Serikali Tuachieni wana CCM tupambane na TEC

Serikali Tuachieni wana CCM tupambane na TEC

Hakuna chama cha siasa chenye watu

Makanisa ndio.yana watu.

Maaskofu katoliki huheshimiwa kuliko.kiongozi yeyote wa chama cha siasa au serikali

Muumini katoliki mwana CCM hawezi heshimu chama kuliko Askofu wake

Hujui unachoongea

Wewe utakuwa muislamu hujui mfumo wa Katoliki ulivyo.Askofu katoliki akitamka kitu.hakuna muumini wa kumuambis fyoko bila kujali ana cheo gani ndani ya CCM Bunge au mahakama au Jeshi lolote
Naona unajitetea sana lakini unaijua CCM vizuri na hizi fitina za TEC kwa utawala ni jambo dogo sana.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Wewe ulisoma hukumu ya mahakama??
Manake hivyo vipengele vyote vimejibiwa na mahakama
Wewe ni mbumbumbu wa kuzaliwa. Mahakama ilitamka wazi kuwa mkataba una kasoro nyingi, ila yenyewe mahakama haina uwezo uwezo wa kubadilisha maamuzi ya mahakama.

Sijui kwa nini ninyi nyote mnaoutetea huo mkataba ni watu wenye upeo na akili ndogo.
 
Subiri utaona. Anaefanyiwa fitina ni mwenyekiti wetu wa Chama kwa sababu wanazozijua wao.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Wewe unadhani Kwanini Mstaafu Ndugai alijipigapiga kifua akasema " nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana" ?

Hii nchi iyone hivi hivi Bwashee kama unabisha nunua Kitabu cha Mstaafu wa Wajeda pale cathedral 😄😄😄
 
Wewe ni mjinga wa ajabu.

Unashindwa kuelewa kuwa CCM inafanya mambo ya hovyo kwa sababu watu wamewaacha wafanye. Wananchi wakiamua, CCM si chochote, inaweza kupotea kama KANU.
Nadhani wewe ndo mjinga. Mmeshindwa kuamua tangu mwaka 1992 itakuwa leo.? Chadema na hao maaskofu fitina mnazozitengeneza kwa utawala tutadeal nazo bila huruma washenzi wakubwa nyie .

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Hakuna chama cha siasa chenye watu

Makanisa ndio.yana watu.

Maaskofu katoliki huheshimiwa kuliko.kiongozi yeyote wa chama cha siasa au serikali

Muumini katoliki mwana CCM hawezi heshimu chama kuliko Askofu wake

Hujui unachoongea

Wewe utakuwa muislamu hujui mfumo wa Katoliki ulivyo.Askofu katoliki akitamka kitu.hakuna muumini wa kumuambis fyoko bila kujali ana cheo gani ndani ya CCM Bunge au mahakama au Jeshi lolote
Umeongea vyema, akili zake anafananisha TEC na chadema, ACT au nccr mageuzi
 
Naishauri Serikali yangu isihangaike na hako kakikundi ka wanaojiita TEC hili suala tuangeachiwa CCM tunajua fitina za kushughulika na hawa watu sisi ndio chama Dume tuliyopigania na kudumisha uhuru wa nchi hii kwa miaka zaidi ya 60. Maendeleo mnayoyaona hayakuja kwa bahati mbaya ni mipango madhubuti ya Chama Cha Mapinduzi. Hili suala tuachiwe sisi naona kama serikali itajipa majukumu mepesi wakati mambo ya kufanya ni mengi.

CCM Oyeee.
Ssm Mnaongea kama vibogoyo, mimi ni msabato ila kanisa katoliki ndo linaloiongoza dunia.
Na hili halina ubishi la siyo mfukuzeni kadinali muone mziki wake maana yule ni balozi wa vatican nchini tanzania.
Na hawa watu ni wapelelezi wenye uweledi wa hali ya juu sana.
Wachungaji wetu wengi ni form four felia wameungaunga na viddigrii vya theology. Na wengine hawajui hata kusoma na kuandika.
Ila ili uwe padri lazima upite kwwnye michujo migumu vibaya mno , lazima uwe njema kichwani, vinginevyo hautoboi.
So hili ni zaidi ya kanisa na ni zaidi ya nchi, na kadinali akiongea rais lazima aufyate
 
Nimekuuliza swali Kadi ya Chama unayo? Unajifanya mwana CCM kumbe hola. Sisi tunakijua chama in and out. Usituletee upumbavu hapa.

Kadi yako no ngapi?
Umetoka Makunduchi unataka kutuletea urojo hapa.
Unataka nikutajie namba yangu ya uanachama hapa mtandaoni hivi unaakili wewe?

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
TEC wanauwezo mkubwa sana sasa tunawaomba watusaidie sisi CHADEMA na Wananchi kwa ujumla tupate KATIBA MPYA wasikubali hongo za CCM tena
 
Wewe unadhani Kwanini Mstaafu Ndugai alijipigapiga kifua akasema " nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana" ?

Hii nchi iyone hivi hivi Bwashee kama unabisha nunua Kitabu cha Mstaafu wa Wajeda pale cathedral
Watasumbua popote lakini siyo kwa CCM .tulia bwashee utajionea.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom