Air Tanzania wanatuchukulia sisi abiria wao kama takataka zisizo na thamani

Torra Siabba

Senior Member
Jul 24, 2016
105
102
Shirika la Ndege Tanzania ATCL ni moja ya mashirika ambayo kwa kipindi cha nyuma walikua na nidhamu ya muda wa kusafirisha abiria kuliko wengine Hususan kipindi cha mwendazake JPM Magufuli, Usiku wa kuamkia jana Aprili 16 nilipaswa kusafiri kutoka Mwanza kwenda Dar majira ya saa 8:30 usiku, lakini ndeg iliondoka Saa tatu asubuhi, watu tumekesha Uwanja wa Ndege Mwanza, na Mbaya ni kwamba ATCL walikua wanajua wazi kwamba ndege yao itakuja Asubuhi lakini wakatupambapamba kwamba ndege inakuja mpaka kukacha.

Na hii sio mara ya kwanza kwa ndege hizi kutokwenda na wakati ambao wanakua wamepanga na ukiona safari ni saa mbili Usiku badi ujue kuondoka ni saa nne au saa sita Usiku.

kinachoniumiza ni kwamba tumezoea mashirika mengine ya Ndege Kote duniani kunapokua na dharula mashirika yanaingia gharama ya chakula na malazi kwa wateja wao lakini Air Tanzania wako radhi wakutelekeze VIP Mpaka kuche hata maji ya kunywa hawatoi.

Nadhani wanatukosea sisi wateja wao na natamani ndege ikipata dharula watuhudumie sisi Abiria ila sio kututelekeza kama Mizigo.
 
6761a74a-8441-4b1f-8d69-c849f2957fee.jpg
 
Wanalihujumu shirika paka hao. Kweli wanakera sana yaani ndege na buses hazina tofauti.

Hakuna huduma mbaya kama shirika letu ni takataka kabisa.

Ndege zenyewe abiria hawafiki 200 halafu wanakuambia njoo masaa 2 au 3 kabla. Unafika unaona saa zinaenda badala hata watangaze tatizo inabidi sisi abiria ndio tukaulize.

Hizi ndio elimu zetu wanazofundishwa kukariri na hawajui huduma bora kabisa. Halafu wakurugenzi wala hawajali
Ndege inatoka mkoa mwingine unasubiri masaa matano kweli
 
Wanalihujumu shirika paka hao
Kweli wanakera sana yaani ndege na buses hazina tofauti

Hakuna huduma mbaya kama shirika letu ni takataka kabisa

Ndege zenyewe abiria hawafiki 200 halafu wanakuambia njoo masaa 2 au 3 kabla
Unafika unaona saa zinaenda badala hata watangaze tatizo inabidi sisi abiria ndio tukaulize

Hizi ndio elimu zetu wanazofundishwa kukariri na hawajui huduma bora kabisa

Halafu wakurugenzi wala hawajali
Ndege inatoka mkoa mwingine unasubiri masaa matano kweli
Kuna bus siku hizi zinawashinda hao,kwa hiyo usilinganishe na bus zote na hao,Kuna bus Kama ni saa 12 ,zinaamsha ata Kama yupo abiriaa mmoja ndani
 
Shirika la Ndege Tanzania ATCL ni moja ya mashirika ambayo kwa kipindi cha nyuma walikua na nidhamu ya muda wa kusafirisha abiria kuliko wengine Hususan kipindi cha mwendazake JPM Magufuli, Usiku wa kuamkia jana Aprili 16 nilipaswa kusafiri kutoka Mwanza kwenda Dar majira ya saa 8:30 usiku, lakini ndeg iliondoka Saa tatu asubuhi, watu tumekesha Uwanja wa Ndege Mwanza, na Mbaya ni kwamba ATCL walikua wanajua wazi kwamba ndege yao itakuja Asubuhi lakini wakatupambapamba kwamba ndege inakuja mpaka kukacha.

Na hii sio mara ya kwanza kwa ndege hizi kutokwenda na wakati ambao wanakua wamepanga na ukiona safari ni saa mbili Usiku badi ujue kuondoka ni saa nne au saa sita Usiku.

kinachoniumiza ni kwamba tumezoea mashirika mengine ya Ndege Kote duniani kunapokua na dharula mashirika yanaingia gharama ya chakula na malazi kwa wateja wao lakini Air Tanzania wako radhi wakutelekeze VIP Mpaka kuche hata maji ya kunywa hawatoi.. nadhani wanatukosea sisi wateja wao na natamani ndege ikipata dharula watuhudumie sisi Abiria ila sio kututelekeza kama Mizigo.
Kukosekana kwa ushindani, ni changamoto sana
 
Shirika la Ndege Tanzania ATCL ni moja ya mashirika ambayo kwa kipindi cha nyuma walikua na nidhamu ya muda wa kusafirisha abiria kuliko wengine Hususan kipindi cha mwendazake JPM Magufuli, Usiku wa kuamkia jana Aprili 16 nilipaswa kusafiri kutoka Mwanza kwenda Dar majira ya saa 8:30 usiku, lakini ndeg iliondoka Saa tatu asubuhi, watu tumekesha Uwanja wa Ndege Mwanza, na Mbaya ni kwamba ATCL walikua wanajua wazi kwamba ndege yao itakuja Asubuhi lakini wakatupambapamba kwamba ndege inakuja mpaka kukacha.

