Serikali Tuachieni wana CCM tupambane na TEC

Serikali Tuachieni wana CCM tupambane na TEC

Hao CCM ndo wenyeviti wa jumuia, wenyeviti wa Parokia. Hawahawa CCM ndo walisoma waraka jana kwenye jumuia.
 
Haiwezi kuelewa huyo mjinga.
Sometimes nahisi acvount yake imekuwa hacked...
Hana critical arguments kabisa siku hizi...
Ni kama vile ana personal issues na wanaopinga mkataba.
 
Orodha ya viongozi waliondani ya CCM ambao wanatii maagizo ya TEC:
1. Ndugu Daniel Godfrey Chongolo
2. Anamringi Issay Macha
3. Dkt. Philip Isidor Mpango
4. Ndugu Sofia Edward Mjema
5. Dkt. Tullia Ackson
6. Ndugu Mary Pius Chatanda
7. Ndugu Mizengo Kayanza Peter Pinda
8. Ndugu Naziri Mustafa Karamagi

Orodha ni ndefu sana.

Wewe mbutwe mbutwe uje utuletee mbwembwe hapa.
Orodha ya mchongo.huijui ccm wewe

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
We kalime mbaazi kama ulitegemea kupata ajira Dp World ndio ishakufa kibudu hio.
 
Orodha ya mchongo.huijui ccm wewe

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Ndugu Patrick Pater Boisaf
Ndugu Peter Toima Kiroya
Ndugu Chandi Patrick Marwa
Dkt. Stephen Isaac Mwakajumulo
Ndugu Joseph Peter Masunga
Ndugu Reuben Sixbert Jichabu
Ndugu Deo Kasenyenda Sanga

orodha ni ndefu sana mdogo wangu. Hawa ni viongozi wa juu kabisa na watiifu kwa TEC. siyo wewe hapo kajamba nani.
 
Naishauri Serikali yangu isihangaike na hako kakikundi ka wanaojiita TEC hili suala tuangeachiwa CCM tunajua fitina za kushughulika na hawa watu sisi ndio chama Dume tuliyopigania na kudumisha uhuru wa nchi hii kwa miaka zaidi ya 60.

Maendeleo mnayoyaona hayakuja kwa bahati mbaya ni mipango madhubuti ya Chama Cha Mapinduzi. Hili suala tuachiwe sisi naona kama serikali itajipa majukumu mepesi wakati mambo ya kufanya ni mengi.

CCM Oyeee.
Najua unawajaza ujinga wajae vizuri. Good technic
 
Naishauri Serikali yangu isihangaike na hako kakikundi ka wanaojiita TEC hili suala tuangeachiwa CCM tunajua fitina za kushughulika na hawa watu sisi ndio chama Dume tuliyopigania na kudumisha uhuru wa nchi hii kwa miaka zaidi ya 60.

Maendeleo mnayoyaona hayakuja kwa bahati mbaya ni mipango madhubuti ya Chama Cha Mapinduzi. Hili suala tuachiwe sisi naona kama serikali itajipa majukumu mepesi wakati mambo ya kufanya ni mengi.

CCM Oyeee.
Wewe huna uCCM wowote bali umejaa chuki na roho ya uchochezi kwa serikali yetu tukufu ya CCM.
 
Ndugu Patrick Pater Boisaf
Ndugu Peter Toima Kiroya
Ndugu Chandi Patrick Marwa
Dkt. Stephen Isaac Mwakajumulo
Ndugu Joseph Peter Masunga
Ndugu Reuben Sixbert Jichabu
Ndugu Deo Kasenyenda Sanga

orodha ni ndefu sana mdogo wangu. Hawa ni viongozi wa juu kabisa na watiifu kwa TEC. siyo wewe hapo kajamba nani.
Ni TEC siyo CCM

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Naishauri Serikali yangu isihangaike na hako kakikundi ka wanaojiita TEC hili suala tuangeachiwa CCM tunajua fitina za kushughulika na hawa watu sisi ndio chama Dume tuliyopigania na kudumisha uhuru wa nchi hii kwa miaka zaidi ya 60.

Maendeleo mnayoyaona hayakuja kwa bahati mbaya ni mipango madhubuti ya Chama Cha Mapinduzi. Hili suala tuachiwe sisi naona kama serikali itajipa majukumu mepesi wakati mambo ya kufanya ni mengi.

CCM Oyeee.
Acha dharau wewe. Kule TEC kuna PhD zaidi ya 100. Hapo CCM kuna PhD ngapi kama sio kumejaa matope tupu?
 
Back
Top Bottom