SANCTUS ANACLETUS
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,337
- 4,664
Utamaduni wa kishenzi. Huyo shaka sio Great Thinker na wala Alichoongea sio Fikra Tunduizi. Hapa tuna Makabila ambayo yalikuwa na utamaduni kutahiri wanawake. Ni kwa nini leo huo utamaduni unanangwa? Watu wenye akili hawapingi utamaduni huo bali kwa mazingira ya sasa ya Dunia wanahitaji Kiongozi mwenye maono. Huyo anayemshabikia anapondwa hata na watoto wadogo mitaani. Mambo ya kutueleza eti ndio maana aliweza kuchaguliwa Makamu wa Raisi wakati ule hiyo sio sababu ya kuthibitisha uwezo wake. Umakamu wa Raisi ni Uteuzi na sio Uchaguzi. Aende akawasome akina Martha Kalua huko Kenya. Hao ndio Wenye Bongo za kuweza kuongoza Taifa.Utamaduni huwa unabadilika kulingana na uhitaji wa nyakati. CCM inapigia debe utamaduni huu lakini ipo siku utawatokea puani.
Suppose wamechagua mgombea lakini kwenye angu yake ya kwanza akaonekana ameshindwa kazi, je atavumiliwa mpaka miaka 10 iishe?
Leo yupo SSH tunasifia kesho hatujui ataletwa nani.