Sheikh Mkuu Zuberi jenga shule kubwa badala ya misikiti mikubwa

Taasisi za kiislamu,ziko nyingi,na karibia zote zinamiliki shule,na vyuo tofauti na BAKWATWA shule na vyuo vinavyomilikiwa na BAKWATA,mnashinda kutofautisha kwa vile katika uislamu tofauti na ukristo,madhehebu makubwa Tanzania Suni,ambao ni sawa na BAKWATA katika ibada,ila BAKWATA,ni BARAZA KUU.
Kulinganisha taasisi za kikristo na kiislamu katika kumiliki shule/ vyuo ni ujinga. Mfano mi nipo Arusha, shule za kiislamu hazizidi 5, na hakuna chuo. Wakati wakristo wana shule zaidi ya 100 na vyuo vya kutosha..sasa unashindanisha Nini hapo. Na tena shule za kiislamu ndio zinaongoza kufelisha ukilinganisha na seminary. Waislamu bado sana, acha kujipa moyo..
 
Kulinganisha taasisi za kikristo na kiislamu katika kumiliki shule/ vyuo ni ujinga. Mfano mi nipo Arusha, shule za kiislamu hazizidi 5, na hakuna chuo. Wakati wakristo wana shule zaidi ya 100 na vyuo vya kutosha..sasa unashindanisha Nini hapo. Na tena shule za kiislamu ndio zinaongoza kufelisha ukilinganisha na seminary. Waislamu bado sana, acha kujipa moyo..
Wewe uko eneo lenye waislamu wachache,nenda maeneo yenye waislamu wengi,hamia mikoa hiyo.Ukaone shule na vyuo na wanafunzi wanavyosoma wa kiislamu.Kwa mfano iko wilaya ina waislamu,na wilaya ndogo,lakini ina shule za kiislamu zinafika 8,hapo hujahesabu shule za serekali,ambazo watoto wa kiislamu wanasoma kwa idadi kubwa,tembea,hapo sijamalizia wilaya nyingine,zinazofika 8,huko pia kuna shule za kiislamu.
 
Wewe uko eneo lenye waislamu wachache,nenda maeneo yenye waislamu wengi,hamia mikoa hiyo.Ukaone shule na vyuo na wanafunzi wanavyosoma wa kiislamu.Kwa mfano iko wilaya ina waislamu,na wilaya ndogo,lakini ina shule za kiislamu zinafika 8,hapo hujahesabu shule za serekali,ambazo watoto wa kiislamu wanasoma kwa idadi kubwa,tembea,ujionee.
Kama wapi? Dar nimekaa, Pwani nimekaa, Tabora naijua. Ni mkoa gani shule za kiislamu zinaweza zidi za wakristo?
 
Kama wapi? Dar nimekaa, Pwani nimekaa, Tabora naijua. Ni mkoa gani shule za kiislamu zinaweza zidi za wakristo?
Kiuhalisia idadi ya shule zinazoendeshwa na Christianity ni nyingi kushinda Islam maeneo mengi sana, same applies to hospital/health centers.

Pia ninapenda kugusia hili suala la uwepo wa Muslim wenye vyeti vikubwa. Kwa uwazi baadhi ya watu wizara ya elimu wamekuwa wakiwaangusha watu wenye mlengo wa Islam au wenye utambulisho chimbuko la Mashiriki ya kati/Arabs.
 
Kiuhalisia idadi ya shule zinazoendeshwa na Christianity ni nyingi kushinda Islam maeneo mengi sana, same applies to hospital/health centers.

Pia ninapenda kugusia hili suala la uwepo wa Muslim wenye vyeti vikubwa. Kwa uwazi baadhi ya watu wizara ya elimu wamekuwa wakiwaangusha watu wenye mlengo wa Islam au wenye utambulisho chimbuko la Mashiriki ya kati/Arabs.
Wanawaangusha vp Wakati mitihani inafanywa kwa namba?
 
