Sheikh Mkuu Zuberi jenga shule kubwa badala ya misikiti mikubwa

Wewe jamaa unachekesha sana.

Eti "muislam yoyote anaweza kusoma MUM".

Kwani mkristo yoyote hawezi kusoma chuo cha dhehebu lingine la kikristo?Kule wanafundisha masomo ya madhehebu?
We jamaa unaongea utopolo gani?

Vyuo vya katoliki(SAUT kwa mfano) wanasoma wakatoliki tu? Hakuna Walutheri,Wasabato,Walokole mule??

KCMC(Chuo kishiriki cha Tumaini cha KKKT) wanasome Walutheri tu? Hamna Wakatoliki, Wasabato,Walokole etc mule?

Mimi ni mlutheri, nimesoma chuo cha katoliki...na nilikuwa Very comfortable. Na pale tulikuwa watu wa madhehebu yote mpaka Waislam walijazana pale.

Narudia, Kama akili zenu ndio hizi za kwenye hii comment,basi mtaendelea kuongozwa na wakristo milele
Jua fahamu,chuo chochote cha dini,huwa kinafuata imani ya dini husika,katika ibada,mavazi,itikadi nk.Kwa upande wa kikristo kuna madhehebu mengi sana,lakini upande wa uislamu 99.9 asilimia ni Suni.Katika hao Suni ndio kuna Taasisi tofauti.Wanafunzi wa hizo Taasisi wanaweza kusoma chuo chochote,kilichoasisiwa na Taasisi yoyote bila mgongano.
Lakini katika ukristo,msabato akisoma chuo cha Kikatoliki,upo mgongano,mfano mdogo tu,msabato hafanyi kazi yoyote siku ya jumamosi,je kukitolewa mtihami siku ya jumamosi,katika chuo cha Kikatoliki,atafanya huo mtihani?(Na imewahi kutokea hiyo,katika chuo fulani).
Hata katika ibada,wapo wakristo,wanahesabu baadhi ya vitu vinavyotumika katika madhehebu mengine,ni ibada za sanamu.Kwa hiyo kila dhehebu linakuwa huru zaidi,wanafunzi wake kusoma chuo cha dhehebu lake.
Yapo madhehebu,hayatambui sikukuu za madhehebu mengine,je wakiweka mtihani siku ambazo,ni sikukuu kwa wengine,hapo hapajatokea migongano?
Hayo ni machache tu,kwa kukupa mifano.
 
Huu utetezi wa kijinga ndio unafanya mpaka leo hii muendelee kuwa wa Mwisho kwenye elimu.

Unasema "haiwezekani wanafunzi wa dhehebu moja wakasoma kwenye dhehebu lingine", hivi huko kwenye shule/vyuo huwa wanafundishwa mafundisho ya dhehebu au Elimu ya darasani!!

Kila taasisi ina anzisha shule zake kwa sababu TAASISI ZA KIKRISTO ZINATHAMINI ELIMU, na kila taasisi INA KIPAUMBELE KIKUBWA SANA CHA ELIMU na Inawekeza kwenye Elimu.

Kama huu ndio utetezi mnaokuja nao,mtaendelea kuongozwa na wakristo milele.
Waislamu wapo mbele sana kielimu,usijindangaje,ila waislamu wengi,wamejikita kwenye biashara,na kufanyakazi kwenye kampuni za kibinafsi,na wengi huwa wanavyamia soko la ajira katika nchi za nje ,sana.Waislamu kuwaachia dini nyingine,kushika nafasi,za ajira nyingine,sio kwamba hawakusoma,ila muelekeo wa wengi,wako kwenye biashara,wako sekta binafsi,wako kwenye ajira za nje ya nchi.
 
Taasisi ya Roman Catholic wana chuo kikuu. Kinaitwa St Augustine University, kipo Mwanza.

