Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,277
- 105,480
Unaweza kwenda guest house inayolipisha kwa masaa pia.Mwizi Ni mwizi hata awe mmarekani ,mzungu nk Huu Ni wizi ninaoupigia kelele humu sijali unafanywa na mtanzania au mmarekani.
Kuna vitu vinatakiwa kubadilishwa hata dunia nzima huo wizi unaofanyika Marekani wamarekani na wanasheria wao wanatakiwa kuuvalia njuga .Ili wizi wa wenye mahoteli ya kulala ukomeshwe popote duniani.
Wapugania Hali za binadamu wasiwe tu wanavalia njuga haki tu za kisiasa na kubweka Demokrasia .Hii ya kuibiwa mteja wa hoteli Ni haki pia ya binadamu .NGO za haki za binadamu za ndani na kimataifa hili swala wanatakiwa kulivalia njuga popote duniani.Waifanye agenda ya kimataifa ya kupigania Hali za wateja wa hoteli
Hoteli zinahitaji muda fulani kubadili shuka, kufanya usafi etc.
Kwa hukubwatu wanafanya usafi kuanzia saa sita moaka saa tisa. Hivyo muda huo inabidi uwaachie chumba wafanye usafi.
Au unataka kulala kwenye kitanda chenye shuka zenye manii ya mtu mwingine?
Sent using Jamii Forums mobile app