Shape nzuri ya mwanaume inayovutia ni ipi?

Shape nzuri ya mwanaume inayovutia ni ipi?

Yaaani juu kwa juu aiseee...
Nakumbuka mara ya mwisho nilituma barua kwenda kwa uongozi wa jf kuhusu kufunguliwa uzi wetu...

Mi niko poa kabisa namshukuru Mungu muumba wa ardhi..
Nimejikuta nakukumbuka sana sana aiseee nikasema leo ngoja nitoe uvivu et
Ahsante sana ndugu yangu, tuko pamoja. Ule uzi bora ujifie kimoja tu, maana maugomvi huanzia pale. Watu wanaleta maisha halisi waliyonayo pale, mtu ana wivu wake akiona picha roho inamuuma anaanza shida. Akijilinganisha anaona hapana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
haszu Kula chuma hiko...
Screenshot_20250623_190456_Pinterest.jpg
 
kumbuka methali mkono mtupu haulambwi
Ukiwa na hela uzuri utakuja
Unakumbuka michael Jackson alikuwa na pua kubwa kama tarumbeta alivyopata hela akachonga pua akawa anavutia.
Hapa nchini kwetu kuna mwanamziki ana hela sana hakuzaliwa wa kuvutia ila sasa uso unateleza na wanawake anaowachukua ni ma celebrity wa viwango vya juu hata nje ya nchi.
Mtoto mzuri na wa kuvutia ni kwa mama yake
 
bind picha yangu na yako kama unajiamini, unajua komwe wewe?
Unafeli mwamba mwanaume hatakiwi kushindana na mwanamke hata kidogo,

Masculinity gani unayo unayotaka competition na bibiye Tena picha kwamba wewe mzurii wa sura au🤔

Hata uwe handsome utabaki kuwa na sura ya kiume tuu, otherwise uwe wa kike like her

Gademiit

Mambo ya kubamizwa wataka kama DIVISHENI FOO ?
 
Mwanamke huangaliwa kama hips kifua n.k kifupi namba 8, je shape ya mwanaume inayovutia ni ipi? Yani ambayo unaweza sema perfect man.

N. B usifananishe uanaume na kua rough.
Kua na ngozi laini si kosa.
Kunukia sio kosa
Kua na sura nzuri sio kosa.
Shape ya Pesa tu mengine sio sana
 
62BC3D9A-41E7-452C-AC10-80AC306B7AB4.jpeg
nasubiri majibu hakika utajuta kuanzisha hii mada🤣, utaitwa upinde mpaka ukimbie🤣🤣🙌🏻
 
Back
Top Bottom