Serikali Tuachieni wana CCM tupambane na TEC

Serikali Tuachieni wana CCM tupambane na TEC

Unajua mimi nilikua sijausoma huu mkataba..leo church walivyokua wanadadavua vipengele vyenye walakini kuna vipengele viwili vilinikera sana

**Eti kukitokea fursa yoyote wao ndio wawe wa kwanza kujuzwa...any way kama nimekosea ila ndivyo nilivyosikia...hii iliniboaa...kwahyo wao hawana mipaka utasema wapo bandarini pekee kumbe watapenetrate mpk nje ya bandari...

**Eti wapewe Ardhi bila masharti...who are they yani sisi wazawa tunalipa kodi na mlolongo kibao kumiliki ardhi halafu wao wapewe tuu...nonsense...
 
Ssm Mnaongea kama vibogoyo, mimi ni msabato ila kanisa katoliki ndo linaloiongoza dunia.
Na hili halina ubishi la siyo mfukuzeni kadinali muone mziki wake maana yule ni balozi wa vatican nchini tanzania.
Na hawa watu ni wapelelezi wenye uweledi wa hali ya juu sana.
Wachungaji wetu wengi ni form four felia wameungaunga na viddigrii vya theology. Na wengine hawajui hata kusoma na kuandika.
Ila ili uwe padri lazima upite kwwnye michujo migumu vibaya mno , lazima uwe njema kichwani, vinginevyo hautoboi.
So hili ni zaidi ya kanisa na ni zaidi ya nchi, na kadinali akiongea rais lazima aufyate
Sasa unasema wewe ni msabato na unakiri unaongozwa na wakatoliki tutasema una akili kweli wewe?

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Zilikuwa ni chuki za wanasiasa na kanisa hazikuwa chanzo
Jamii yangu ilikimbilia Kanisani lakini Askofu wa tec Rwanda akaenda kuwaita Interahamwe ili kuja kuwa finish off.

Trust me nimembelea makanisa mengi ya tec likiwemo la Rwamagana na kujionea mwenyewe December 1994
 
Ni mwiko ila ikitokea tunapigwa fitina lazima tujibu.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Imani ya chama chenu haijatoa option ya kufanya fitina..!! yaani iwe jua iwe mvua, kwenu fitina ni mwiko. Sasa leo hii unaposema serikali iwaachie CCM kwamba mnajua namna ya kufanya fitina, ni kwenda kinyume na imani yenu ya chama.. Na ipo siku imani zingine za chama chenu mtaivunja au mmeshawahi zivunja. inawezekana kabisa hata ile ya KILA MTU ANASTAHILI HESHIMA MMESHAIVUNJA MARA KIBAO..!!
 
Mi natamani pande zote zinazovutana zikaze hivo hivo tuone mwisho wa siku nani ni kiboko ya mwenzake
 
Back
Top Bottom