Sheikh Farid amewahi kutumikia Jeshi la Qatar

Sheikh Farid amewahi kutumikia Jeshi la Qatar

Haaaaaaaaaaaaaaaaaah Hilo Jeshi la hiyo nchi hatari. Jeshi la nchi fulani linaajira Wageni sielewi.!

Mnaambiwa someni hamtaki, nyie mmekaa kujazwa ujinga na shule za St. Kayumba, hata USA waanajiri askari wa kigeni, isitoshe, ushawahi kuwasikia Gurkha? kikosi cha askari wakali sana wa Uingereza ambao si Waingereza?

Soma zaidi: Watching America **:** » The U.S. Military Looks to Foreign Soldiers to Fill Recruiting Gaps

Gurkhas: BBC News - Who are the Gurkhas?

_48508520_000115152-1.jpg
Gurkhas are part of the British Army

Na nchi nyingi duniani zinaajiri askari wasio raia wao:

The United Arab Emirates has confirmed that the crown prince of Abu Dhabi has hired the founder of private security firm Blackwater Worldwide to set up an 800-member battalion of foreign troops for the UAE, a story that was published in the New York Times on Sunday.

Source: United Arab Emirates confirms creation of Special Forces to tackle contingencies

Sikioni mnachokionea ajabu Mtanzania akiwa askari Qatar, ni ujinga tu uliowajaa. Uaskari ni profession kama profession nyingine yoyote ile.
 
Kama allah sio muarabu basi acheni kuwadunda watoto madrasa kiuwalazimisha kujifunza kiarabu ambacho hakiwasaidii chochote kwenye soko la ajira zaidi ya kuandika albadiri.

Allah ana mabinti watatu Lat, Uzzah na Manat. Labda hakuwazaa ila anajua mwenyewe alivyowapata
njiwa sweke32

Moja ya hoja zinazoletwa na Wakristo ni madai yao kuwa ALLAH (SW) Ana watoto watatu wa kike...Lat,Uzza,na Manata
Ili kuthibitisha hoja yao ,wakristo wamekuwa wakinukuu aya ya 19 na 20 Kutoka katika surat Annajm

Tuziangalie hizi aya zinasemaje


19: Je mmewaona Lata na Uzza.?
20: Na Manata Mwengineo wa tatu ?

(The Holly Quran - Surat Annajm 19-20 )

Wakristo hupenda kunukuu aya hizi mbili na kusimama...swali ni je kwa nini wakristo husimama hapa ?
Je Roho Mtakatifu anaogopa kuendelea..kwa sababu wakristo wanadai kuongozwa na roho mtakatifu...Je roho mtakatifu kuna kitu anaficha ?

Tumalizie aya zote tuone zinasemaje....


21: Je mmempa mwenyezimungu wale wa kike na nyinyi kujichagulia wa Kiume ?
22: Basi huu ni mgawanyo usio wa haki.
23: Hayakuwa haya (Lata,Uza na Manata) ila ni majina Mliyowapa nyinyi na baba zenu .Hakika Allah hakushusha Dalili juu ya haya..Hamfati isipokuwa dhana na yale yanayopendwa na nafsi zenu
na kwa hakika ulishawajia kutoka kwa mola wao uongofu...

(The Holly Quran - Surat Annajm 21-22 )
 
Last edited by a moderator:
QATAR ndiko JK ametengeneza zoo, kama mnakumbuka sakata la wanyama kubebwa na ndege ya jeshi la Qatar usiku wa manane huko KIA mpaka leo watu wanapeta tu mtaani. Jeuri ya hawa jamaa iko ikulu, ndiyo maana mchungaji Mtikira akasema JK ni gaidi watu hawakumwelewa lakini mahakama imemwelewa na kumuacha huru. Tatizo liko ikulu na si mahali pengine watanzania tuzinduke.
 
hizi ni akili za kitanganyika chuki na ubinafsi kwani faridi akifanya kazi oman au qatar ndio nini au yeye ni mweupe tu ndio ulete bla bla za ubaguzi kuna watu weusi wazanzibar wako qatar na polisi wengine ni majeshi wengine pilot na wengine ni wahasibu wa mabenki nini nyinyi watanganyika mukifika oman dubei nyote munasema ni wazanzibar mupate ajira mbuzi nyiee chuki roho mbaya na ubaya nenda dubei kuna madactari tele wazanzibar shata maofisa wa uhamiaji nenda sharja na ajman nenda kuweit mbuzi nyie tumechoka na muungano wenu kheri tungeungana na ngombe kuliko tanganyika munashindwa hata kufikiria muungano wa usawa ili kuwe na maendeleoo watanganyika wanaume wanauza ugoroo tuu kwenye khalij na wazzanzibar ndio mabasha
are u among the white? race,colour,naonality OR...!?. Angalia ku amka kwako usije ua/kuji *ua kwa jina la allah a.k.a. kuji booooooomb.kitu UAMSHO hicho.
 
