Imeandikwa hivyo kwenye KATIBA?Zanzibar ni nchi ya Kiislam Kitambo sana 🐼
Swali lingine?
Kule hakuna BAKWATA?Zanzibar ni nchi ya Kiislam Kitambo sana 🐼
Swali lingine?
Itakuwa ni wale wa suruali fupi sio!!!Naona kuna vikundi vitarudi jera sio mda si walipewa break time
Siyo kila kitu kinaandikwa Ndio sababu Zitto Kabwe amesema Usome Qur'an 109:6Imeandikwa hivyo kwenye KATIBA?
Lete kifungu!!
Kule kuna Kadhi MkuuKule hakuna BAKWATA?
Zitow ni muislamu?Siyo kila kitu kinaandikwa Ndio sababu Zitto Kabwe amesema Usome Qur'an 109:6
Mgalatia aliyeolea Zanzibar 😀Zitow ni muislamu?
Kwamba ukitaka kula shart ujifiche?😅😅Code tu Msoga nipo
Hujajibu Zanzibar ni Nchi ya kiislamu Kwa Katiba ipi?Mgalatia aliyeolea Zanzibar 😀
Kwa kifungu kipi Cha KATIBA?😀✅️😀
Huwa wananikera hawa. Kwann wanavaa suruali kimini?Itakuwa ni wale wa suruali fupi sio!!!
Kwa Katiba ya Zanzibar kama unabisha nenda ukale mchana wakati wa Ramadan au kafungue bucha ya Nguruwe 🐼Hujajibu Zanzibar ni Nchi ya kiislamu Kwa Katiba ipi?
Karate😀Huwa wananikera hawa. Kwann wanavaa suruali kimini?