miviga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2024
- 2,366
- 8,508
Mazishi wapi wadau?Tumepoteza dogo janja 🤔
Mazishi wapi wadau?Tumepoteza dogo janja 🤔
Mwanamke huangaliwa kama hips kifua n.k kifupi namba 8, je shape ya mwanaume inayovutia ni ipi? Yani ambayo unaweza sema perfect man.
N. B usifananishe uanaume na kua rough.
Kua na ngozi laini si kosa.
Kunukia sio kosa
Kua na sura nzuri sio kosa.
KinondoniMazishi wapi wadau?
Astakafirullah msiba mzito huuMangi nasikia hata wewe nyuma si haba.
Umeshiba mavi haswaa!!
Gereraa here, show me the nyash!
Badilisha Moja iwe mbili itakuwa sahihiNadhani shape nzuri zaidi mwanaume ni:-
1. Nguvu za kiume
2. Pesa
3. Akili timamu
4. Kujitunza ( mazoezi + usafi)
Sasa km huna nguvu za kiume utakua mwanaume tena?Badilisha Moja iwe mbili itakuwa sahihi
1. Nguvu za kiumeNadhani shape nzuri zaidi mwanaume ni:-
1. Nguvu za kiume
2. Pesa
3. Akili timamu
4. Kujitunza ( mazoezi + usafi)
Inafanana na tight yangu ninayoenda nayo gym 😹😹😹
Utani wa kipumbavu iwe mwisho na mwanzo.Mangi nasikia hata wewe nyuma si haba.
Umeshiba mavi haswaa!!
Gereraa here, show me the nyash!
Kwa mwanaume kamili PESA ndiyo shape inayovutia kuliko aina nyinginezo.Mwanamke huangaliwa kama hips kifua n.k kifupi namba 8, je shape ya mwanaume inayovutia ni ipi? Yani ambayo unaweza sema perfect man.
N. B usifananishe uanaume na kua rough.
Kua na ngozi laini si kosa.
Kunukia sio kosa
Kua na sura nzuri sio kosa.
Utani wa kipumbavu kama huu kijana akome kabisa.Astakafirullah msiba mzito huu
Ndo miguu yako hii 😳😹😹Kwa miguu gani?
View attachment 3380709
Anazingua sana bichwa me nakaa nae hatua kumi hachelewi kukuharibia cvUtani wa kipumbavu kama huu kijana akome kabisa.
Naomba tuanzishe uzi wetu lakini safari hii uwe PM tunaUnda group letu hata tukiwa wawili sawa tuu 🙏🙏🙏🙏😂😂😂😂😂Ahsante sana ndugu yangu, tuko pamoja. Ule uzi bora ujifie kimoja tu, maana maugomvi huanzia pale. Watu wanaleta maisha halisi waliyonayo pale, mtu ana wivu wake akiona picha roho inamuuma anaanza shida. Akijilinganisha anaona hapana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