Sheikh Mkuu Zuberi jenga shule kubwa badala ya misikiti mikubwa

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,288
12,579
Idadi ya wiaslamu wako kwenye vyuo vikuu, ofisi za umma na sehemu zote za utumishi ni ndogo sana kulinganisha na watu wa dini nyingine.

Bila shaka pamoja na mambo mengine ya kihistoria, imani, ukabila, ukanda na kiuchumi lakini idadi ndogo ya watoto wa kiislamu kwenye vyuo vikuu ukilinganisha na watoto wa dini nyingine inaweza kuwa sababu ya msingi ya shida hii

Badala ya kuwaza kujengewa misikiti mingi na mikubwa weka jitihada zako kwenye kujenga shule na vyuo vingi ambako watoto wengi wa kiislam watapata ilmu dunia pia. Elimu hii ndiyo inayotoa wahandisi, madaktari, wauguzi, walimu, marais, mawaziri, wakurugenzi na watumishi wengine.

Fanya sensa ya watumishi kwenye kila wizara, ofisi, shule Na vyuo vya umma Na binafsi ujionee hali ilivyo. Pitapita huko uone idadi ya walimu wa vyuo vikuu huko.

Mazoezi ya kuhifadhi Qur'an yaende sambamba na mazoezi ya kuhifadhi hisabati Na fizikia kwenye madrasa zao.

Kama viongozi wa ofisi mbalimbali wengi ni wa dini fulani bila shaka watumishi wanaotegemea maoni yao kwenye kuajiliwa na kuteuliwa kwenye nafasi mbalimbali bila shaka watakuwa kama wa dini za wanaowateua. Like dissolve like.
 
Its too late jamaa yng we angalia km roma wale wanazuga tu eti shule walizonazo ni kwa ajili ya kuandaa mapadri lkn sio kweli lengo ni kuingiza watu wao kwenye system ya ajira serikalin na kupata mapadri pia
Kama Bakwata haitaacha kuwa chombo cha kisiasa waislamu watakuwa wasindikizaji milele kwenye taifa lao. Hali ya waislam inatisha sana, kuna taasisi za umma zinafungua mikutano yao kwa sala kwakuwa wengi ni dini moja tu.
 
Sio waisilamu tu, Hata wakiristo.
Wako busy kujenga makanisa, vishule vya watoto wao vipo hovyo.
Waislamu na wakiristo wote waamke akili, waache tabia ya mkoloni ya kuwadumaza akili misikitini na makanisani.
Watu wote tuboreshe shule zinazotuzunguka, kwa kweli ni kama magofu, hizo saint ni chache tu na wala sio tegemeo ka jamii kubwa bali wachache tu.
Wachungaji ba mashehe hawzhawahi kuitisha harembee ta shple zinaziwazunguka bal kuongeza majengo.
Tanzania haina uhaba wa misikiti na makanisa ila shule, hospitali na vifaa vyake.
 
Sio waisilamu tu, Hata wakiristo.
Wako busy kujenga makanisa, vishule vya watoto wao vipo hovyo.
Waislamu na wakiristo wote waamke akili, waache tabia ya mkoloni ya kuwadumaza akili misikitini na makanisani.
Watu wote tuboreshe shule zinazotuzunguka, kwa kweli ni kama magofu, hizo saint ni chache tu na wala sio tegemeo ka jamii kubwa bali wachache tu.
Wachungaji ba mashehe hawzhawahi kuitisha harembee ta shple zinaziwazunguka bal kuongeza majengo.
Tanzania haina uhaba wa misikiti na makanisa ila shule, hospitali na vifaa vyake.
Mkuu kwenye masuala ya elimu wakristo wapo mbali sana. Shule za kikristo hizi st. St....ni nyingi mno,
 
Mkuu kwenye masuala ya elimu wakristo wapo mbali sana. Shule za kikristo hizi st. St....ni nyingi mno,
BAKWATA wana shule zaidi ya 60,Kati ya hizo 32 ni vyuo vya dini.30 ni secondary,,wasomi wengi wa kiislamu waliomaliza BAKWATA,wako nje nchi na wanafasi nzuri za kazi,na wengine ni wafanyabiashara maarufu.
 
