Mrs Kharusy
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 1,244
- 672
Ingekuwa bora zaidi serikali ipige marufuku kabisa kuvaa kininja maofisin. Utakuta mtu anaenda bank halafu anajifunika kuanzia kichwa mpaka unyayo pamoja na mikononi halafu akiingia ndani anajifunua macho na pua tu eti ndio kamaliza, hilo jambo linaboa sana.
Ingewekwa sheria kali ya kuzuia uvaaji huo maofisini kwasababu inakuwa kama kichaka cha waovu.
Usiseme macho na pua sema usoo!!
Zaidi ya uso unataka uone na nn zaidi??