Hakuna mdau wa elimu yoyote anaejua maana ya elimi akabeza vyeti.Dunia nzima elimu ni vyeti kasoro madrasa.
Yani unamzoa mtu afundishe hujui level yake ya elimu ,kisa kapitia madrasa, ni kupitwa na wakati.
madrasa zinatakiwa ziundiwe mtaala, ukubali ukatae.
kusoma soma tu bila direction, kukariri, juzuu, kutafsiri quran kila madrasa inafundisha kivyake.
Mambo yanayofundishwaa madrasa hayatafanyiwi kazi yoyote zaidi ya mawaidha na kusali, yena ukiwa mdau msikitini
Sura mbili tatu zinatosha sana kusali.
Ukisoma juzuu 30 unazitumia wapi?
Watu kama nyie ndio mnaifanya BAKWATA isiaminike kwa chochote.
Warabu walitudanganya sana bado kuna watu wanadumisha fikra za kiarabu. Mataifa ya kiarabu ni mataifa yaliofeli vibaya sana katika karne ya 21 kisa kupingana na fikra mpya.
Hivi sio ujinga kuendelea kujenga misikiti huku misikiti iliopo haijai watu kisa umekaririshwa.
Naona unatoa mifano isio endana kabisa na hoja. Kusoma mawazo ya wasio enda shule wala si hoja ya kutokwenda shule au kutokuwa na vyeti.
unaweza kukubali kufanyiwa operation na daktari aliejifunza huko mitaani au unazungumza tu kujifurahisha?
Madrasa zibadili mfumo, vinginevyo kelele za kutengwa hazitakuja kuisha.
Unamfundisha mtu qurani na suna humpi ujuzi wowote katika karne ya 21, unaamini kudra wakati wenzio wanautafuta ujuzi, wakijitegemea wewe unaanza kulalama.
Mfumo wa elimu ya kiislamu umefeli vibaya sana, watu tuna ndugu wamekariri hizo elimu na hawana mbele wala nyuma.
Madrasa zinawapotezea watu mda hakuna zaidi. Ipi siku waislamu wengi watagundua kuwa walipotezewa mda tu.
Poa.
 
Idadi ya wiaslamu wako kwenye vyuo vikuu, ofisi za umma na sehemu zote za utumishi ni ndogo sana kulinganisha na watu wa dini nyingine.

Bila shaka pamoja na mambo mengine ya kihistoria, imani, ukabila, ukanda na kiuchumi lakini idadi ndogo ya watoto wa kiislamu kwenye vyuo vikuu ukilinganisha na watoto wa dini nyingine inaweza kuwa sababu ya msingi ya shida hii

Badala ya kuwaza kujengewa misikiti mingi na mikubwa weka jitihada zako kwenye kujenga shule na vyuo vingi ambako watoto wengi wa kiislam watapata ilmu dunia pia. Elimu hii ndiyo inayotoa wahandisi, madaktari, wauguzi, walimu, marais, mawaziri, wakurugenzi na watumishi wengine.

Fanya sensa ya watumishi kwenye kila wizara, ofisi, shule Na vyuo vya umma Na binafsi ujionee hali ilivyo. Pitapita huko uone idadi ya walimu wa vyuo vikuu huko.

Mazoezi ya kuhifadhi Qur'an yaende sambamba na mazoezi ya kuhifadhi hisabati Na fizikia kwenye madrasa zao.

Kama viongozi wa ofisi mbalimbali wengi ni wa dini fulani bila shaka watumishi wanaotegemea maoni yao kwenye kuajiliwa na kuteuliwa kwenye nafasi mbalimbali bila shaka watakuwa kama wa dini za wanaowateua. Like dissolve like.
Lakini Waislamu ndio matajiri wakubwa hapa nchini sijui nao wamependelewa na nani, na pia kwenye makampuni yao asilimia 90 ya wanaoajiriwa ni Waislamu nadhani ungeanzia huko kwanza mkuu.
 
Kama Bakwata haitaacha kuwa chombo cha kisiasa waislamu watakuwa wasindikizaji milele kwenye taifa lao. Hali ya waislam inatisha sana, kuna taasisi za umma zinafungua mikutano yao kwa sala kwakuwa wengi ni dini moja tu.
Mkuu marehemu Malima alikuwa na '' msikiti wake'' pale hazina na vivyo hivyo Dau pale NSFF sasa ni yupi na afadhali na yule anayeanzia salamu au yule aliyegeuza ofisi kuwa msikiti. Pale NSFF enzi za Dau mbona mlijaa na watu hawakulalamika?
 
Kujenga msikiti na madrasa zitazosomesha Qur'aan na Sunnah ni bora mara elfu kuliko kujenga shule.
Kwa mawazo haya, wakristo wataendelea kuwatawala siku zote.

