Shape nzuri ya mwanaume inayovutia ni ipi?

Shape nzuri ya mwanaume inayovutia ni ipi?

Wadudu komba mavi inawezekana wamejaa humu kinouma , ndio maana jamaa anakuja kimkakati sanašŸ¤”
Astaghaffillah astaghaffillah astaghaffillah astaghaffillah astaghaffillah šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ™Œ šŸ™ šŸ™Œ šŸ˜‚ nimecheka daaah et wadudu komba mavi daaah
 
Mwanamke huangaliwa kama hips kifua n.k kifupi namba 8, je shape ya mwanaume inayovutia ni ipi? Yani ambayo unaweza sema perfect man.

N. B usifananishe uanaume na kua rough.
Kua na ngozi laini si kosa.
Kunukia sio kosa
Kua na sura nzuri sio kosa.
nikupe mfano wa picha ili upate jibu kirahisi?
 
Jamani mwanaume tumefikia huku kuangaliana mashepu,ngoja niwasimulie,kuna jamaa yangu hapa jirani ni mbaya kinoma,mweusi,kichogo umbo haeleweki,ila anapesa,na ameoa mwanamke ambaye ukiambiwa huyu ni mke wa jamaa huwezi amini, pesa ndio shape la mwanaume.
 
Astaghaffillah astaghaffillah astaghaffillah astaghaffillah astaghaffillah šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ™Œ šŸ™ šŸ™Œ šŸ˜‚ nimecheka daaah et wadudu komba mavi daaah
Hivi haya maneno huwa mnatamka vipi bwana hamnazo 😸
 
Unataka utanashati? Huyu mnaendana.
Screenshot_20250622_014013_Pinterest.jpg
 
Back
Top Bottom