Kila mtu anasema Dodoma shida, lakini hamsemi shida gani. Acheni kuishi kwa mazoea. Mikoa mingi iko vizuri sana kuliko Dar. Ni kutofahamu tu. Hakuna mkoa wenye standard ya chini ya maisha kwa sasa kama Dar.Thread Ya Ajabu Sana Hii
Yaani Inachoma Kama Pasi Ya Mkaa, Nimesoma Ujumbe Wake Na Michango Ya Wadau Ukweli Mtupu.
Dodoma Ni Shida, Ganda La Muwa La Jana Chungu Kaona Kivuno.