IDEGENDA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 4,505
- 5,331
Nchi zipi?Hii ideology ndo imezifanya nchi za kiislamu kustawi kiuchumi.Na kuondoa gap Kati ya watawala na watawaliwa.
Nchi za kiislamu siyo Dubai na Saudia tu!
Nchi zipi?Hii ideology ndo imezifanya nchi za kiislamu kustawi kiuchumi.Na kuondoa gap Kati ya watawala na watawaliwa.
Kwa maana hiyo, utafanyika uchaguzi mwingine mshindi atakua wa ACT, ili chombo kisiende mrama?
Kwa hiyo akishajitoa kama hivyo kinachofuata ni nini?
Sasa ilikuwaje akatangazwa wa ccm wakati dhalimu wako kafariki?uchaguzi wa marudio. Na hata hivyo ni kupoteza muda na fedha maana mshindi wa halali huko ni ACT.
Umeniambia kitu kikubwa nimekuelewa.ACT wametishia kujitoa kwenye serikali ya umoja wa kitaifa huko Zanzibar, hivyo ccm wameona watazidi kuchafuka, hatimaye ikabidi wamtake huyo mbunge ajitoe kuepusha chama chao kuzidi kuchafuka.
Mungu anajibu maombi na ndiyo maana leo dhalim yupo jehanamMungu siyo Lisu wala Amsterdam
Kabisa!Mungu anajibu maombi na ndiyo maana leo dhalim yupo jehanam
Kaskazini mwa afrika, asiaNchi zipi?
Nchi za kiislamu siyo Dubai na Saudia tu!
Roho ya dhalimu ilishaota mizizi kwa chama chake kilichopoteza ushawishi kwa umma.Sasa ilikuwaje akatangazwa wa ccm wakati dhalimu wako kafariki?
Sasa mama si mwema sana? Kwanini asiiong'oe?Roho ya dhalimu ilishaota mizizi kwa chama chake kilichopoteza ushawishi kwa umma.
Mkuu wewe isemee nafsi yako. Kwenye mambo ya dini si uislam wala ukristo isemee nafsi yako mwenyewe.Muislamu wa kweli hawezi kuwa sehemu ya dhuluma na uonezi. Hongera kwake kwa kufanya uamuzi sahihi
Hiyo no,! watu watatoana roho ili alieshika nafasi ya pili achukue nafasi. Kuepusha gharama ni kuwa na chaguzi huru na za haki.Yaani mie nafikiri, ili kuepukana na gharama kwa nchi zetu maskini', inapotokea nafasi imekuwa wazi kabasi aliefuatia kwa kura ndo achukue nafasi kuepuka gharama zisizo na tija kwa nchi.
Na yeye hawezi kuikwepa ghadhabu ya Mungu, it's just a matter of time.Kabisa!
Dhalimu yuko jehanamu na sasa tuko vizuri!
Tuko na mama anafanya vizuri, si unaona hata magaidi jinsi wanavyokamatwa? Kesi zao zinaanza kuunguruma tarehe 5.
Kumbe dhalimu alilea magaidi kwa miaka yake yote mi 5!
Makofi kwa mama.
Kwa upande wa Zanzibar, tangu uingie mfumo wa vyama vingi, CCM imekuwa ikitangazwa mshindi, lakini HAIJAWAHI KUSHINDA .Huyu Shehe Mpemba kuna kitu alichoshtukia manake kaona sio haki kunufaishwa na dhulma, kutokana na inavosemekana kashindwa na mpinzani wake kwa kura asilimia 70%, dhulma ikampitisha yeye wa 30% awe mbunge wa konde. naona hiyo ndio iliomsababisha khofu ya kumuogopa Mungu imfanye ajuuzulu huo ubunge.
Hapana jamani tusikimbie ukweli. Ukweli Ni kuwa anajua ubunge wake haukupatikana kwa njia za kumpendeza Mungu wake.1.Ushirikina
Labda mizimu inamtaka awe mganga wa jadi