Wakatoliki/Wakristo wakijenga kanisa, pembeni wanajenga Hospitali na Shule.
 
Unatumika. Hayo mawazo yako ni ya kishetani. Msikiti ni jambo la kheri na kupata thawabu kusaidia waja wa Mnyaazi Mungu wewe unakuja kupinga?shule zipo ngapi hapa nchini? Wewe ni Kafir. Na unatumika na shetani. Shule hizi ndo zinapunguza idadi ya waumini misikitini. Unaumia na nini kuona msikiti mkubwa ukijengwa?mbona yapo makanisa makubwa?

Na wala wewe si msemaji wa waislamu acha kuingilia mambo yasiyokuhusu. Umenichefua sana. Kwa nini usi deal na mambo yako pekee?
Kwa akili hizi mtaendelea kutawaliwa na mifumo ya wakristo milele.
 
Kama Bakwata haitaacha kuwa chombo cha kisiasa waislamu watakuwa wasindikizaji milele kwenye taifa lao. Hali ya waislam inatisha sana, kuna taasisi za umma zinafungua mikutano yao kwa sala kwakuwa wengi ni dini moja tu.
Pumbavu mkubwa wewe Toka hapa
 
Kwani mkuu shule za kata si za jamii ya pale. Kwani watu wa pwani wakiboresha shule zao za kata si waislamu wengi watapata elimu bora kwa sababu wao huko pwani ndio wengi.
Huko Tanga waislamu si wengi, kwa nini kwa umoja wao wasiboreshe shule zao za kata kuliko shule za BAKWATA ambazo ada itakuwa kubwa na waislsmu wenye uwezo tu ndio watapekeka watoto huko.
Usipende ubishi wa kitoto na WA kijinga naenda udsm, mzumbe, sua fanya observation utaona watu wa upande upi ni wengi swala sio kuponda waislamu hapana, lakin sio wengi kwenye elimu za juu
 
Kumbuka BAKWATA ni Baraza kuu la Waislamu Tanzania,zipo Taasisi nyingi za kiislamu,zina shule, vyuo.Na Taasisi hizo ziko Tanzania nzima.Zipo zinazomiliki zaidi ya shule tatu,na zaidi ndani ya mkoa mmoja.
Uislamu uko tofauti na ukristo,kuwa ukristo umegawanyika,na kutofautiana mambo mengi katika ibada,lakini katika uislamu nyingi ya taasisi katika ibada ziko sawa.,ndio ikawa wengi wasio kuwa waislamu,wanashindwa kutofautisha baina ya BAKWATA na Taasisi za kiislam,na kujuwa kuwa BAKWATA ni kiongozi katika uislamu,Tanzania,katika uislamu ziko tasisi nyingi,lakini hazitofautiani katika ibada,ndio ukaona katika kuomba dua,za kitaifa,anakuja Sheikh mmoja tu,kuwakilisha Taasisi zote za kiislamu,Swala zinasaliwa bila utofauti,siku ya ijumaa,waislamu wote wanaswali ijumaa,hakuna wanaoswali jumamosi au jumapili kama wakristo walivogawanyika,waislamu wote wanakwenda Hija mji mmoja wa Maka,kwenye Qur'an wote wanafuata Qur'an hiyo hiyo,hawana utofauti,kama katika ukristo kila dhehebu lina Biblia yake.
Kwa hiyo jua,ziko Taasisi nyingi za kiislamu Zina shule zao pia,mbali na BAKWATWA.
Kuna Taasisi kama Istiqama,ina shule zake Tanzania nzima,kuna Islamic Foundation,Wana shule zao ,kuna African Muslim Agency(direct aid),Wana shule zao,kuna Maawah Islamia,kuna Answar muslim,Wana shule zao,kuna Jumuia ya kuhifadhisha Qur'an,Wana shule zao,kuna Ilala Islamic,wana shule zao,Nk ni Taasisi nyingi,hapo hatujagusa madhehebu mengine,kama Shia,Bohora,Aghakhan,Suni Jamaat nk
Taasisi zote hizo idadi ya shule zao haziwezi hata kulingana na idadi ya shule za taasisi moja ndogo tu ya Kikristo niliyoitolea mfano hapo,TAG (Tanzania Assembies of God).

Hapo sijataja taasisi kubwa kama RC,KKKT,Anglican,SDA etc...