Mkuu kwenye masuala ya elimu wakristo wapo mbali sana. Shule za kikristo hizi st. St....ni nyingi mno,
Kwani waislamu hawasomi huko? Hata hizo za kislamu wakiristo hawasomi?
Naishi mikoa yenye wakiristo wengi, wengi wao wnategemea shule za kata ambazo ni mbovu tu.
Jamii iboreshe shule za kata na msingi kwa sababu ndio msaada kwa watu wengi.
Wangapi wanauwezo wa kulipa ada milioni 2 iwapo elf 20000 tu iliwashinda hadi magu akaifuta.
 
Idadi ya wiaslamu wako kwenye vyuo vikuu, ofisi za umma na sehemu zote za utumishi ni ndogo sana. Bila shaka pamoja na mambo mengine lakini uchache wa watoto wa kiislamu kwenye vyuo vikuu ni ndogo sana ukilinganisha na watoto wa dini nyingine.

Badala ya kuwaza kujengewa misikiti mingi na mikubwa weka jitihada zako kwenye kujenga shule na vyuo vingi ambako watoto wengi wa kiislam watapata ilmu dunia.

Fanya sensa ya watumishi kwenye kila wizara, ofisi, shule Na vyuo vya umma Na binafsi ijionee hali ilivyo.

Mazoezi ya kuhifadhi Qur'an yaende sambamba na mazoezi ya kuhifadhi hisabati Na fizikia kwenye madrasa zao.

Kama viongozi wa ofisi wengi ni wa dini fulani bila shaka tumishi wanaotegemea maoni yao kwenye kuajiliwa watakuwa wa kama dini zao pia.
Wewe labda mgeni Tanzania,BAKWATA wana shule nyingi tu,na ni nzuri,wapo wasomi wengi wamemaliza huko.Shule karibia 30 na vyuo vya dini zaidi 32.Na ndani ya BAKWATA wapo wasomi wengi tu.
 
Mkuu kwenye masuala ya elimu wakristo wapo mbali sana. Shule za kikristo hizi st. St....ni nyingi mno,
Kwani mkuu shule za kata si za jamii ya pale. Kwani watu wa pwani wakiboresha shule zao za kata si waislamu wengi watapata elimu bora kwa sababu wao huko pwani ndio wengi.
Huko Tanga waislamu si wengi, kwa nini kwa umoja wao wasiboreshe shule zao za kata kuliko shule za BAKWATA ambazo ada itakuwa kubwa na waislsmu wenye uwezo tu ndio watapekeka watoto huko.
 
Idadi ya wiaslamu wako kwenye vyuo vikuu, ofisi za umma na sehemu zote za utumishi ni ndogo sana. Bila shaka pamoja na mambo mengine lakini uchache wa watoto wa kiislamu kwenye vyuo vikuu ni ndogo sana ukilinganisha na watoto wa dini nyingine.

Badala ya kuwaza kujengewa misikiti mingi na mikubwa weka jitihada zako kwenye kujenga shule na vyuo vingi ambako watoto wengi wa kiislam watapata ilmu dunia.

Fanya sensa ya watumishi kwenye kila wizara, ofisi, shule Na vyuo vya umma Na binafsi ijionee hali ilivyo.

Mazoezi ya kuhifadhi Qur'an yaende sambamba na mazoezi ya kuhifadhi hisabati Na fizikia kwenye madrasa zao.

Kama viongozi wa ofisi wengi ni wa dini fulani bila shaka tumishi wanaotegemea maoni yao kwenye kuajiliwa watakuwa wa kama dini zao pia.
Mtoa mada atakuwa mgeni na bakwata ..hiyo taasisi waanzilishi walipelekwa Israel kusomea uja...
 
