mkuu yawezekana hujaelewa topic au kuna watu wengne hawajanielewa mm nmesema "uvaaji kininja maofisini" unakuta mtu anaingia bank, atm, dukan, ofisi yoyote kajifunika uso wote kaana macho tu sasa hapo unataka kuniambia ni ibada?? Hata kwenye vitabu vya dini imeandikwa "kila jambo na wakat wake" sasa hapo kuna wazee wa kukopi wao ni kufunika uso mda wote hata sehem zisizo stahili
Nimekuelewa mkuu ila kuna mijamaa badala ya kujadili nakuweka mawazo chanya inakimbilia matusi bila ujuzi wa mambo. Nadhani hapo suala ni uso uonekane na wala sio kupiga marufuku hilo vazi la stara kwa mwanamke.
Hakuna neno na imeruhusiwa uso kuonekana.