Na hii sio mara ya kwanza kwa ndege hizi kutokwenda na wakati ambao wanakua wamepanga na ukiona safari ni saa mbili Usiku badi ujue kuondoka ni saa nne au saa sita Usiku.

kinachoniumiza ni kwamba tumezoea mashirika mengine ya Ndege Kote duniani kunapokua na dharula mashirika yanaingia gharama ya chakula na malazi kwa wateja wao lakini Air Tanzania wako radhi wakutelekeze VIP Mpaka kuche hata maji ya kunywa hawatoi.. nadhani wanatukosea sisi wateja wao na natamani ndege ikipata dharula watuhudumie sisi Abiria ila sio kututelekeza kama Mizigo.
sasa shirika lenyewe linajiendesha kwa hasara hiyo pesa yakuwalisha wataitoa wap
 
Shirika la Ndege Tanzania ATCL ni moja ya mashirika ambayo kwa kipindi cha nyuma walikua na nidhamu ya muda wa kusafirisha abiria kuliko wengine Hususan kipindi cha mwendazake JPM Magufuli, Usiku wa kuamkia jana Aprili 16 nilipaswa kusafiri kutoka Mwanza kwenda Dar majira ya saa 8:30 usiku, lakini ndeg iliondoka Saa tatu asubuhi, watu tumekesha Uwanja wa Ndege Mwanza, na Mbaya ni kwamba ATCL walikua wanajua wazi kwamba ndege yao itakuja Asubuhi lakini wakatupambapamba kwamba ndege inakuja mpaka kukacha.

Na hii sio mara ya kwanza kwa ndege hizi kutokwenda na wakati ambao wanakua wamepanga na ukiona safari ni saa mbili Usiku badi ujue kuondoka ni saa nne au saa sita Usiku.

kinachoniumiza ni kwamba tumezoea mashirika mengine ya Ndege Kote duniani kunapokua na dharula mashirika yanaingia gharama ya chakula na malazi kwa wateja wao lakini Air Tanzania wako radhi wakutelekeze VIP Mpaka kuche hata maji ya kunywa hawatoi.. nadhani wanatukosea sisi wateja wao na natamani ndege ikipata dharula watuhudumie sisi Abiria ila sio kututelekeza kama Mizigo.
Pole sana
 
Shirika la Ndege Tanzania ATCL ni moja ya mashirika ambayo kwa kipindi cha nyuma walikua na nidhamu ya muda wa kusafirisha abiria kuliko wengine Hususan kipindi cha mwendazake JPM Magufuli, Usiku wa kuamkia jana Aprili 16 nilipaswa kusafiri kutoka Mwanza kwenda Dar majira ya saa 8:30 usiku, lakini ndeg iliondoka Saa tatu asubuhi, watu tumekesha Uwanja wa Ndege Mwanza, na Mbaya ni kwamba ATCL walikua wanajua wazi kwamba ndege yao itakuja Asubuhi lakini wakatupambapamba kwamba ndege inakuja mpaka kukacha.

Na hii sio mara ya kwanza kwa ndege hizi kutokwenda na wakati ambao wanakua wamepanga na ukiona safari ni saa mbili Usiku badi ujue kuondoka ni saa nne au saa sita Usiku.

kinachoniumiza ni kwamba tumezoea mashirika mengine ya Ndege Kote duniani kunapokua na dharula mashirika yanaingia gharama ya chakula na malazi kwa wateja wao lakini Air Tanzania wako radhi wakutelekeze VIP Mpaka kuche hata maji ya kunywa hawatoi.. nadhani wanatukosea sisi wateja wao na natamani ndege ikipata dharula watuhudumie sisi Abiria ila sio kututelekeza kama Mizigo.
Tena wana customer care mbaya sana, kuna kipindi nilikuwa natoka Mwanza to Dar halafu baada ya masaa mawili naunganisha Dar to Mbeya. Mwanza ilitakiwa tuondoke saa 2 asubuhi tukakalishwa mpaka saa 4 tena taarifa tunapewa hapo hapo uwanjani.

Ndege ya kwenda mbeya ilikuwa inaondoka saa 7 kasoro. Nafika Dar saa 6 tayari chek in ya Mbeya ishaisha, mkononi nina mtoto wa miezi 2 na mabegi 2 kubwa na dogo wahudumu hata kunisaidia wananiacha nahangaika wananihimiza wahi wahi utaachwa na ndege kuzunguka mle ndani ni parefu.

Kwanza nilisimama nikawawashia moto kwamba nikiachwa watanilisha na kunipa sehemu ya kulala koz ni fault yao. Pia kazi yao ni nini kama wanashindwa kumsaidia mteja wao hata mabegi wanaona nina mtoto. Ndio kujifanya wananisaidia. Inshort Air Tanzania wapo hovyo kabisa tofauti na Fastjet walikuwa poa.
 
Tena wana customer care mbaya sana, kuna kipindi nilikuwa natoka Mwanza to Dar halafu baada ya masaa mawili naunganisha Dar to Mbeya. Mwanza ilitakiwa tuondoke saa 2 asubuhi tukakalishwa mpaka saa 4 tena taarifa tunapewa hapo hapo uwanjani.

Ndege ya kwenda mbeya ilikuwa inaondoka saa 7 kasoro. Nafika Dar saa 6 tayari chek in ya Mbeya ishaisha, mkononi nina mtoto wa miezi 2 na mabegi 2 kubwa na dogo wahudumu hata kunisaidia wananiacha nahangaika wananihimiza wahi wahi utaachwa na ndege kuzunguka mle ndani ni parefu.

Kwanza nilisimama nikawawashia moto kwamba nikiachwa watanilisha na kunipa sehemu ya kulala koz ni fault yao. Pia kazi yao ni nini kama wanashindwa kumsaidia mteja wao hata mabegi wanaona nina mtoto. Ndio kujifanya wananisaidia. Inshort Air Tanzania wapo hovyo kabisa tofauti na Fastjet walikuwa poa.
yaani
 
Back
Top Bottom