Shaka: Wanaotaka Urais 2025 wasahau, ni Rais Samia bara ni Rais Mwinyi visiwani mpaka 2030

Wairuhusu tu Umoja Party. Nawahakikishia Samia ataomba apumzike hata kama watamlazimisha.
 
View attachment 2322973
Katibu wa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka amesema hakuna shaka Rais Samia Suluhu Hassan ataendelea kuwavusha watanzania hadi 2030 kutoka na uwezo mkubwa uliounesha katika uongozi na utendaji uliotukuka. Akizungumza katika kongamano maalum la kumpongeza Rais Samia huko Unguja leo hii, Shaka amesema Rais Samia pamoja na Rais Dkt. Hussein Mwinyi ni viongozi shupavu walioonesha ari kubwa ya kuwatumikia watanzania.

Shaka amesisitiza kutokana na kazi nzuri ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025, inatoa uhalali kwao kuendelea kuiongoza nchi yetu panapo kudra za mwenyezi Mungu mpaka 2030. Ikiwa pia ni utii wa katiba ya CCM, kanuni na utamaduni tuliojiwekea.

Aidha, Shaka amesema wale wenye ndoto ya Urais 2025 kwa bara na visiwani wasahau kwakuwa CCM inamila, katiba, desturi, utaratibu na miongozo mbalimbali zinazotawala muda wa Rais kudhaminiwa na Chama cha Mapinduzi.

===
Halafu Mungu akiingilia kati ufedhuli wenu mnatafuta mchawi. Na kama Mungu aishivyo haitakuwa hivyo
 
Ni kweli Rais Samia na Mwinyi ni watulivu.Lakini maoni aliyotoa katibu ni ya chama kimoja na ni ya kizamani.Angesema hivi "Natamani kuona watanzania wakiwachagua tena......"2025
CCM wameshafikia jeuri ya kuwa na uhakika wa uRais wa nchi. Hadi leo wanaishi enzi za chama kimoja - even worse than that era.

Sio Rais tu. Hata wabunge, madiwani na wenyeviti wa vijiji/mitaa wanateua wenyewe. Wanateua hadi viti maalum vya upinzani. Hivyo hawahitaji kuongea kwa mashaka mashaka. It’s a real sthl country! A sure banana republic.
 
CCM wameshafikia jeuri ya kuwa na uhakika wa uRais wa nchi. Hadi leo wanaishi enzi za chama kimoja - even worse than that era.

Sio Rais tu. Hata wabunge, madiwani na wenyeviti wa vijiji/mitaa wanateua wenyewe. Wanateua hadi viti maalum vya upinzani. Hivyo hawahitaji kuongea kwa mashaka mashaka. It’s a real sthl country! A sure banana republic.
Sio CCM ni wananchi wanatupenda Sana
 
View attachment 2322973
Katibu wa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka amesema hakuna shaka Rais Samia Suluhu Hassan ataendelea kuwavusha watanzania hadi 2030 kutoka na uwezo mkubwa uliounesha katika uongozi na utendaji uliotukuka. Akizungumza katika kongamano maalum la kumpongeza Rais Samia huko Unguja leo hii, Shaka amesema Rais Samia pamoja na Rais Dkt. Hussein Mwinyi ni viongozi shupavu walioonesha ari kubwa ya kuwatumikia watanzania.

Shaka amesisitiza kutokana na kazi nzuri ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025, inatoa uhalali kwao kuendelea kuiongoza nchi yetu panapo kudra za mwenyezi Mungu mpaka 2030. Ikiwa pia ni utii wa katiba ya CCM, kanuni na utamaduni tuliojiwekea.

Aidha, Shaka amesema wale wenye ndoto ya Urais 2025 kwa bara na visiwani wasahau kwakuwa CCM inamila, katiba, desturi, utaratibu na miongozo mbalimbali zinazotawala muda wa Rais kudhaminiwa na Chama cha Mapinduzi.

===
Tatizo la kuwapa vyeo watu bila maandalizi, anadhani kazi yake ni kusifia viongozi waliomteka tuuu! Mashoga wa kizenji ni taabu sana
 
Huyu bwege ndiyo maana wenzake wanamgonya
View attachment 2322973
Katibu wa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka amesema hakuna shaka Rais Samia Suluhu Hassan ataendelea kuwavusha watanzania hadi 2030 kutoka na uwezo mkubwa uliounesha katika uongozi na utendaji uliotukuka. Akizungumza katika kongamano maalum la kumpongeza Rais Samia huko Unguja leo hii, Shaka amesema Rais Samia pamoja na Rais Dkt. Hussein Mwinyi ni viongozi shupavu walioonesha ari kubwa ya kuwatumikia watanzania.

Shaka amesisitiza kutokana na kazi nzuri ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025, inatoa uhalali kwao kuendelea kuiongoza nchi yetu panapo kudra za mwenyezi Mungu mpaka 2030. Ikiwa pia ni utii wa katiba ya CCM, kanuni na utamaduni tuliojiwekea.

Aidha, Shaka amesema wale wenye ndoto ya Urais 2025 kwa bara na visiwani wasahau kwakuwa CCM inamila, katiba, desturi, utaratibu na miongozo mbalimbali zinazotawala muda wa Rais kudhaminiwa na Chama cha Mapinduzi.

===
 
Huyu anaumwa nini sasa uchaguzi wa nini kama ni hivyo si bora waendelee tu kuliko kupoteza fedha za umma
 
View attachment 2322973
Katibu wa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka amesema hakuna shaka Rais Samia Suluhu Hassan ataendelea kuwavusha watanzania hadi 2030 kutoka na uwezo mkubwa uliounesha katika uongozi na utendaji uliotukuka. Akizungumza katika kongamano maalum la kumpongeza Rais Samia huko Unguja leo hii, Shaka amesema Rais Samia pamoja na Rais Dkt. Hussein Mwinyi ni viongozi shupavu walioonesha ari kubwa ya kuwatumikia watanzania.

Shaka amesisitiza kutokana na kazi nzuri ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025, inatoa uhalali kwao kuendelea kuiongoza nchi yetu panapo kudra za mwenyezi Mungu mpaka 2030. Ikiwa pia ni utii wa katiba ya CCM, kanuni na utamaduni tuliojiwekea.

Aidha, Shaka amesema wale wenye ndoto ya Urais 2025 kwa bara na visiwani wasahau kwakuwa CCM inamila, katiba, desturi, utaratibu na miongozo mbalimbali zinazotawala muda wa Rais kudhaminiwa na Chama cha Mapinduzi.

===
Sisi tunataka katiba na Tume huru ya Uchaguzi hayo mambo mengine ya kijnga jinga hayatuhusu.watanzania wanaendelea kuteseka kwa mwaka wa nne sasa,alafu anasimama mjinga mmoja anaongea upuuzi.
 
Sisi tunataka katiba na Tume huru ya Uchaguzi hayo mambo mengine ya kijnga jinga hayatuhusu.watanzania wanaendelea kuteseka kwa mwaka wa nne sasa,alafu anasimama mjinga mmoja anaongea upuuzi.
Kwa uweza wa Mungu hadi 2030 Rais ni Mama Samia tu,.

Ova
 
Back
Top Bottom