Hachafuliwi na mtu hapo ni Wakristo wenyewe wanayoandika hayo na ushahidi ni hizo links. Huo ***** uliouweka wewe umewekwa na Muislaam?
wamesema kweli BUT wewe na umwangajini wako huja nusurika,mtu kuachana na ukatoliki na kujiunga na uislam/umwangajini hakuna unachofanya ni sawa na kuruka mkojo kukanyaga......,nenda kwenye hiyohiyo site watakwambia pa kwenda
jini
 
wamesema kweli BUT wewe na umwangajini wako huja nusurika,mtu kuachana na ukatoliki na kujiunga na uislam/umwangajini hakuna unachofanya ni sawa na kuruka mkojo kukanyaga......,nenda kwenye hiyohiyo site watakwambia pa kwenda
jini

Hakuna zaidi ya kujisalimsha kwa mmoja tuu. Na hilo unalijuwa sana bali shetani tu kakukaa kooni na huoni husikii.
 
njiwa sweke32

Moja ya hoja zinazoletwa na Wakristo ni madai yao kuwa ALLAH (SW) Ana watoto watatu wa kike...Lat,Uzza,na Manata
Ili kuthibitisha hoja yao ,wakristo wamekuwa wakinukuu aya ya 19 na 20 Kutoka katika surat Annajm

Tuziangalie hizi aya zinasemaje


19: Je mmewaona Lata na Uzza.?
20: Na Manata Mwengineo wa tatu ?

(The Holly Quran - Surat Annajm 19-20 )

Wakristo hupenda kunukuu aya hizi mbili na kusimama...swali ni je kwa nini wakristo husimama hapa ?
Je Roho Mtakatifu anaogopa kuendelea..kwa sababu wakristo wanadai kuongozwa na roho mtakatifu...Je roho mtakatifu kuna kitu anaficha ?

Tumalizie aya zote tuone zinasemaje....


21: Je mmempa mwenyezimungu wale wa kike na nyinyi kujichagulia wa Kiume ?
22: Basi huu ni mgawanyo usio wa haki.
23: Hayakuwa haya (Lata,Uza na Manata) ila ni majina Mliyowapa nyinyi na baba zenu .Hakika Allah hakushusha Dalili juu ya haya..Hamfati isipokuwa dhana na yale yanayopendwa na nafsi zenu
na kwa hakika ulishawajia kutoka kwa mola wao uongofu...

*(The Holly Quran - Surat Annajm 21-22 )
tunaomba na lile swali la msingi ujibu,allah ni mwarabu? kama sio kulikoni kuwalazimisha watu lugha hiyo hali ya kuwa mungu anajua hadi ss tusivyovijua?,mwisho wake watu wanaishia kujilipua eti njia ya mkato kwenda mbinguni, chinjachinja kwa jina la allah.eeeeeeembingu hizo na watoto bikira haoooo.
 
wivu wako nini wewe na faridi si mtanganyika? Ikiwa kufanya kazi qatar ndio zambi, basi wako wengi tu wazanzibar wanafanya kazi gulf tena jeshini na serekali ya mapinduzu ya zanzibar inajuwa hilo na lipo kabla ya muungano na tanganyika.

Jee kuwa na jamma gulf vipi? Maana wazanzibar takribani nusu wana jamaa huko sasa tuseme vipi? Hebu wacha wazimu kama munasema watanganyika na wazanzibar nindugu basi na gulf na wazanzibar wana damu vile vile kwa vile walikuja na kuoa na kuzaa.

