba kubwa, la hasha!!! Ana elimu, uwezo na ujuzi mkubwa.
Ndio maana waisrael kwa idadi ni wadogo lakini pale walipo waliwahi kupigana na mataifa karibu yote yaliowazunguka kwa wakati mmoja na kuwashinda. It was not by chance....it was by design and intelligence to come with victory. So hoja hapa kwetu sisi wengine ni kuhakikisha generations zetu zina aim higher kwa kutafuta mambo ya msingi yatakayotusukuma huko. Sio haya mambo ya kujua nani ni dini gani! So what?

nilikua pakistani.... jamaa mmoja akawa anasifia jinsi walivyozaana na kuwa na influence kwa nambaz huku akijilinganisha na india na bangladesh

wahindia pia walizaaana kweli....
 
katika hatua za kukomesha udini katika nchi hii, kipengere cha kutaka kujua dini ya mtu kifutwe kila sehemu(Machuleni, hospital,kazini n.k), hata wakati wa kuapa watu waape kwa katiba ya nchi, hiyo itapelekea hata watu kuisoma vilevile.
 
juzi sheikh ponda issa ambaye ni katibu wa jumuiya ya kutetea haki za waislamu alitanabahisha kuwa iwapo serikali haitoweka kipengele cha dini katika fomu za sensa ya mwaka, jumuiya yao itahamasisha waislamu wasishiriki katika zoezi la sensa.alisema kuwa nchi hii siyo ya kikristo lakini inatawaliwa na mfumo kristo.

Alisema kutokana na mazoea, waislamu wanabaguliwa katika mgawanyo wa keki ya taifa khasa upande wa ajira. Ofisi na idara za serikali zinaongozwa na wakristo kwa asilimia kubwa kulinganishwa na waislamu. Alitoa mfano wa tra, necta, wizara ya eimu, wizara ya ujenzi, afya, mahakama nk........... Kwa mujibu wa sheikh ponda, wastani wa ajira ni karibu wakristo 77% na waisalmu siyo zaidi ya asilimia 20%. Licha ya hoja inayojengwa kuwa waislamu hawajasoma lakini akasema waliosoma wapo.

Akatanabahisha kuwa kwa maslahi na umoja wa kitaifa, kupuuza watu ambao ni sehemu ya jamii ktk keki ya taifa ni jambo hatari sana! Kwa kuwa wtu wanadai waislamu ni chini ya 20% katika nchi hii, akapendekeza sensa ya mwaka huu kiwekwe kipengele cha dini ili idadi ya watanzania kidini ijulikane. Kwa mujibu wa sheihk ponda, anaamini kuwa waislamu ni takriban 64% ya rais wa tanzania.

"siyo sahihi watu wenye idadi hii kupuuzwa katika uwiano wa ajira serikalini", alisema sheikh ponda.alitoa mifano wa nchi karibia zote za ulaya, marekani, asia pamoja na afrika, kipengele cha dili kipo kwenye fomu za sensa zao. "ukisoma country profile au fact file uingiapo katika nchi mbalimbali, utakuta wameandika wastani wa idada ya raia kidini" alisisitiza ponda. "mbona mnajifanya kama hamtembei au hamjui kinacho endelea ulimwengunu jamani!" alilalama ponda.

Hoja yangu ndugu znaguni watanzania, tufike sehemu tuache ukweli udhihiri. Kama waislamu wanalalamika kuwa wanabaguliwa katika ajira labda kutokana na uchache wao, kwa nini suala la dini lisiwekwe wazi? Au utakua udini? Au uchochezi? Au uvunjifu wa amani? Kama ni hivyo, mbona karibu 98% ya sensa zote duniani zina kipengele cha dini!? Je huko wameuana kutoakana na kipengele hicho? Tubadilike!!!

Naomba kuwasilisha!

pia ujue waislamu wanaongoza kwa kuwa na madrasa nyingi kuliko shule zinazotoa taaluma inayohitajika wakati wa ajira, sasa hivi almost kila kanisa lina shule aidha, chekechea, msingi, na kuendelea, lakini asilimia 99% ya misikiti utakuta madrasa tu ya kufundishia kiarabu
 
Shee ponda taaluma yake nini atafutiwe nafasi ya ajira?
 
Mwisho watu watadai sensa ionyeshe weupe wangapi na weusi wangapi. Au idadi ya warefu na wafupi.
Hoja zingine za ajabu kweli.
 
Back
Top Bottom