Serikali iwe macho na uvaaji wa kininja maofisini

Serikali iwe macho na uvaaji wa kininja maofisini

Status
Not open for further replies.
Ingekuwa bora zaidi serikali ipige marufuku kabisa kuvaa kininja maofisin. Utakuta mtu anaenda bank halafu anajifunika kuanzia kichwa mpaka unyayo pamoja na mikononi halafu akiingia ndani anajifunua macho na pua tu eti ndio kamaliza, hilo jambo linaboa sana.

Ingewekwa sheria kali ya kuzuia uvaaji huo maofisini kwasababu inakuwa kama kichaka cha waovu.

Pigia debe hata uvaaji wa chupi usiwepo ili kule kule madhabahuni mtafunane kwa urahisi.
 
Ufaransa walikataa huo ujinga
Maruku kuvaa kininja ni ugaidi na ni ujambazi
Kwanza joto lote hili la dsm mtu anajifunika tena na nguo nyeusi
Mimi naona wanajitesa tu

Na wengine wanavaa miwani ya rangi nyeusi juu ya nguo hizi; hatari kweli kweli.
 
Mimi /sisi mgonjwa akija.km kavaa ninja tunamwambia afunue uso wake..kwingine kote ziba ntamhudumiaje mtu ambaye sioni sura yake...funua sura then tuendelee...facial expression ina umuhimu wake...ukiniachia macho tu sikuelewi
But naheshimu utamaduni wake na kujistahi kwake
 
shida yetu tumekuwa tunakopi na kupaste vitu km vilivyo saa nyingine bila kuangalia km vinafaa kwa mazingira yetu ama la. na hii imekuwa ktk maeneo mengi,naamini hata hili vazi lililetwa na hao waliotuletea hizo imani.ni juu ya wahusika wenyewe kuona km bado linafaa kuendelea nalo ama la badala ya kuwashinikiza kuacha nalo.

zamani rc walisali kwa lugha ya kilatini baadae wakaamua kuachana nacho na sasa wanatumia kiswahili na lugha za asili za maeneo husika. ni rahisi zaidi kufanya mabadiliko km haya kwa kutumia msukumo wa ndani kuliko presha za nje.
 
nasemea kiusalama zaidi na si unavyodhan ww

shida yetu tumekuwa tunakopi na kupaste vitu km vilivyo saa nyingine bila kuangalia km vinafaa kwa mazingira yetu ama la. na hii imekuwa ktk maeneo mengi,naamini hata hili vazi lililetwa na hao waliotuletea hizo imani.ni juu ya wahusika wenyewe kuona km bado linafaa kuendelea nalo ama la badala ya kuwashinikiza kuacha nalo.

zamani rc walisali kwa lugha ya kilatini baadae wakaamua kuachana nacho na sasa wanatumia kiswahili na lugha za asili za maeneo husika. ni rahisi zaidi kufanya mabadiliko km haya kwa kutumia msukumo wa ndani kuliko presha za nje.

Labda ni uelewa wetu ktk imani kuhusu mavazi hususan islam. Mwanamme stara yake ni kuanzia kitovu hadi chini ya magoti na wanawake ni mwili wote kasoro uso,viganja vya mikono.
Ila kama mtu anasema serikali ipige marufuku sidhani kama itakuwa haki. Pia nadhani mfanya maovu huwezi huwezi kuzuia akiwa na lake. Kwenye mabenki ,atm n.k kama uso hauonekani sio sawa na anatakiwa uso uonekane ili ahudumiwe vema na hata dini haijapinga. Hapa ni uelewa tu jamani mbona kuna baadhi ya makanisa maria amevaa hivyo hamuoni hiyo lugha ya picha.
 
Ingekuwa bora zaidi serikali ipige marufuku kabisa kuvaa kininja maofisin. Utakuta mtu anaenda bank halafu anajifunika kuanzia kichwa mpaka unyayo pamoja na mikononi halafu akiingia ndani anajifunua macho na pua tu eti ndio kamaliza, hilo jambo linaboa sana.

