umeona sasa kumbe ww bwana hujaelewa maada ila akili yako imefocus kwenye dini...... Elewa kuwa mm sijasema uislam. Ila nmezungumzia mavaz kwan mbona hata wasio waislam huvaa kininja?? Kumbe mlio wengi mnafikir mavaz ndio dini?! Hayo mavaz ni utamaduni wa kiarabu na kwa vile waarabu walio wengi ni waislam ndio maana inachukuliwa hvyo. Unataka kuniambia lugha ya kiarabu ni ya kiislam?? Una hisia zilizoganda kweli ww jamaa
inamaana kwenye qur-an waislam wanawake hawajaelekezwa wavae vp?