abdi ally
JF-Expert Member
- Dec 4, 2018
- 1,563
- 2,154
Nilishawahi kuwachana hotel moja Dom hapo mpka meneja kaja nikamuelewesha akaelewaKawaida mtu ukiingia hotel muda unaoingia ndio kesho yake unatakiwa uwe muda wako wa kutoka sababu unalipia kwa siku yaani masaa 24
Mahotel ya Tanzania yamejiwekea utaratibu wa wizi kuwa muda wa kutoka lazima uwe saa nne asubuhi bila kujali umeingia saa ngapi.
Nilikuwa Nigeria niliingia saa nne usiku hotelini wakaniambia muda wangu wa kutoka ni kesho usiku muda kama huo huo nilioingia.Wanahesabu MASAA 24 kamili bila kupunja
Tanzania hata uingie saa nane usiku hotelini wanataka saa nne asubuhi uachie chumba wakati umelipia siku nzima wao wanakulaza masaa machache tu na kukwambia toka kama vile wewe ni changudoa uliyeenda kupanga chumba short time
Wanasheria bebeni hili kesi buruzeni wamiliki mahoteli mahakamani wakome wizi
Nikamwambia nimeingia saa sita usiku Sasa hi saa nne teyar n masaa 24 ??? Akajibu bado ,nikamwambia kwa siku Ina masaa mangapi akajibu 24 ,nikamtwanga jingne kwa hyo mm bado sijatimiza masaa 24 akajibu ndio nikamwambia Sasa subiri sita usiku ndio uje unidai chumba chako akawa mpole tu akasepa zake.
Sent using Jamii Forums mobile app