Yanini kuwalisha watu maneno au wewe ndiye kipaza sauti chao?.Ikinunuliwa watasema ,,hatuhitaji ndege”, wakati anayeiomba ni CHADEMA na anaona umuhimu wake.
Yanini kuwalisha watu maneno au wewe ndiye kipaza sauti chao?.
Rudia kusoma post, vinginevyo labda mtoa mada awe amwekea maneno Mh Selasini, katika post yake mtoa mada ameonyesha wazi kwamba Mh. Selasini amependekeza kununuliwa ndege ya mizigo kwa ajili ya kusafirisha mazao ya kilimo kwenda kwenye soko la Ulaya.Inaonekana uwezo wako wa kuchambua mambo ni mdogo. Huyu kaomba soko la mazao yao, mwingine kakimbilia kununua ndege. Ndege bila kuwa na soko unafikiri ni suluhu la mkulima. Selasini kaomba serikali itafute masoko ya mazao ya wakulima ya ndege yanakuja baada ya kupata soko
Vi vizuri akanunua Antonov AN-225 inafanya vizuri sana duniani
Yah! Na ipo vizuri sanaNi ya Kirusi?
Hawawezi wakanunua ya Kirusi kwa sababu Marekani itachukia!Yah! Na ipo vizuri sana
Hiyo ndiyo ndege kubaa duniani, jiulize gharama zake tutaziweza?Vi vizuri akanunua Antonov AN-225 inafanya vizuri sana duniani
Would it be any different if you 'agreed with (the) Hon. Minister'?I can't agree more with Hon. Minister
Uwezo wake wa kufikiri unaishia hapo mkuu.Inaonekana uwezo wako wa kuchambua mambo ni mdogo. Huyu kaomba soko la mazao yao, mwingine kakimbilia kununua ndege. Ndege bila kuwa na soko unafikiri ni suluhu la mkulima. Selasini kaomba serikali itafute masoko ya mazao ya wakulima ya ndege yanakuja baada ya kupata soko
Naye Naibu Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, amesema serikali imekuwa ikihamasisha wakulima na wadau wengine kuongeza uzalishaji wa zao la parachichi hususan aina ya hass, kutekeleza mkakati wa kuainisha maeneo yote yanayofaa kwa kilimo hicho nchini pamoja na kuongeza uzalishaji wa miche ya maparachichi aina ya hass na kuilinda ili isiharibiwe na aina nyingine za mapachichi.
Hii inanikumbusha enzi za DASAIR ya UgandaKama mchakato wa kununua ndege ya mizigo umeishaanza sidhani kama kuna ubaya tukishauri aina ya ndege itakayotufaa kubeba mizigo ya kiraia na pale itakapohitajika mizigo ya kijeshi. Nashauri inunuliwe McDonnell Dougrass 10....DC*KC-10.💪View attachment 1262139