Ingewekwa sheria kali ya kuzuia uvaaji huo maofisini kwasababu inakuwa kama kichaka cha waovu.

ww kilaza sasa inakuuma nini,kwani lazima uwaangalie si ufuate yako.nchi huru hii
 
Ingekuwa bora zaidi serikali ipige marufuku kabisa kuvaa kininja maofisin. Utakuta mtu anaenda bank halafu anajifunika kuanzia kichwa mpaka unyayo pamoja na mikononi halafu akiingia ndani anajifunua macho na pua tu eti ndio kamaliza, hilo jambo linaboa sana.

Ingewekwa sheria kali ya kuzuia uvaaji huo maofisini kwasababu inakuwa kama kichaka cha waovu.

Huna sera mjomba kajipange!
 
ww kilaza sasa inakuuma nini,kwani lazima uwaangalie si ufuate yako.nchi huru hii

nani kilaza?? Nihisi mama yako alikuwa na stress sana kipindi cha ujauzito wako ndio maana hata ww akili ni non sense.... Hapa tunaongelea kiusalama na sio kwamba sipend kuwaangalia
 
Ufaransa walikataa huo ujinga
Maruku kuvaa kininja ni ugaidi na ni ujambazi
Kwanza joto lote hili la dsm mtu anajifunika tena na nguo nyeusi
Mimi naona wanajitesa tu

Wewe unafata ukiristo gani .. picha ya bikira maria mnayoiabudu kavaaje ? Mbona hamvai km yeye .
 
Ingekuwa bora zaidi serikali ipige marufuku kabisa kuvaa kininja maofisin. Utakuta mtu anaenda bank halafu anajifunika kuanzia kichwa mpaka unyayo pamoja na mikononi halafu akiingia ndani anajifunua macho na pua tu eti ndio kamaliza, hilo jambo linaboa sana.

Ingewekwa sheria kali ya kuzuia uvaaji huo maofisini kwasababu inakuwa kama kichaka cha waovu.

Naunga mkono hoja..
 
Wewe unafata ukiristo gani .. picha ya bikira maria mnayoiabudu kavaaje ? Mbona hamvai km yeye .

Hiyo picha kwani kafunika uso...??? Kufunika uso ni hatari hasa nyakati hizi ambapo magaidi yanatishia amani..
 
Angalia machangudoa wote wanavaa kininja, wezi wanaotafutwa na polis wanajificha kwa kuvaa kininja ili wasitambulike. Sasa kwann tusidhibiti uninja?
 
mkuu nimeona thread yako imenikumbusha mbali sana miaka ya 2001 nilikuwa maeneo ya china kuna wizi ulitokea ofisini kwa mavazi ya kininja duuuu wanausalama waliumiza kichwa kuna baadhi ya ofisi hurusiwi kuingia ukiwa umeyavaa
 
nani kilaza?? Nihisi mama yako alikuwa na stress sana kipindi cha ujauzito wako ndio maana hata ww akili ni non sense.... Hapa tunaongelea kiusalama na sio kwamba sipend kuwaangalia

Dahh...hilo kombora ulilo mtupia ni hatari..
 
Hiyo picha kwani kafunika uso...??? Kufunika uso ni hatari hasa nyakati hizi ambapo magaidi yanatishia amani..

sawa kufunika mpk uso sehemu za ofisi sio sawa wanaoambiwa wanavua ... ila mbona ww huvai km bikira maria ktk picha
 
Wewe unafata ukiristo gani .. picha ya bikira maria mnayoiabudu kavaaje ? Mbona hamvai km yeye .

bikira maria hajafunika uso wala hajavaa groves na soks. Yeye amefunika kichwa na kuacha uso unaonekana. Lakn kuna maninja wanajifunika kwanzia kichwa mpaka vidole ili kuficha fingerprint zisionekane halafu wanavaa hadi tinted. Wanatisha hao?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom