Serikali izibane hotel zote za kulala Tanzania zinaibia wateja

Mwizi Ni mwizi hata awe mmarekani ,mzungu nk Huu Ni wizi ninaoupigia kelele humu sijali unafanywa na mtanzania au mmarekani.

Kuna vitu vinatakiwa kubadilishwa hata dunia nzima huo wizi unaofanyika Marekani wamarekani na wanasheria wao wanatakiwa kuuvalia njuga .Ili wizi wa wenye mahoteli ya kulala ukomeshwe popote duniani.

Wapugania Hali za binadamu wasiwe tu wanavalia njuga haki tu za kisiasa na kubweka Demokrasia .Hii ya kuibiwa mteja wa hoteli Ni haki pia ya binadamu .NGO za haki za binadamu za ndani na kimataifa hili swala wanatakiwa kulivalia njuga popote duniani.Waifanye agenda ya kimataifa ya kupigania Hali za wateja wa hoteli
Unaweza kwenda guest house inayolipisha kwa masaa pia.

Hoteli zinahitaji muda fulani kubadili shuka, kufanya usafi etc.

Kwa hukubwatu wanafanya usafi kuanzia saa sita moaka saa tisa. Hivyo muda huo inabidi uwaachie chumba wafanye usafi.

Au unataka kulala kwenye kitanda chenye shuka zenye manii ya mtu mwingine?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tena huu hua ni wizi hili suala liangaliwe maana masaa 24 yawe yanahesabiwa kiufasaha maana hata vifurushi vya simu ukiunga saa mbili usiku hadi kesho saa mbili usiku ndio masaa 24 yanakamilika iweje hotel tuwe tunatolewa nje kabla ya masaa 24 kukamilika, halafu ukiingia kuanzia saa sita 6 kamili usiku unalazimishwa uandike tarehe ya jana huu ni wizi wa mchana kweupe serikali iliangalie hili


Sent from my iPhone using JamiiForums
Naunga mkono hoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hoteli zinahitaji muda fulani kubadiki shuka, kufanya usafi etc.

Kwa hukubwatu wanafanya usafi kuanzia saa sita moaka saa tisa. Hivyo muda huo inabidi uwaachie chumba wafanye usafi.
Au unataka kulala kwenye kitanda chenye shuka zenye manii ya mtu mwingine?
Wakisafisha unawapisha that is not a big deal wakimaliza usafi unarudi kumalizia masaa yako yaliyobaki.mfano uliingia SAA kumi usiku wao wanasema lazima saa nne uwaachie wasafishe sio kesi waweza vumilia kukatiza usingizi wasafishe wakimaliza unarudi kutandika usingizi wako Hadi masaa yako 24 yakamalike

Vinginevyo wasubiri umalize masaa yako 24 ya kukamilisha siku yako ndio wasafishe
 
Hii mada iko juu ya uwezo wa kichwa Chako na exposure yako pisha wenye akili na exposure kubwa wajadili
Wewe ndio hauna exposure ungeweka bayana kwamba ni guest house zile za kuwekewa ndala za Simba na yanga kuliko kujificha kwenye kichaka Cha hotel ,kwasababu hoteli zote kubwa Zina opperate kwa mfumo wa masaa 24, muda uliocheck in ndio utacheck out upo nyonyo.
 
Wewe ndio hauna exposure ungeweka bayana kwamba ni guest house zile za kuwekewa ndala za Simba na yanga kuliko kujificha kwenye kichaka Cha hotel ,kwasababu hoteli zote kubwa Zina opperate kwa mfumo wa masaa 24, muda uliocheck in ndio utacheck out upo nyonyo.
Ulichoandika unakielewa mwenyewe.Narudia hi mada iko juu ya uwezo wa kichwa Chako pisha wengine
 
Mi ndo mana nikiona sa sita hii hapa naenda kuacha mizigo reception naenda bar nakesha asubuhi sa mbili tatu nikirudi natwanga breakfast sa nne hiyo.
mkiamshwa tu ndo naandika kuingia hiyo tutaonana kesho sa nne hela yangu inaisha vizuri tu.
 
Wakisafisha unawapisha that is not a big deal wakimaliza usafi unarudi kumalizia masaa yako yaliyobaki.mfano uliingia SAA kumi usiku wao wanasema lazima saa nne uwaachie wasafishe sio kesi waweza vumilia kukatiza usingizi wasafishe wakimaliza unarudi kutandika usingizi wako Hadi masaa yako 24 yakamalike

Vinginevyo wasubiri umalize masaa yako 24 ya kukamilisha siku yako ndio wasafishe
Kusafisha hata kuwakataza unaweza.

Kama umechukua chumba siku inayofuata pia.

Vinginevyo, unaweza kuwa unalalamika gari lako linatumia mafuta sana.

Wakati wewe mwenyewe umechagua kununua Range Rover wakati bajeti yako ni ya Vitara.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ndio hauna exposure ungeweka bayana kwamba ni guest house zile za kuwekewa ndala za Simba na yanga kuliko kujificha kwenye kichaka Cha hotel ,kwasababu hoteli zote kubwa Zina opperate kwa mfumo wa masaa 24, muda uliocheck in ndio utacheck out upo nyonyo.
Ulichosema ni kweli.. Tena kwenye hotel kama serena ya pale karatu... Hata ukizidisha lisaa limoja au mawili hawana shida.. Kwaiyo unaweza ukakaa masaa 24 adi 26

:Dont folo folo me wizout ene bikoz:
 
Daaah
Kweli upumbavu ni mzigo sana.
Kwahiyo ukizaliwa March tubadili mwaka uanze March
Wiki ianze J5
Acheni ujinga wenu. Kimsingi kufika hiyo saa 4 asubuhi ni feva tu. Siku inaisha saa 6 usiku
Ukiingiia hotelini ukasema nalala kwa siku moja Tar 15.12.2019 unapaswa uishi hotelini hapo kwa siku hiyo tuu. Sasa ukiingia saa 4 usiku inapaswa saa 6:01 ulipe upya lakini wanakupa feva mpaka kesho saa 4 asubuhi halafu unaleta matapishi hapa.
Pumbavu sana
Unaelewa ulichokiandika?? Means anayeingia saa 6:01 usiku anatakiwa atoke saa 6:01 usiku si ndiyo?? Kwa kuwa ndiyo siku nyengine right? Umejaribu kuhesabu ni masaa mangapi atakaa hapo hotelini? Kama sio 24 ambayo ni siku moja nzima ULIKIMBIA HESABU AU?asa unatofauti gani na mtoa mada?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fanya hivi mkuu, ukifika lodge late night, patana na mhudumu kabisa, kwamba kwa muda huo ulioingia huwezi kuamka na Kutoka saa nne,

Lodge ni nyingi siku hizi na hazina wateja Kutokana na mdororo wa biashara, mhudumu hawezi kukataa, na kama akikataa unatafuta lodge nyingine itakayokubali ombi lako,
Mbinu hii nimeitumia na kufanikiwa , maana katika mihangaiko yangu, imenifanya niwe naingia destinations zangu usiku mwingi na huwa sipendi kuamka mapema siku inayofata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marekani kwa uzoefu wangu hotel nyingi saa tano asubuhi wanaanza kufanya usafi. Unaondoka chumbani saa tano asubuhi, hotel nyingine saa sita. Hiyo ni checkout time.

Bila kujali umeingia saa tisa, kumi, kumi na moja au kumi na mbili asubuhi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haiwezekani hiyo kitu yaani niingie SAA 10 alfajiri wanitoe SAA 5 asubuhi??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaweza kwenda guest house inayolipisha kwa masaa pia.

Hoteli zinahitaji muda fulani kubadili shuka, kufanya usafi etc.

Kwa hukubwatu wanafanya usafi kuanzia saa sita moaka saa tisa. Hivyo muda huo inabidi uwaachie chumba wafanye usafi.