Yaani waislam hamna taasisi inayoweza kushindana na taasisi ya dhehebu moja tu la kikristo..Wewe huoni tatizo hapo?

Kuna taasisi yoyote ya kiislam inayomiliki shule angalau ROBO ya idadi ya shule zinazomilikiwa na Roman Catholic?
 
Kumbuka BAKWATA ni Baraza kuu la Waislamu Tanzania,zipo Taasisi nyingi za kiislamu,zina shule, vyuo.Na Taasisi hizo ziko Tanzania nzima.Zipo zinazomiliki zaidi ya shule tatu,na zaidi ndani ya mkoa mmoja.
Uislamu uko tofauti na ukristo,kuwa ukristo umegawanyika,na kutofautiana mambo mengi katika ibada,lakini katika uislamu nyingi ya taasisi katika ibada ziko sawa.,ndio ikawa wengi wasio kuwa waislamu,wanashindwa kutofautisha baina ya BAKWATA na Taasisi za kiislam,na kujuwa kuwa BAKWATA ni kiongozi katika uislamu,Tanzania,katika uislamu ziko tasisi nyingi,lakini hazitofautiani katika ibada,ndio ukaona katika kuomba dua,za kitaifa,anakuja Sheikh mmoja tu,kuwakilisha Taasisi zote za kiislamu,Swala zinasaliwa bila utofauti,siku ya ijumaa,waislamu wote wanaswali ijumaa,hakuna wanaoswali jumamosi au jumapili kama wakristo walivogawanyika,waislamu wote wanakwenda Hija mji mmoja wa Maka,kwenye Qur'an wote wanafuata Qur'an hiyo hiyo,hawana utofauti,kama katika ukristo kila dhehebu lina Biblia yake.
Kwa hiyo jua,ziko Taasisi nyingi za kiislamu Zina shule zao pia,mbali na BAKWATWA.
Kuna Taasisi kama Istiqama,ina shule zake Tanzania nzima,kuna Islamic Foundation,Wana shule zao ,kuna African Muslim Agency(direct aid),Wana shule zao,kuna Maawah Islamia,kuna Answar muslim,Wana shule zao,kuna Jumuia ya kuhifadhisha Qur'an,Wana shule zao,kuna Ilala Islamic,wana shule zao,Nk ni Taasisi nyingi,hapo hatujagusa madhehebu mengine,kama Shia,Bohora,Aghakhan,Suni Jamaat nk
Taasisi ya Roman Catholic wana chuo kikuu. Kinaitwa St Augustine University, kipo Mwanza.

Taasisi ya Lutheran(KKKT) ina chuo kikuu, kinaitwa Tumaini University. Kina matawi mikoa mingi sana TZ.( KCMC ni tawi mojawapo la Tumaini University)

Taasisi ya Anglican ina chuo kikuu kinaitwa St John University kipo Dodoma.

Taasisi ya SDA(Wasabato) wana chuo kikuu kinaitwa University of Arusha, kipo Arusha.


TAAAISI ZA KIISLAM ZINA NINI?

Bado tu hujaona tatizo mlilonalo waislam kwenye kuipa elimu kipaumbele?
 
Hayo yote yatawezekana iwapo wataamua kujiendesha kisasa, Kuanzia viongozi wa juu hadi wangazi za mitaa. Otherwise nothing will happen
 
Taasisi ya Roman Catholic wana chuo kikuu. Kinaitwa St Augustine University, kipo Mwanza.

Taasisi ya Lutheran(KKKT) ina chuo kikuu, kinaitwa Tumaini University. Kina matawi mikoa mingi sana TZ.( KCMC ni tawi mojawapo la Tumaini University)

Taasisi ya Anglican ina chuo kikuu kinaitwa St John University kipo Dodoma.

Taasisi ya SDA(Wasabato) wana chuo kikuu kinaitwa University of Arusha, kipo Arusha.


TAAAISI ZA KIISLAM ZINA NINI?

Bado tu hujaona tatizo mlilonalo waislam kwenye kuipa elimu kipaumbele?
Ndio maana nikakuambia,usifananishe uislamu na ukristo,ukristo umegawanyika kimadhehebu sana,hapo hizo madhehebu za kikristo,zimejenga vyuo tofauti kutokana na ibada zao ziko tofauti,hawezi wanafunzi wa dhehebu moja kusoma kwenye dhehebu jingine.
Lakini angalia katika uislamu,Muislamu yoyote anaweza akasoma chuo cha Aghakan,au akasoma MUM(Muslim University of Morogoro),bila kuwa kinyume na ibada zinazofanyika hapo chuoni.
Wala kuwa na vyuo vingi ndio ubora wa elimu,kinachotizamwa ni quality(ubora) sio quantity(wingi).
 
