Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 12,862
- 24,236
NtKuchakaza mpk umtafute haszu akugawie face mask 😂Refa niko hapa.
NtKuchakaza mpk umtafute haszu akugawie face mask 😂Refa niko hapa.
Wapumbavu tu ndio wanapigana vita bwashee 🤣Wewe mwenyewe unaogopa vita😂😂😂
Umejificha kwenye keyboard unawahamasisha Iran
Tumepoteza tenaUnafeli mwamba mwanaume hatakiwi kushindana na mwanamke hata kidogo,
Masculinity gani unayo unayotaka competition na bibiye Tena picha kwamba wewe mzurii wa sura au🤔
Hata uwe handsome utabaki kuwa na sura ya kiume tuu, otherwise uwe wa kike like her
Gademiit
Mambo ya kubamizwa wataka kama DIVISHENI FOO ?
Wapumbavu tu ndio wanapigana vita bwashee 🤣
Mbona wapo tunaishi nao mitaani hawana mademu na wanasota kweli kweli hadi wanatuuliza sisi wafupi tunawapataje mademu wazuri!Mwanaume akiwa mrefu ndio kigezo Cha kwanza Cha kupendwa na kila mwanamke.
Washamvunja tayarMwanamke huangaliwa kama hips kifua n.k kifupi namba 8, je shape ya mwanaume inayovutia ni ipi? Yani ambayo unaweza sema perfect man.
N. B usifananishe uanaume na kua rough.
Kua na ngozi laini si kosa.
Kunukia sio kosa
Kua na sura nzuri sio kosa
Loaded walletMwanamke huangaliwa kama hips kifua n.k kifupi namba 8, je shape ya mwanaume inayovutia ni ipi? Yani ambayo unaweza sema perfect man.
N. B usifananishe uanaume na kua rough.
Kua na ngozi laini si kosa.
Kunukia sio kosa
Kua na sura nzuri sio kosa.
Akijileta Kishenzi Kwa Upande Wangu.....Narudia tena Kwa Upande Wanguu....Atamfundisha Mchepuko Wangu S....Jamaa ana hips na taco kumshinda Poshy Queen
Weka picha kuleta utamu wa swali Ili watu tuchague.Mwanamke huangaliwa kama hips kifua n.k kifupi namba 8, je shape ya mwanaume inayovutia ni ipi? Yani ambayo unaweza sema perfect man.
N. B usifananishe uanaume na kua rough.
Kua na ngozi laini si kosa.
Kunukia sio kosa
Kua na sura nzuri sio kosa.
Mwanamke huangaliwa kama hips kifua n.k kifupi namba 8, je shape ya mwanaume inayovutia ni ipi? Yani ambayo unaweza sema perfect man.
N. B usifananishe uanaume na kua rough.
Kua na ngozi laini si kosa.
Kunukia sio kosa
Kua na sura nzuri sio kosa.
Dah nilijua chatu asee😅Unataka utanashati? Huyu mnaendana.View attachment 3380352
Tumepoteza dogo janja 🤔Tumepoteza tena
😂😂😂😂😂Ahsante sana ndugu yangu, tuko pamoja. Ule uzi bora ujifie kimoja tu, maana maugomvi huanzia pale. Watu wanaleta maisha halisi waliyonayo pale, mtu ana wivu wake akiona picha roho inamuuma anaanza shida. Akijilinganisha anaona hapana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂Lile ni komwe kama wenzako hawajakuambia, kweli nishindane na mtoto wa kiume sura? Mimi najiamini sana
Mangi nasikia hata wewe nyuma si haba.Huo mpododo sio poa asee
😂😂😂😂😂 ila BL siku hizi umechachuka ujue. Lolhaszu Kula chuma hiko...View attachment 3380412
Pesa unayo?Mbona wapo tunaishi nao mitaani hawana mademu na wanasota kweli kweli hadi wanatuuliza sisi wafupi tunawapataje mademu wazuri!
Binafsi sio mrefu lakini hakuna mwanamke nitamhitaji aruke kiunzi.
Nafikiri good looking man plus swaga/sound ina matter zaidi kuliko kingine chochote mkuu.
Wanaume weupe pia wanababaikiwa sana na mademu no matter ni mrefu ama mfupi.
Hii ni observation yangu mwenyewe niliifanya na nikagundua hivyo mkuu.