Taasisi ya Lutheran(KKKT) ina chuo kikuu, kinaitwa Tumaini University. Kina matawi mikoa mingi sana TZ.( KCMC ni tawi mojawapo la Tumaini University)

Taasisi ya Anglican ina chuo kikuu kinaitwa St John University kipo Dodoma.

Taasisi ya SDA(Wasabato) wana chuo kikuu kinaitwa University of Arusha, kipo Arusha.


TAAAISI ZA KIISLAM ZINA NINI?

Bado tu hujaona tatizo mlilonalo waislam kwenye kuipa elimu kipaumbele?
Wana chuo kinaitwa MUM kilichojengwa kwenye jengo la TANESCO walilopewa na Hayati BW Mkapa.
 
Ndio maana nikakuambia,usifananishe uislamu na ukristo,ukristo umegawanyika kimadhehebu sana,hapo hizo madhehebu za kikristo,zimejenga vyuo tofauti kutokana na ibada zao ziko tofauti,hawezi wanafunzi wa dhehebu moja kusoma kwenye dhehebu jingine.
Lakini angalia katika uislamu,Muislamu yoyote anaweza akasoma chuo cha Aghakan,au akasoma MUM(Muslim University of Morogoro),bila kuwa kinyume na ibada zinazofanyika hapo chuoni.
Wala kuwa na vyuo vingi ndio ubora wa elimu,kinachotizamwa ni quality(ubora) sio quantity(wingi).
Hebu ACHA UONGO ndani ya mwezi Mtukufu wa Ramadhan, eti Mwanafunzi wa dhehebu moja la kikristo hawezi kusoma katika chuo cha dhehebu lingine???

Umelitoa wapi hili?
 
Wewe jamaa unachekesha sana.

Eti "muislam yoyote anaweza kusoma MUM".

Kwani mkristo yoyote hawezi kusoma chuo cha dhehebu lingine la kikristo?Kule wanafundisha masomo ya madhehebu?
We jamaa unaongea utopolo gani?

Vyuo vya katoliki(SAUT kwa mfano) wanasoma wakatoliki tu? Hakuna Walutheri,Wasabato,Walokole mule??

KCMC(Chuo kishiriki cha Tumaini cha KKKT) wanasome Walutheri tu? Hamna Wakatoliki, Wasabato,Walokole etc mule?

Mimi ni mlutheri, nimesoma chuo cha katoliki...na nilikuwa Very comfortable. Na pale tulikuwa watu wa madhehebu yote mpaka Waislam walijazana pale.

Narudia, Kama akili zenu ndio hizi za kwenye hii comment,basi mtaendelea kuongozwa na wakristo milele
Hawa wanaitwa Wana wa Kulalamika, mahala pa kutumia akili wanatumia Jazba, Malalamiko na Milipuko

Ndio Uislam wao huo, wana wa Mwamedi
 
Jadili utolewaji wa elimu kwa jamii yote na si waislamu tu. Wamasai na waislamu wepi wamenyimwa elimu zaidi?
Tanzania elimu yetu kwa ujimla ipo nyuma, si wakiristu si waislamu si wapagani.
Mimi kama mtaalamu wa elumu nashauri ujadili elimu bora kwa kila mtanzania, suala la vikundi vikundi halina mantiki. Shule za serikali zipo kwa ajili ya kila mtu.
Bakwata walirithishwa na warabu kujenga msikiti na si shule.
Bakwata inaendeshwa na mashehe, unategemea watajenga shule ?
Bakwata wameshindwa kuzisimamia shule zilizopo , je wataweza kujenga zingine ?
Mind set ya waislamu inatakiwa ibadirike, waige warabu wa Dubai, wamefanya mapinduzi ya kifikra na kuachana na fikra za jadi ya kiislamu.
Waige wa Iran wametoka kwenye dhana ya kusubili akhera na kuijenga mifumo ya dunia ya kisasa.
Ukienda msikitini ni mawaidha ya hadithi za mtume tu, hakuna kujadili changamoto za kielimu,sayansi na teknolojia, hii ni kwa sababu uelewa wa mashekh ni hadith za mtume tu, habali za Globalization haziwahusu,uwekezaji hauwahusu.
Kila ijumaa unazikiliza hadithi ile ile mpaka unazeeka.Unatalajia jipya mkuu,.
samahani kama nimekukwaza ila uwongo kwangu mwiko.
Mimi nimeongelea kuhusu uwiano wa dini vyuoni na kazini, sio vibaya na wewe ukaongelea elimu kwenye makabila, mikoa na kanda ukipenda. Mimi kilichonishitua ni vikao na mikutano kufunguliwa kwa sala bila kujali dini nyingine kwasababu tu watu wa dini nyingine ni wachache au hawapo kabisa kwenye mkutano ule.
 
