per diemAwamu ya 5 vikao vyote vya kamati ni Dodoma!
Rais hawezi kuishi Dom moja kwa moja wakati Ikulu iko Magogoni; "wanaume" wanaweza kuingia pale na kutangaza "kuchukua nchi".
Nivigumu sana ikulu kuwa Dodoma. Magogoni ni rahc ku escape. Sasa kule kwa wagogo njia ni mbili2 anga na nchi kavu
system error occurred![]()
Serikali ni pamoja na wewe bwashee!
Hivyo nchi ambazo hazina bahari marais wao hawana escape route nyingine, sio?Nivigumu sana ikulu kuwa Dodoma. Magogoni ni rahc ku escape. Sasa kule kwa wagogo njia ni mbili2 anga na nchi kavu
system error occurred![]()
Serikali ipo mahala popote ndani ya tz nakila mkoa una ikulu ya raisWafanyakazi wa serikali ndio wametupwa huko Dom lkn serikali haijahamia huko bado iko dar.
Dar kuchereeeee.
dodge
Nyerere alipendekeza makao makuu kua Dodoma kwa sababu alitaka kuwapunguzia watu wanaotoka mathalani Kagera kufika Dodoma kuliko kwenda hadi Dar.Kwa mifumo ya mawasiliano E Gov , ugatuzi madaraka, mbali ya Wabunge nani Mtanzania anahitaji kufika wizarani kwa lipi!?Tumepoteza pesa bure maamuzi Dom, hapakuwa na uhitaji as planned earlier.
Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali ipo mahala popote ndani ya tz nakila mkoa una ikulu ya rais