Ndio maana nikakuambia,usifananishe uislamu na ukristo,ukristo umegawanyika kimadhehebu sana,hapo hizo madhehebu za kikristo,zimejenga vyuo tofauti kutokana na ibada zao ziko tofauti,hawezi wanafunzi wa dhehebu moja kusoma kwenye dhehebu jingine.
Lakini angalia katika uislamu,Muislamu yoyote anaweza akasoma chuo cha Aghakan,au akasoma MUM(Muslim University of Morogoro),bila kuwa kinyume na ibada zinazofanyika hapo chuoni.
Wala kuwa na vyuo vingi ndio ubora wa elimu,kinachotizamwa ni quality(ubora) sio quantity(wingi).
Huu utetezi wa kijinga ndio unafanya mpaka leo hii muendelee kuwa wa Mwisho kwenye elimu.

Unasema "haiwezekani wanafunzi wa dhehebu moja wakasoma kwenye dhehebu lingine", hivi huko kwenye shule/vyuo huwa wanafundishwa mafundisho ya dhehebu au Elimu ya darasani!!

Kila taasisi ina anzisha shule zake kwa sababu TAASISI ZA KIKRISTO ZINATHAMINI ELIMU, na kila taasisi INA KIPAUMBELE KIKUBWA SANA CHA ELIMU na Inawekeza kwenye Elimu.

Kama huu ndio utetezi mnaokuja nao,mtaendelea kuongozwa na wakristo milele.
 
Ndio maana nikakuambia,usifananishe uislamu na ukristo,ukristo umegawanyika kimadhehebu sana,hapo hizo madhehebu za kikristo,zimejenga vyuo tofauti kutokana na ibada zao ziko tofauti,hawezi wanafunzi wa dhehebu moja kusoma kwenye dhehebu jingine.
Lakini angalia katika uislamu,Muislamu yoyote anaweza akasoma chuo cha Aghakan,au akasoma MUM(Muslim University of Morogoro),bila kuwa kinyume na ibada zinazofanyika hapo chuoni.
Wala kuwa na vyuo vingi ndio ubora wa elimu,kinachotizamwa ni quality(ubora) sio quantity(wingi).
Wewe jamaa unachekesha sana.

Eti "muislam yoyote anaweza kusoma MUM".

Kwani mkristo yoyote hawezi kusoma chuo cha dhehebu lingine la kikristo?Kule wanafundisha masomo ya madhehebu?
We jamaa unaongea utopolo gani?

Vyuo vya katoliki(SAUT kwa mfano) wanasoma wakatoliki tu? Hakuna Walutheri,Wasabato,Walokole mule??

KCMC(Chuo kishiriki cha Tumaini cha KKKT) wanasome Walutheri tu? Hamna Wakatoliki, Wasabato,Walokole etc mule?

Mimi ni mlutheri, nimesoma chuo cha katoliki...na nilikuwa Very comfortable. Na pale tulikuwa watu wa madhehebu yote mpaka Waislam walijazana pale.

Narudia, Kama akili zenu ndio hizi za kwenye hii comment,basi mtaendelea kuongozwa na wakristo milele
 
Sio waisilamu tu, Hata wakiristo.
Wako busy kujenga makanisa, vishule vya watoto wao vipo hovyo.
Waislamu na wakiristo wote waamke akili, waache tabia ya mkoloni ya kuwadumaza akili misikitini na makanisani.
Watu wote tuboreshe shule zinazotuzunguka, kwa kweli ni kama magofu, hizo saint ni chache tu na wala sio tegemeo ka jamii kubwa bali wachache tu.
Wachungaji ba mashehe hawzhawahi kuitisha harembee ta shple zinaziwazunguka bal kuongeza majengo.
Tanzania haina uhaba wa misikiti na makanisa ila shule, hospitali na vifaa vyake.
Unazungumzia Roman Catholic au kanisa la Gwajima? Naomba tutofautishie kidogo hapo
 
Back
Top Bottom