Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 4,942
- 6,206
Mkuu BAKWATA imejaa wapigaji.Sasa shule 30 tanzania nzima ndio kitu cha kujisifu!!
Unajua idadi ya shule ambazo taasisi/madhehebu ya kikristo yanazo individually?
Dhehebu moja tu la Walokole TAG lina shule nyingi kuliko Bakwata ambayo ndiyo muwakilishi wa waislam tz nzima.
Hapo sijataja madhehebu makubwa kama RC,KKKT na Anglican.
Acha kujilinganisha na usiofanana nao. Bakwata inashindwa na dhehebu dogo tu la kikristo kwa idadi ya shule. Nyie watu amkeni,
Kuna msikiti ghorofa moja,ulianza kujengwa mimi nipo primary mpaka leo haujawahi isha, kuna matajiri,wafanyabiashara, wadhamini/ wahisani nk.
Viongozi wa bakwata wamepoteza imani kwa waumini,hivyo mambo yanajiendea hovyo.Bakwata ingekuwa taasisi moja matata kwa sababubu ina rasilimali watu wengi sana karibu 1/4 ya watazania,
Inashindwa nini kuendelea !!