Au unataka kulala kwenye kitanda chenye shuka zenye manii ya mtu mwingine?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Muda WA kubadili shuka nikichukua wiki nzima shuka hazibadiiishwi??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marekani kwa uzoefu wangu hotel nyingi saa tano asubuhi wanaanza kufanya usafi. Unaondoka chumbani saa tano asubuhi, hotel nyingine saa sita. Hiyo ni checkout time.
Bila kujali umeingia saa tisa, kumi, kumi na moja au kumi na mbili asubuhi.
They are thieves.So you want American thieves to be exempted?
 
Tunazungumzia 24hrs na sio siku
Daaah
Kweli upumbavu ni mzigo sana.
Kwahiyo ukizaliwa March tubadili mwaka uanze March
Wiki ianze J5
Acheni ujinga wenu. Kimsingi kufika hiyo saa 4 asubuhi ni feva tu. Siku inaisha saa 6 usiku
Ukiingiia hotelini ukasema nalala kwa siku moja Tar 15.12.2019 unapaswa uishi hotelini hapo kwa siku hiyo tuu. Sasa ukiingia saa 4 usiku inapaswa saa 6:01 ulipe upya lakini wanakupa feva mpaka kesho saa 4 asubuhi halafu unaleta matapishi hapa.
Pumbavu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilishawahi kuwachana hotel moja Dom hapo mpka meneja kaja nikamuelewesha akaelewa

Nikamwambia nimeingia saa sita usiku Sasa hi saa nne teyar n masaa 24 ??? Akajibu bado ,nikamwambia kwa siku Ina masaa mangapi akajibu 24 ,nikamtwanga jingne kwa hyo mm bado sijatimiza masaa 24 akajibu ndio nikamwambia Sasa subiri sita usiku ndio uje unidai chumba chako akawa mpole tu akasepa zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hukuwa na hoja yoyote na huyo meneja alikuhurumia tu. Nyumba za kulala fomula ni ''night/s you spend''.
 
Daaah
Kweli upumbavu ni mzigo sana.
Kwahiyo ukizaliwa March tubadili mwaka uanze March
Wiki ianze J5
Acheni ujinga wenu. Kimsingi kufika hiyo saa 4 asubuhi ni feva tu. Siku inaisha saa 6 usiku
Ukiingiia hotelini ukasema nalala kwa siku moja Tar 15.12.2019 unapaswa uishi hotelini hapo kwa siku hiyo tuu. Sasa ukiingia saa 4 usiku inapaswa saa 6:01 ulipe upya lakini wanakupa feva mpaka kesho saa 4 asubuhi halafu unaleta matapishi hapa.
Pumbavu sana
Mkuu kuna watu wanaingia saa saba usiku lakini ikifika saa nne asubih wanataka urudishe chumba na ni ndani ya siku hiyo hiyo
 
Hukuwa na hoja yoyote na huyo meneja alikuhurumia tu. Nyumba za kulala fomula ni ''night/s you spend''.
Iko wapi hiyo Sheria? Per night kwani kila mtu mwanga?.Wanachaji per day yenye 24 hours sio per night ingekuwa per night wangeanza ku check in watu kuanzia saa moja jioni na ku check out saa 12 alfajiri.Ndio maana kwenye kitabu Cha check in unaandika tarehe ya kuingia na tarehe ya kutoka
 
Daaah
Kweli upumbavu ni mzigo sana.
Kwahiyo ukizaliwa March tubadili mwaka uanze March
Wiki ianze J5
Acheni ujinga wenu. Kimsingi kufika hiyo saa 4 asubuhi ni feva tu. Siku inaisha saa 6 usiku
Ukiingiia hotelini ukasema nalala kwa siku moja Tar 15.12.2019 unapaswa uishi hotelini hapo kwa siku hiyo tuu. Sasa ukiingia saa 4 usiku inapaswa saa 6:01 ulipe upya lakini wanakupa feva mpaka kesho saa 4 asubuhi halafu unaleta matapishi hapa.
Pumbavu sana
Tatizo hata ukilipa hiyo saa sita usiku saa nne asubuhi wanakutimua
 
Back
Top Bottom