Serikali iwe macho na uvaaji wa kininja maofisini

Serikali iwe macho na uvaaji wa kininja maofisini

Status
Not open for further replies.
Zanzibar wao wameamua kuweka mandishi kila mahali panapotolewa huduma hasa kwenye maofisi Na maduka. Mara nyingi nimekuwa nikiona. maandishi yaliyoandikwa' Vua Nikabu Yako'.. Hata katika lango kuu la kuingilia katika Hospital ya Mnazi Mmoja wameweka tangazo hilo.
 
Uturuki japokuwa ni nchi ya kiislam Ila ni marufuku kuingia kwenye ofisi za serikali ukiwa umevalia kiniNja!!
 
Ametumwa ,,, wambie walokutuma kuwa umetukuta tumeenda shamba kulima na mlango umefungwa..... unasema ulifanya kazi Tanga??? maweeeeee
 
Mm najua wengi wanaovaa hivyo na ambao ni wastaarabu akifika kwenye ofisi huwa wanatoa asipotoa mpaka aambiwe ni wasioelewa taratibu
 
sehemu kama Bank mteja anapaswa aonwe kwa kumfaham ndio ahudumiwe... labda ulikua huelewi best... fraud na money laundering zinatisha

Usiwe kilaza wewe...!! Mbona wakifika dirishani hufanya hivyo?!!
Bank gani mwenzetu unafanya??
 
Wewe unapata shida gani watu wakivaa hivyo?

wezi walio wengi huficha sura zao kwa kuvaa kininja, wezi wa mabenk hasa kwenye atm huvaa kininja, machangudoa huvaa kininja, mapunda huvaa kininja. Hivi mpaka hapo huon kuwa hlo vazi wanalitumia vibaya na kimekuwa kichaka cha waovu?
 
akili ndogo@flola isibebe akilikubwa hatakama hajaja kininja akitaka kwiba anakwiba kwahiyo wapendwa hao ni wachafuzi kwa wengine ili kutia aibu vazi hilo mbona maskofu ------- wapo kwahiyo maskofu wote tusiwafuate usiwe mwepesi wakufikiri wahalifu wakiamua kukuibia wanakuibia

ukome kunambia nina akil ndogo.naeleza kilichokuwepo na kilichotoke kwenye ofs yetu we juma cjui nani?khaaa we ndo unaakil za kimbayuwayu.na kwa taarifa yako mie ni islam! alaa koma kabisa
 
Mungu wa kwli hayuko Complicated hivi. Mungu wa kweli anaangalia moyo wako na matendo yako. Hawa wanaovaa hivi ndo tunasikia wanaua watu kila siku kwa jina la huyo Mungu wao.
Natamani ningekuwa na madaraka ya kupiga marufuku uvaaji wa namna hii katika maeneo ya watu.

Kama hutaki watu waone sura yako ni KAA NDANI.
 
Ufaransa walikataa huo ujinga
Maruku kuvaa kininja ni ugaidi na ni ujambazi
Kwanza joto lote hili la dsm mtu anajifunika tena na nguo nyeusi
Mimi naona wanajitesa tu

Maria mtakatifu alivaa hivyo pia.

Nashangaa mnakashifu hata mavazi mnayostahiki kuvaa.

Chuki zimepitiliza mipaka.


Aibu.
 
Mungu wa kwli hayuko Complicated hivi. Mungu wa kweli anaangalia moyo wako na matendo yako. Hawa wanaovaa hivi ndo tunasikia wanaua watu kila siku kwa jina la huyo Mungu wao.
Natamani ningekuwa na madaraka ya kupiga marufuku uvaaji wa namna hii katika maeneo ya watu.

Kama hutaki watu waone sura yako ni KAA NDANI.

Sasa kule makanisani mnskovaa vimini mnaenda kufanya ibada au kuruka disco na kutamaniana??

Ndiyo maana kila siku case za zinaa haziishi madhahabahuni huko.
 
wezi walio wengi huficha sura zao kwa kuvaa kininja, wezi wa mabenk hasa kwenye atm huvaa kininja, machangudoa huvaa kininja, mapunda huvaa kininja. Hivi mpaka hapo huon kuwa hlo vazi wanalitumia vibaya na kimekuwa kichaka cha waovu?


Na wale wanaotamaniwa na kubakwa na maaskofu i mean wale watawa huvaa kininja pia.

Au Unabisha??
 
U must be c.razy....unanifaham wewe? Mimi ni nani na nafanyia wapi? Unaambiwa expereince yangu unaanza kubwatuka kwani unadhani hiyo niliyoandika ni stori?

Nani ana time ya kukujua njaa kali wewe.

Yani kufanya kazi bank nayo experience ya kuja kututambia sisi.

We kazi ni kukaa tuh hapo na kuhesabu pesa zetu na kuhakikisha ziko safe..so una nini bank teller wewe.
 
Na wale wanaotamaniwa na kubakwa na maaskofu i mean wale watawa huvaa kininja pia.

Au Unabisha??

Mkuu punguza hasira jadili hoja kwa points. Hakuna sister yeyote anayevaa KININJA (KUFUNIKA USO WAKE). Masista wanavaa kwa kufunika vichwa vyao. Hapa mleta mada anaongelea usalama kwa raia na mali zao kwa watu wanaovaa kwa kunika nyuso zao.
 
Ulitaka wavae kama bush man au? Binadam anafanya evolution kutoka katika kukaa uchi hadi kuvaa na kujistili.. kujistili ni kuonyesha hali ya juu ya evolution ya binadam pia Ni civilization nzuri. Kitendo cha kurudi nyuma tena kutoka katika kujistili hadi kukaa nusu uchi au uchi ni upunguani...
 
Ulitaka wavae kama bush man au? Binadam anafanya evolution kutoka katika kukaa uchi hadi kuvaa na kujistili.. kujistili ni kuonyesha hali ya juu ya evolution ya binadam pia Ni civilization nzuri. Kitendo cha kurudi nyuma tena kutoka katika kujistili hadi kukaa nusu uchi au uchi ni upunguani...

acha kuudanganya umma ww kuvaa kininja ndio kujisitiri?? Vp umewahi kuwaona wanaojitoa mhanga kwa kubeba mabomu wanavaaje?? Machangudoa umewaona wanavaaje?? Hilo vazi ni kichaka hata kama hutaki huo ndio ukweli kama hutaki andamana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom