CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,004
- 4,113
- Thread starter
- #141
Wewe unatatizo kubwa kwenye akili yako, wait and seeNashukuru sana Huyu kicheche hanipotezeagi mb Kwani sauti tu inani put off
Wewe unatatizo kubwa kwenye akili yako, wait and seeNashukuru sana Huyu kicheche hanipotezeagi mb Kwani sauti tu inani put off
Wewe unatatizo kubwa kwenye akili yako, wait and see hiyo 2025Nashukuru sana Huyu kicheche hanipotezeagi mb Kwani sauti tu inani put off
Wewe unatatizo kubwa kwenye akili yako, wait and see hiyo 2025Nashukuru sana Huyu kicheche hanipotezeagi mb Kwani sauti tu inani put off
DaahChangu changu , chako chetu and so forth
🙆🙆♀️🙌Kuna mtu ninamheshimu sana ameniambia Kitu ambacho niliwahi kukisikia huko nyuma. Kwamba Mama ndiye Mzazi wa Rizi-One na mama Babake Mzazi Ni Mzee Rukhusa lakini alipata kumkataa huko nyuma kuwa sio mwanae na ndio Kisa cha jina lake la kati HULUSU.
Hadi mpigwe ndio mtapata akili wallahi! Hata ustaarabu wa kawaida acha demokrasi hakuna kwenuView attachment 2322973
Katibu wa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka amesema hakuna shaka Rais Samia Suluhu Hassan ataendelea kuwavusha watanzania hadi 2030 kutoka na uwezo mkubwa uliounesha katika uongozi na utendaji uliotukuka. Akizungumza katika kongamano maalum la kumpongeza Rais Samia huko Unguja leo hii, Shaka amesema Rais Samia pamoja na Rais Dkt. Hussein Mwinyi ni viongozi shupavu walioonesha ari kubwa ya kuwatumikia watanzania.
Shaka amesisitiza kutokana na kazi nzuri ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025, inatoa uhalali kwao kuendelea kuiongoza nchi yetu panapo kudra za mwenyezi Mungu mpaka 2030. Ikiwa pia ni utii wa katiba ya CCM, kanuni na utamaduni tuliojiwekea.
Aidha, Shaka amesema wale wenye ndoto ya Urais 2025 kwa bara na visiwani wasahau kwakuwa CCM inamila, katiba, desturi, utaratibu na miongozo mbalimbali zinazotawala muda wa Rais kudhaminiwa na Chama cha Mapinduzi.
===
Tupigwe na nani?Hadi mpigwe ndio mtapata akili wallahi! Hata ustaarabu wa kawaida acha demokrasi hakuna kwenu
Kweli mtapigwa tu! Kwa huu upuuzi mnaojichukulia eti wengine hawana haki ya kugombea! Ni lazima mpigwe. Mtapigwa na sisi tuliochoshwa na udikteta wa kutupandikizia vilaza kama viongozi!Tupigwe na nani?
Ni genge la majizi na wauza ngada linataka kujimilikisha nchi. Rithwan Jakaya Kikwete. Mama yake ni Samia Suluhu Hassan binti ya Ali Hassan Mwinyi!!🙆🙆♀️🙌
😆😆😆Mama wa Ridhiwani ni Mnyaturu wa SingidaNi genge la majizi na wauza ngada linataka kujimilikisha nchi. Rithwan Jakaya Kikwete. Mama yake ni Samia Suluhu Hassan binti ya Ali Hassan Mwinyi!!
Mnadanganywa! Mnyaturu ana mtoto wa Jakaya lakini huyu ni wa Samia😆😆😆Mama wa Ridhiwani ni Mnyaturu wa Singida
Ila nchi hii ngumu Sana wallah, Ridhiwani ni mtoto wa kinyaturu.😆Mnadanganywa! Mnyaturu ana mtoto wa Jakaya lakini huyu ni wa Samia
Mlete Mama yake! siye tumekuletea SSHIla nchi hii ngumu Sana wallah, Ridhiwani ni mtoto wa kinyaturu.😆
Huu ni ujinga kuendelea kubishania hiliMlete Mama yake! siye tumekuletea SSH
Watanzania tumeridhishwa na utendaji kazi wa mh Rais ndio maana tunasema tuonane 2030, Ndio tutaulizana habari za Nani aedeleza kazi iliyotukuka ya mh Rais
Hatubishani! Tunakataa nchi yetu kukaliwa na cartels wa ufisadi.Huu ni ujinga kuendelea kubishania hili
Unaoushahidi au Vuvuzela as usuallyHatubishani! Tunakataa nchi yetu kukaliwa na cartels wa ufisadi.