Hebu rudi usome historia ya visiwa vya zanzibar na watu wake, basi mwambie rais wako kikwete awazuwie basi, kama imekuwa wivu?.

funguka yakheeeeh funguka maaalim
 
Hachafuliwi na mtu hapo ni Wakristo wenyewe wanayoandika hayo na ushahidi ni hizo links. Huo ***** uliouweka wewe umewekwa na Muislaam?
Sasa Mkuu Zomba, kama Farid ni Raia wa Yemen, vp aje kuwale,tea Viroja Wa Zanziber
 
Yule kijana mwanasayansi anataka kuchambia lile book lenu

Qur'an ni kwa walimwengu wote, usiiogope, isome tu:

"This is the Book. In it is guidance surely without any doubt, to those who fear God, who believe in the Unseen, are steadfast in prayer, and spend out of what we have provided for them." (Sura Baqarah, verse 2 and 3)

Kiswahili chake:

Qur'an 2: 2-3

2. Hiki ni Kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake; ni uwongofu kwa wachamungu,3. Ambao huyaamini ya ghaibu na hushika Sala, na hutoa katika tuliyo wapa"Say O people of the Book come to an agreement between us and you: That you shall worship none but God and that we shall ascribe no partners to him and that none of us shall take others for Lords beside God." (Sura Al-Imran, verse 64)

 
Sasa Mkuu Zomba, kama Farid ni Raia wa Yemen, vp aje kuwale,tea Viroja Wa Zanziber

Hata Pengo ni raia wa Vatican, au hujui hilo? ni lini aliukana Utanzania wake au ni nani anathubutu kumuuliza?

Watanzania kibao wana Uraia wa nje, wengine wengi wao wamo humu JF na ndio maana ya kuundwa diaspora inayotaka ikubalike kuwa na Uraia wa nchi mbili. Watanzania wengi wamechukuwa Uraia wa nje kwa maslahi ya kimaisha tu na si vingine na hilo si siri, wala sishangai Farid akiwa na Uraia wa Yemen au USA au UK.
 
Hata Pengo ni raia wa Vatican, au hujui hilo? ni lini aliukana Utanzania wake au ni nani anathubutu kumuuliza?

Watanzania kibao wana Uraia wa nje, wengine wengi wao wamo humu JF na ndio maana ya kuundwa diaspora inayotaka ikubalike kuwa na Uraia wa nchi mbili. Watanzania wengi wamechukuwa Uraia wa nje kwa maslahi ya kimaisha tu na si vingine na hilo si siri, wala sishangai Farid akiwa na Uraia wa Yemen au USA au UK.

Sasa zomba, Pengo anaingiaje hapa, hata kama ni Raia wa Vatican, je ni Vurugu gani amezifanya ukilinganisha na Farid, Mkuu nyie Mbona mna Inferiority Complex kiasi hiko

???
 
Last edited by a moderator:
tunaomba na lile swali la msingi ujibu,allah ni mwarabu? kama sio kulikoni kuwalazimisha watu lugha hiyo hali ya kuwa mungu anajua hadi ss tusivyovijua?,mwisho wake watu wanaishia kujilipua eti njia ya mkato kwenda mbinguni, chinjachinja kwa jina la allah.eeeeeeembingu hizo na watoto bikira haoooo.

Allah (SW) si muarabu...watoto wa kiislamu hujifunza kiarabu kwa kuwa ndio lugha ya iliyotumika kushusha Quran
Hii imesaidia sana kuhakikisha quran inabaki katika uhalisia wake tangu iliposhushwa mpaka leo....

ndio maana quran haina versions kama Biblia takatifu
 
NA Kwa mujibu wa magazeti ya leo ni kwamba alifukuzwa jeshi la Qatar kwa kuwa ana matatizo ya akili
na ndo maana mnaona ana midevu kama beberu coz katika hali ya kawaida
binadamu yeyeto mwenye akili timamu hawezi kuachia midevu kiasi hicho
otherwise uwe na UKICHAA au UWE GAIDI

Hapo kwenye red ndo kwa kuwa makini. Hii inaweza ikawa janja ya nyani, wanajifanya kumfukuza jeshi, kumbe wamempika na sasa ameiva. Hivyo njia rahisi ni kujifanya ana kichaa na kufukuzwa.
 
Qur'an ni kwa walimwengu wote, usiiogope, isome tu:

"This is the Book. In it is guidance surely without any doubt, to those who fear God, who believe in the Unseen, are steadfast in prayer, and spend out of what we have provided for them." (Sura Baqarah, verse 2 and 3)

Kiswahili chake:

Qur'an 2: 2-3

2. Hiki ni Kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake; ni uwongofu kwa wachamungu,3. Ambao huyaamini ya ghaibu na hushika Sala, na hutoa katika tuliyo wapa"Say O people of the Book come to an agreement between us and you: That you shall worship none but God and that we shall ascribe no partners to him and that none of us shall take others for Lords beside God." (Sura Al-Imran, verse 64)


Mkuu mbona nasikia wengine wakisoma wanageuka kuwa mbuzi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom