Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Mkuu Kwani Trh. 7/09/2021 Tushafika? Halafu Katibu Mkuu Nae Kalipitisha Hili Tangazo.
Inaonekana waliioomba mwaka jana mwaka huu hawaombi ila wanahakiki taarfa tu, pia labda wa art wa mwaka hna wanaweza kmba tebs maana kwa secondar hamna art.Kwa walioomba mwanzo na wanaoomba sasa, wote vigezo ni sawa ama?. vigezo vya sasa ni vya wanaoomba sasa?
Mfumo BADO na minister alisema akimaliza speech mzigo teyariBado hawajafungua dirisha
Walimu wa sanaa ombeni shule za msingiMbona kama wanataka walimu wa sayansi tu
Huyo ni mwanasiasa na wanaoendesha program ni wataalam ambao lazima wakague mitambo ili kupunguza makelele wakati wa zoezi zima.Mfumo BADO na minister alisema akimaliza speech mzigo teyari
Mbona kama wanataka walimu wa sayansi tu
CLICK HERE TO REGISTER FOR NEW APPLICANT
CLICK HERE TO APPLY FOR REGISTERED APPLICANTS
kipind kile ulipoomba, ulifanikiwa mkuu? naona safari hii sisi wa engineering tumechinjiwa bahariniNamna ya kuomba Ualimu anayejua anielekeze kwa kina niokoe Jahazi kwa Mwanafamilia wangu
Niwaombe kuwapa kipaumbele ambao wamemaliza miaka ya 2015, kurudi nyuma maana umri wao umeenda hivo angalau wanaweza kuwaangalia kwa jicho la tatu. Ninawaonea huruma sana kwani wengine maisha yameganda kabisa wasijue wapi waanzie .mama waangalie hawa vijana wako nao wanastahili kupata keki japo kipande...
Ujaribu bahati yako kwani ni kwa baba yako huko!Uzoefu wangu ni kwamba network huwa inasumbua so inahitaji uvumilivu wa chuma na ikiwezekana usislale tegea mida ya wanga utume,ngoja nijaribu bahati yangu tena ,baada ya ile kipindi cha marehemu jiwe kuwa ndivyo sivyo
Mwisho waliohitimu 2019Walimu hao msingi na sekondari we unadhan wnafika wangapi tangia mwaka 2016 hadi 2021