Shape nzuri ya mwanaume inayovutia ni ipi?

Shape nzuri ya mwanaume inayovutia ni ipi?

736791EE-0ABE-452D-8A70-DD88001EDD82.jpeg

Shapeless
 
Jamani mwanaume tumefikia huku kuangaliana mashepu,ngoja niwasimulie,kuna jamaa yangu hapa jirani ni mbaya kinoma,mweusi,kichogo umbo haeleweki,ila anapesa,na ameoa mwanamke ambaye ukiambiwa huyu ni mke wa jamaa huwezi amini, pesa ndio shape la mwanaume.
Sasa hapo imependwa pesa, tuzungumzie muonekano. Au huelewi?
 
Sasa hapo imependwa pesa, tuzungumzie muonekano. Au huelewi?
kwa wanawake huwa tunawapendea mwonekano kwa vile hawana pesa,na vile vile sisi wanaume huwa tunapendwa kwa pesa kwa vile hatuna mwonekano mzuri,ila nikutahadharishe,ushoga ni dhambi mkuu tena iliyokuu.
 
Mwanamke huangaliwa kama hips kifua n.k kifupi namba 8, je shape ya mwanaume inayovutia ni ipi? Yani ambayo unaweza sema perfect man.

N. B usifananishe uanaume na kua rough.
Kua na ngozi laini si kosa.
Kunukia sio kosa
Kua na sura nzuri sio kosa.
Mwenye maadili mazuri
 
Huyu ana pose za kwako, niliona picha yako, ulivyojificha una komwe na mlugaluga. Halafu jana ukaniwekea taarabu kuwa nimechina? Punguza uswahili swahili huo.
bind picha yangu na yako kama unajiamini, unajua komwe wewe?
 
Za siku nyingi Poor Brain naona tunapishana juu kwa juu kama lidege la B -50 angani 🤣🤣🤣🤣🤣
Yaaani juu kwa juu aiseee...
Nakumbuka mara ya mwisho nilituma barua kwenda kwa uongozi wa jf kuhusu kufunguliwa uzi wetu...

Mi niko poa kabisa namshukuru Mungu muumba wa ardhi..
Nimejikuta nakukumbuka sana sana aiseee nikasema leo ngoja nitoe uvivu et
 
Toa neno "shape" kwanza hapo hilo neno hua tunalitumia kuwaongelea mademu tuu, lakini Pesa ndio muonekano na mvuto wa mwanaume, kama hauna mzee hata uwe mzuri kama dada yako mademu wazuri wote utaishia kuambiwa shemeji yako yule
 
Back
Top Bottom