😀😀😀😁1.Ushirikina
Labda mizimu inamtaka awe mganga wa jadi
ACT wametishia kujitoa kwenye serikali ya umoja wa kitaifa huko Zanzibar, hivyo ccm wameona watazidi kuchafuka, hatimaye ikabidi wamtake huyo mbunge ajitoe kuepusha chama chao kuzidi kuchafuka.
Hii haijaeleweka mzee. Mbunge wa CCM ana uhusiano gani na kujitoa kwa ACT? Jazia content kidogoACT wametishia kujitoa kwenye serikali ya umoja wa kitaifa huko Zanzibar, hivyo ccm wameona watazidi kuchafuka, hatimaye ikabidi wamtake huyo mbunge ajitoe kuepusha chama chao kuzidi kuchafuka.
Hajui kama Yemen, Somalia, Afghanistan, Libya, Mali ni nchi pia za kiislamNchi zipi?
Nchi za kiislamu siyo Dubai na Saudia tu!
Wala magufuli jiweMungu siyo Lisu wala Amsterdam
Kwahiyo unataka kusema huyu ndie mrithi wa Mshana Jr 😁😁1.Ushirikina
Labda mizimu inamtaka awe mganga wa jadi
Huyo aliteuliwa na si kuchaguliwa.... Labda kama mleta mada amekosea....Yaani mie nafikiri, ili kuepukana na gharama kwa nchi zetu maskini', inapotokea nafasi imekuwa wazi kabasi aliefuatia kwa kura ndo achukue nafasi kuepuka gharama zisizo na tija kwa nchi.
Ni hivi, mshindi halali wa huo uchaguzi alikuwa ni wa ACT. Ccm wakatumia mbinu ya Magufuli kumtangaza mgombea wa Ccm kwa shuruti. Ifahamike ACT walikubali kuingia kwenye serikali ya umoja wa kitaifa ili kuponya nchi yao, kwa makubaliano ule uhuni wa 2020 hautarudiwa tena. Kutokana na uhuni huo kujirudia, ACT wakatangaza wazi kuwa hawako tayari kuvumilia tena uhuni huo, hivyo wakasema matokeo haya yasipobadilishwa basi wanajitoa rasmi kwenye serikali ya umma wa kitaifa, na wako tayari kurudi enzi za uhasama. Ccm wakaona kisicho halali hakiliki, wakamtaka huyo mbunge mwizi wa kura ajitoe ili kulinda makubaliano yao.Hii haijaeleweka mzee. Mbunge wa CCM ana uhusiano gani na kujitoa kwa ACT? Jazia content kidogo
Walifanya uchaguzi wa marudio mgombea wa Act wazalendo alishinda ila wa ccm akatangazwa mshindi.Hii haijaeleweka mzee. Mbunge wa CCM ana uhusiano gani na kujitoa kwa ACT? Jazia content kidogo
Hapa nimeelweza sasa. Nashukuru sana ka hilo, naamini na wenzanfu ambao walikuwa hawajajua huu mchakato wataelimika sana.Ni hivi, mshindi halali wa huo uchaguzi alikuwa ni wa ACT. Ccm wakatumia mbinu ya Magufuli kumtangaza mgombea wa Ccm kwa shuruti. Ifahamike ACT walikubali kuingia kwenye serikali ya umoja wa kitaifa ili kuponya nchi yao, kwa makubaliano ule uhuni wa 2020 hautarudiwa tena. Kutokana na uhuni huo kujirudia, ACT wakatangaza wazi kuwa hawako tayari kuvumilia tena uhuni huo, hivyo wakasema matokeo haya yasipobadilishwa basi wanajitoa rasmi kwenye serikali ya umma wa kitaifa, na wako tayari kurudi enzi za uhasama. Ccm wakaona kisicho halali hakiliki, wakamtaka huyo mbunge mwizi wa kura ajitoe ili kulinda makubaliano yao.
Chama kimepokea kwa masikitiko makubwa means kinasikitika sababu Jamaa kaamua kutenda haki ambayo kwao ni msamiati mgumu.
Pamoja sana mdau, nimeelimika.Walifanya uchaguzi wa marudio mgombea wa Act wazalendo alishinda ila wa ccm akatangazwa mshindi.
Act -wazalendo wakasema wasiporudishiwa ushindi wanajitoa
Duru zinaarifu alishindwa vibaya mno..matokeo yakapinduliwa....Panakitu hapaaa ngoja tusikiliziee
Sasa kwanini walikwiba kura za ACT hawa CCM?ACT wametishia kujitoa kwenye serikali ya umoja wa kitaifa huko Zanzibar, hivyo ccm wameona watazidi kuchafuka, hatimaye ikabidi wamtake huyo mbunge ajitoe kuepusha chama chao kuzidi kuchafuka.
Tena kwa Konde anayefuatia ndiyo alikuwa mshindi halaliYaani mie nafikiri, ili kuepukana na gharama kwa nchi zetu maskini', inapotokea nafasi imekuwa wazi kabasi aliefuatia kwa kura ndo achukue nafasi kuepuka gharama zisizo na tija kwa nchi.
COVID-19 wanakusalimuChama cha mashetani.
Hata wakijiuzulu wote sawa tu.
Kwa dhuluma CCM mnayofanya nchi hii kwa sasa, mtajiuzulu wote hadi pale juu kabisa.