Idadi ya wiaslamu wako kwenye vyuo vikuu, ofisi za umma na sehemu zote za utumishi ni ndogo sana. Bila shaka pamoja na mambo mengine lakini uchache wa watoto wa kiislamu kwenye vyuo vikuu ni ndogo sana ukilinganisha na watoto wa dini nyingine
Leta results za research uliyofanya mpaka kufikia kwenye hii conclusion.

Na sio some religion hypocrisy.
 
Wewe labda mgeni Tanzania,BAKWATA wana shule nyingi tu,na ni nzuri,wapo wasomi wengi wamemaliza huko.Shule karibia 30 na vyuo vya dini zaidi 32.Na ndani ya BAKWATA wapo wasomi wengi tu.
Masheikh wetu wanashangaa mama Samia imekuwaje awe Rais ilihali watoto wa kike wa kiislam wanahimizwa na masheikh waolewe pasipo kuchelewa..
 
Its too late jamaa yng we angalia km roma wale wanazuga tu eti shule walizonazo ni kwa ajili ya kuandaa mapadri lkn sio kweli lengo ni kuingiza watu wao kwenye system ya ajira serikalin na kupata mapadri pia
Ni Wapi uliona Roma Wanasema shule zao ni za kuandaa mapadri?
Shule za RC wanasoma watoto wote bila kibali dini zao, hata watoto wa waislam wanaoona mbali wamo kibao.
 
Idadi ya wiaslamu wako kwenye vyuo vikuu, ofisi za umma na sehemu zote za utumishi ni ndogo sana. Bila shaka pamoja na mambo mengine lakini uchache wa watoto wa kiislamu kwenye vyuo vikuu ni ndogo sana ukilinganisha na watoto wa dini nyingine.

Badala ya kuwaza kujengewa misikiti mingi na mikubwa weka jitihada zako kwenye kujenga shule na vyuo vingi ambako watoto wengi wa kiislam watapata ilmu dunia.

Fanya sensa ya watumishi kwenye kila wizara, ofisi, shule Na vyuo vya umma Na binafsi ijionee hali ilivyo.

Mazoezi ya kuhifadhi Qur'an yaende sambamba na mazoezi ya kuhifadhi hisabati Na fizikia kwenye madrasa zao.

Kama viongozi wa ofisi wengi ni wa dini fulani bila shaka tumishi wanaotegemea maoni yao kwenye kuajiliwa watakuwa wa kama dini zao pia.
Ukijenga wewe inatosha sana yeye muache ajenga misikiti shida iko wapi
 
Kwani waislamu hawasomi huko? Hata hizo za kislamu wakiristo hawasomi?
Naishi mikoa yenye wakiristo wengi, wengi wao wnategemea shule za kata ambazo ni mbovu tu.
Jamii iboreshe shule za kata na msingi kwa sababu ndio msaada kwa watu wengi.
Wangapi wanauwezo wa kulipa ada milioni 2 iwapo elf 20000 tu iliwashinda hadi magu akaifuta.
Kongole kwako kwa majibu mazuri na clear
 
Hivi bakwata kumilik shule 30 nch nzima ndio maendeleo kwel ?

Waongeze shule waislam wanaohtaj elimu n weng kuliko hizo shule uzur wa swala unaweza swalia hata nyumban lakn elimu inahtaj sehemu maalum

Hao wasomi wa kiislam wengi wanailaumu hii taasis kuwa Haina vision na Wala Haina lengo la kimkomboa muislam juu ya adui ujinga

MJADALA WA KITAIFA UNAHITAJIKA JUU YA MUSTAKABALI WA VIJANA WA KIISLAM KUPATA ELIMU KWA USAWA NCHI NZIMA KUNA MAENEO AU MIKOA BAKWATA HAWANA SHULE KABISA
 
Back
Top Bottom