Hivi ni Serikali ndio inafanya Mazungumzo au ni Rais / Dr. ndio huwa ana-negotiate masuala ya Bei?
Tusichanganye Serikali hapa kwenye suala la mtu, Mazungumzo yote na hata mchakato wa manunuzi unakuwaga na supporting docs, pia unakuwa wa Uwazi na Ushirikishwaji kwa wadau.
Tusichanganye Serikali hapa kwenye suala la mtu, Mazungumzo yote na hata mchakato wa manunuzi unakuwaga na supporting docs, pia unakuwa wa Uwazi na Ushirikishwaji kwa wadau.