Kujenga msikiti na madrasa zitazosomesha Qur'aan na Sunnah ni bora mara elfu kuliko kujenga shule.
Ndo maana waislamu wanashindwa hata kutoa zaka na sakata, hawana kipato hawana ajira ni vibarua tu wanaovaa yebo na mitumba. Kama huamini nenda kwenye msikiti wa ijumaa halafu angalia viatu vyao pale mlangoni, binafsi natamani kulia. Waumini wana ndala na yebo imetoboka kwenye kisigino
 
Lakini Waislamu ndio matajiri wakubwa hapa nchini sijui nao wamependelewa na nani, na pia kwenye makampuni yao asilimia 90 ya wanaoajiriwa ni Waislamu nadhani ungeanzia huko kwanza mkuu.
Taasisi na ofisi za umma ni mali ya dini zote na zinaendeshwa na kodi za watu wa dini zote, kukaliwa na watu wa dini moja sio afya. Achana na hao matajiri binafsi kama Mengi, Mo, Bakhera
 
Ndo maana waislamu wanashindwa hata kutoa zaka na sakata, hawana kipato hawana ajira ni vibarua tu wanaovaa yebo na mitumba. Kama huamini nenda kwenye msikiti wa ijumaa halafu angalia viatu vyao pale mlangoni, binafsi natamani kulia. Waumini wana ndala na yebo imetoboka kwenye kisigino
Poa.
 
Kama Bakwata haitaacha kuwa chombo cha kisiasa waislamu watakuwa wasindikizaji milele kwenye taifa lao. Hali ya waislam inatisha sana, kuna taasisi za umma zinafungua mikutano yao kwa sala kwakuwa wengi ni dini moja tu.
Wamechelewa mnooo hapo dawa ni juhudi binafs kwa familia za kiislam kuendeleza watoto wao kwa Ilm dunia
 
BAKWATA wana shule zaidi ya 60,Kati ya hizo 32 ni vyuo vya dini.30 ni secondary,,wasomi wengi wa kiislamu waliomaliza BAKWATA,wako nje nchi na wanafasi nzuri za kazi,na wengine ni wafanyabiashara maarufu.
Hahaha eti wasomi wa "ILIMU DUNIA AU FIRDAUS? Unajua maana ya msomi?
 
Wewe labda mgeni Tanzania,BAKWATA wana shule nyingi tu,na ni nzuri,wapo wasomi wengi wamemaliza huko.Shule karibia 30 na vyuo vya dini zaidi 32.Na ndani ya BAKWATA wapo wasomi wengi tu.
Shule 60 ndio nyingi? Wakati idadi hiyo ya shule Ni Sawa n'a za wakristo ktk mkoa mmoja tu?
 
Hebu ACHA UONGO ndani ya mwezi Mtukufu wa Ramadhan, eti Mwanafunzi wa dhehebu moja la kikristo hawezi kusoma katika chuo cha dhehebu lingine???

Umelitoa wapi hili?
Kusalimiana kwenu tu kuko tofauti kuna Bwana Yesu asifiwe na Tumsifu Yesu kiristo.Ndio wataka kuniambia hamna utofauti.
 
Back
Top Bottom